Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Daktari amuonee wivu Pharmacist? Pharmacist yupi huyo anagombana na daktari? Kwanza utayafahamiana wapi hayo wakati ulipo huoni interaction ya daktari na pharmacist.
Jinga lingine hili!!!! sasa daktari akiandika dawa cheti hicho cha dawa kinakwenda wapi??? Mara ngapi wagonjwa wanarudishwa eti dose imekosewa?? chuki tu? mara ngapi wanashindwa kujua Brand name matata? zilizoenda shule!! ulisomea ku fail au!!!!!

Dr akitoa order ya dawa inakwenda kwa muuza genge au.......jijibu renyewe!
 
Sema mnawatamani mnoo!! sababu ya mauwezo yao ya ajabu!! kwa hiyo ajiiteje paka au!! ........nyie ndo mnawakweza sababu ya mauwezo yao!! mnapataga taabu sana jinsi walivotoboa! kujua sayansi ya binadamu na unapona kweli!! wewe ulishindwa Dunia nzima Daktari ni km mungu wa pili hutaki .......wafanyeje wkt mnawahitaji?
Pole sana.
 
Shida ipo hawa wenzetu wenye elimu kubwa kushinda wenzao ndio wanaoleta chuki mpaka kuleta matabaka.....

Kwamba Co sio daktar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa sijui wanataka waitweje jamani mwee!!! watoe jina basi!!! hawajui!..... Madaraja haya yapo kwa kada zoote za elimu! ( kusema eti mtoto wa darsa la kwanza siyo student, bali ni mwanafunzi tu!! its primitive nonsense),

anaepinga hii, analitamani hili jina la Dr, au alilipata kwa taabu sana! kulifikia! km zilee za kudisco mfululizo! jamanie ni hivi huko Medicine bwana inatesa vilaza sana! tena kuliko unavoweza kufikiria!

asikwambie mutu! unarudishwa kwenu na kabegi kako unapita ivi..! na wengi walijinyonga kimya! kimya! kwa adha km hii! baadhi ya wakuu wa vyuo wakawa wanawapatia Nauli ya ndege kabisaa ufike haraka usije ukamfia mikononi!

na asikwambie mtu bana Disco La Udaktari linauma kuliko hata Simba anavo ng'ata! ukibisha Muulize Dr Ulimboka, hakufa yule si mnajua! ndo maana kuna watu humu wamechanganyikiwa!

Amini nakwambia kuna MDs, COs wana Disco huko! heee! na wana supp. ni wacha kabisa!! lkn wenye akili zao haoooo!! na hawanaga mdomo saaana km jamaa mmoja humu ndani,

na hii yote ajili ya hasira na machungu ya supplimentaries za kufa mtu! na bado madogo waka mchallenge wardin! maumivu yake ndo kama haya!! ni rahisi sana kuwajua hawa watu wa ivi! chuki, maumivu plus supplimentaries heee!! unadhani atasemaje kwani....

Taaluma ya tiba ivoivo! pia! ila kuna watu wanona Neno Daktari ni kuuubwa sana!! lina maana kuubwa!! wakt kuna mpaka kina professor J, professor maji Marefu nk.!lkn wala hatujamsikia muongo kulilia cheo chake, tatizo hawa failure hawa!

Kwanza COs hata hiyo MDs anaichukua faster tu bila interview, yeyote wala nzwii anya time na kule anateleza tu!

Ila sasa kwa sababu hawa COs wengi ni wadogo wadogo!! wasafi, wanachujwa sana! usafi pia ni somo serious! halafu wanaaminiwa na wagonjwa ni ile mbaya MD failure wanaona wivu wamekula suppliments za kutosha!! wana Poor nursing care!

Hata Ward presentations, zao kwa mtu wa kawaida tu unae jua kiinglish utaona aibu jinsi MDs wanavyo fwamba! km mie muongo jipitishe tu kimya kimya wodini Amana Hosp. pale, au teaching Hospital yeyote, yenye mchanganyiko wa hao! ushuhudie

Na siyo kwamba eti wkati wa Ward round wanawaweka kima kundi la hasha wooote wanakuwa pamoja, kila mtu na vitanda vyake kulingana na ukubwa wa Wodi, na idadi yao hao MDs, na COs! Wodi ikiwa kubwa Dr mmoja unaweza kuwa na vitanda hata kumi!

Kama mie Muongo pita pita wakati wa ward Round km paleee TMK, Amana umo! Lugalo Hosp.nk Mama weeee!! yaani utadhani wale madogo COs ndo ma MD, yaani wanashuka pres. paper km hawana akili nzuri,

halafu wako njema, fikiria tu intro. hawasomagi wale! akijua jina la mgonjwa, na sura tu! baaaasi!! anatiririka!utapenda.. hata ukiwakurupua huko Mabwenini kwao wakiwa na usingizi wanashuka Magonjwa tu faster tena kwa English Grammatical nzuri kabisa!

Kwa wagonjwa wao wale COs wako njema sana, ukifika kwenye vitanda vyao madogo wanatiririka tu! mpaka utapenda! na ukikuta Boss Dr wa zamu mvivu,..... wao hao COs ndo wanapewaga majukumu na vipaumbele kuliko hao MDs! ili wamalize haraka!

Siyo majungu hii hali ya Cos kuwa njema inawaumizaga MDs wengi sana! tena MDs vilaza wanakaaga nyuma nyuma ivi! utasikia Yes! yes!!! ...mmm!! nooo....mmmwhy!!!

lazima tufike mahali tukubali tu!! kuna MDs wengi hawakufaa kupata hizo nafasi, mpaka unajiuliza huyu kapitapitaje hapa kwa michujo mikali km hivi?! au mchawi huyu?! vile vile kuna COs wengi hawakustahili kuwa ma-CO bali walifaa kuwa MDs, huo ndo ukweli!!

ukiona mtu anasema hawa COs siyo Madaktari think twice about his capacity to analyse things! ujue alikuwa kilaza hasa! amekula supplimentaries za kutosha mpaka amezeekea chuoni mfano ni km Dr Kitange sasa ana maumivu!

Nasema hivi mniskie woote MDs na Ma-specialist wenzangu..... COs ni Daktari tu, hata ufanyeje! ....tunatambua /tunataka/tuna hitaji uwezo wao! Aluta cont...! chapeni kazi vijana mpaka MD wajambe kifukuto! na

ukiona wamewajadili mjue wamewakubali mbona hii ni hatua nzuri sana ya nyie kujitambua!! kusema kweli mnatusaidia sana tena sana nchini hasa wilayani !! sijakosea tena mno! mbona hawajadili AMOs? waki wa mind wajitundike tu!

Na Hospitali nyingi sana za private Tanzania humu zinamilikiwa na COs, ambao hao hao walijisomesha kwa hela zao na kuwa MDs, wakasajili Hospitali zao kwa vyeo vyao vipya!

mfano mzuri na wa wazi kabisa wa hao ma COs ni huyu jamaa, Dr Allan wa Tip top Dispensary palee Manzese, COG, ya kalakata pia! na wengine wengi tu! nawajua mie! sasa hawa siyo DRs tu tena ni super Drs! wapeni heshima Ma CO muishi bana ahaa!

hawa wano ng;ang;ania umiliki wa jina hata akili ya ujasilimia mali hawana! ni maskini wa kutupwa wategemea mshahara! tena wanaajiliwa na Ma-COs hao hao! ndo maboss wao! utamchukiaje Boss wako? km una akili nzuri! jipendekeze tu akupe ulaji
 
Sasa sijui wanataka waitweje jamani mwee!!! watoe jina basi!!! hawajui!..... Madaraja haya yapo kwa kada zoote za elimu! ( kusema eti mtoto wa darsa la kwanza siyo student, bali ni mwanafunzi tu!! its primitive nonsense),

anaepinga hii, analitamani hili jina la Dr, au alilipata kwa taabu sana! kulifikia! km zilee za kudisco mfululizo! jamanie ni hivi huko Medicine bwana inatesa vilaza sana! tena kuliko unavoweza kufikiria!

asikwambie mutu! unarudishwa kwenu na kabegi kako unapita ivi..! na wengi walijinyonga kimya! kimya! kwa adha km hii! baadhi ya wakuu wa vyuo wakawa wanawapatia Nauli ya ndege kabisaa ufike haraka usije ukamfia mikononi!

na asikwambie mtu bana Disco La Udaktari linauma kuliko hata Simba anavo ng'ata! ukibisha Muulize Dr Ulimboka, hakufa yule si mnajua! ndo maana kuna watu humu wamechanganyikiwa!

Amini nakwambia kuna MDs, COs wana Disco huko! heee! na wana supp. ni wacha kabisa!! lkn wenye akili zao haoooo!! na hawanaga mdomo saaana km jamaa mmoja humu ndani,

na hii yote ajili ya hasira na machungu ya supplimentaries za kufa mtu! na bado madogo waka mchallenge wardin! maumivu yake ndo kama haya!! ni rahisi sana kuwajua hawa watu wa ivi! chuki, maumivu plus supplimentaries heee!! unadhani atasemaje kwani....

Taaluma ya tiba ivoivo! pia! ila kuna watu wanona Neno Daktari ni kuuubwa sana!! lina maana kuubwa!! wakt kuna mpaka kina professor J, professor maji Marefu nk.!lkn wala hatujamsikia muongo kulilia cheo chake, tatizo hawa failure hawa!

Kwanza COs hata hiyo MDs anaichukua faster tu bila interview, yeyote wala nzwii anya time na kule anateleza tu!

Ila sasa kwa sababu hawa COs wengi ni wadogo wadogo!! wasafi, wanachujwa sana! usafi pia ni somo serious! halafu wanaaminiwa na wagonjwa ni ile mbaya MD failure wanaona wivu wamekula suppliments za kutosha!! wana Poor nursing care!

Hata Ward presentations, zao kwa mtu wa kawaida tu unae jua kiinglish utaona aibu jinsi MDs wanavyo fwamba! km mie muongo jipitishe tu kimya kimya wodini Amana Hosp. pale, au teaching Hospital yeyote, yenye mchanganyiko wa hao! ushuhudie

Na siyo kwamba eti wkati wa Ward round wanawaweka kima kundi la hasha wooote wanakuwa pamoja, kila mtu na vitanda vyake kulingana na ukubwa wa Wodi, na idadi yao hao MDs, na COs! Wodi ikiwa kubwa Dr mmoja unaweza kuwa na vitanda hata kumi!

Kama mie Muongo pita pita wakati wa ward Round km paleee TMK, Amana umo! Lugalo Hosp.nk Mama weeee!! yaani utadhani wale madogo COs ndo ma MD, yaani wanashuka pres. paper km hawana akili nzuri,

halafu wako njema, fikiria tu intro. hawasomagi wale! akijua jina la mgonjwa, na sura tu! baaaasi!! anatiririka!utapenda.. hata ukiwakurupua huko Mabwenini kwao wakiwa na usingizi wanashuka Magonjwa tu faster tena kwa English Grammatical nzuri kabisa!

Kwa wagonjwa wao wale COs wako njema sana, ukifika kwenye vitanda vyao madogo wanatiririka tu! mpaka utapenda! na ukikuta Boss Dr wa zamu mvivu,..... wao hao COs ndo wanapewaga majukumu na vipaumbele kuliko hao MDs! ili wamalize haraka!

Siyo majungu hii hali ya Cos kuwa njema inawaumizaga MDs wengi sana! tena MDs vilaza wanakaaga nyuma nyuma ivi! utasikia Yes! yes!!! ...mmm!! nooo....mmmwhy!!!

lazima tufike mahali tukubali tu!! kuna MDs wengi hawakufaa kupata hizo nafasi, mpaka unajiuliza huyu kapitapitaje hapa kwa michujo mikali km hivi?! au mchawi huyu?! vile vile kuna COs wengi hawakustahili kuwa ma-CO bali walifaa kuwa MDs, huo ndo ukweli!!

ukiona mtu anasema hawa COs siyo Madaktari think twice about his capacity to analyse things! ujue alikuwa kilaza hasa! amekula supplimentaries za kutosha mpaka amezeekea chuoni mfano ni km Dr Kitange sasa ana maumivu!

Nasema hivi mniskie woote MDs na Ma-specialist wenzangu..... COs ni Daktari tu, hata ufanyeje! ....tunatambua /tunataka/tuna hitaji uwezo wao! Aluta cont...! chapeni kazi vijana mpaka MD wajambe kifukuto! na

ukiona wamewajadili mjue wamewakubali mbona hii ni hatua nzuri sana ya nyie kujitambua!! kusema kweli mnatusaidia sana tena sana nchini hasa wilayani !! sijakosea tena mno! mbona hawajadili AMOs? waki wa mind wajitundike tu!

Na Hospitali nyingi sana za private Tanzania humu zinamilikiwa na COs, ambao hao hao walijisomesha kwa hela zao na kuwa MDs, wakasajili Hospitali zao kwa vyeo vyao vipya!

mfano mzuri na wa wazi kabisa wa hao ma COs ni huyu jamaa, Dr Allan wa Tip top Dispensary palee Manzese, COG, ya kalakata pia! na wengine wengi tu! nawajua mie! sasa hawa siyo DRs tu tena ni super Drs! wapeni heshima Ma CO muishi bana ahaa!

hawa wano ng;ang;ania umiliki wa jina hata akili ya ujasilimia mali hawana! ni maskini wa kutupwa wategemea mshahara! tena wanaajiliwa na Ma-COs hao hao! ndo maboss wao! utamchukiaje Boss wako? km una akili nzuri! jipendekeze tu akupe ulaji

Nadhani MJADALA UMEUMALIZA[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]


Utawaona tuu wakileta mjadala tena kana kwamba hizo nots hapo ulizotoa pia hawajazielewa[emoji38]
 
CO hawezi kua mbadala/alternative wa MD...CO yupo kumsaidia MD majukumu yake
Acha uzembe na chuki nenda COs waka kuajili wewe! sasa km anamsaidia Daktari itakuwaje asiwe Dr? ivi? au mie ndo sielewi labda? ni sawa na kusema huyu ni mtoto wa nyoka lkn si nyoka!!

sikia atakuajili atapata hela ya kwenda shule, .. atarudi ata specialise ataenda tena....ivoooooooooo!
 
Acha uzembe na chuki nenda COs waka kuajili wewe! sasa km anamsaidia Daktari itakuwaje asiwe Dr? ivi? au mie ndo sielewi labda? ni sawa na kusema huyu ni mtoto wa nyoka lkn si nyoka!!

sikia atakuajili atapata hela ya kwenda shule, .. atarudi ata specialise ataenda tena....ivoooooooooo!

Ukweli usiopingika huo yaaaan CO’s wengi sanaaaaa wana dispensary mjini na vijijini huko
 
Kada ya Medicine Daktari pia ivoivo kuna RMA (certificate), CO (diploma), MD (degree), PhD ......
Naona kuna matumizi ya aina mbili ya neno daktari. 1. Mtaani kila anaetibu ni daktari. Haya ni matuzi yaliyoenea na ndio wengi wanaelewa hivyo. Kwa sisi wa 1947 hatukuwa na matumizi kama haya.
2. Rasmi. Ukiangalia documents za wizara, benjamin mkapa foundation, who ambazo ni za kiswahili Daktari ni MD na level hiyo. Wa Diploma ambao ni CO wanaitwa TABIBU na chini yao ni Tabibu Msaidizi (clinical assistants).

Kwa uelewa wangu mimi naenda na hiyo ya pili ambayo ndio hutumika rasmi hapa nchini na kila kundi lina majukumu yake.
 
Naona kuna matumizi ya aina mbili ya neno daktari. 1. Mtaani kila anaetibu ni daktari. Haya ni matuzi yaliyoenea na ndio wengi wanaelewa hivyo. Kwa sisi wa 1947 hatukuwa na matumizi kama haya.
2. Rasmi. Ukiangalia documents za wizara, benjamin mkapa foundation, who ambazo ni za kiswahili Daktari ni MD na level hiyo. Wa Diploma ambao ni CO wanaitwa TABIBU na chini yao ni Tabibu Msaidizi (clinical assistants).

Kwa uelewa wangu mimi naenda na hiyo ya pili ambayo ndio hutumika rasmi hapa nchini na kila kundi lina majukumu yake.
Daktari ni neno iko natoholewa kiswahili imetokana na English!! yaani neno Doctor! (The healer, clinical officer) na ina maana ile ile kwa kiswahili pia!

Tabibu ni lugha ya kiswaihili sanifu yaani mtoa tiba! mponyaji!! haijalishi awe wa kienyeji, awe wa kisaikolojia tu, km mke, mtoto, au mume ili mradi tu! uwepo wake yeye unakufanya upate nafuu! yeyote ile! mtu km huyu ni healer! ...sasa COs Ni tabibu wa cheti!

Tatizo lina kuja , watabibu km MDs. COs, kundi hili kuna mmojawao! ana chuki anaona kundi moja hili hawana stahili kuwa Waponyaji! tena wakiitwa kwa neno la kizungu!! eti Doctors! anaumia sana !! ivo tatizo ni kuitwa Kizungu!

kuliko akiitwa Kwa kiswahili yaani hapo ni sawa!! ........Ok! hawa ni ''Tabibu siyo Madaktari!'' unaona waafrica walivo wa ajabu? sasa huyu anaesema hivi ni ''MD'' tena msomi kabisaaa wa juu!! je ambao hawakusoma si ndo shida ndugu!

wanachogombania hapo ni kuitwa kama Mkoloni (kiingereza) tu! Baaasi! wakati wote ni waponyaji, (the healers) ndo maana ya neno ''Doctor kwa kigiriki'' sijui waaafrica Mzungu alipandikiza nini kwenye akili zao! research inatakiwa!

''Owing to the shortage of MDs, (COs is the back bone of health care system in Africa), and other developing countries!'' ujue kuwa wanafanya yale yale! hayo ni baadhi ya maazimio ya WHO! na wapo Dunia nzima! ....

..jamani kwani si M--google tu! ni rahisi mnoo kuyajua haya Kwa Dunia ya leo!

Ndo uone maajabu MDs gani asiye jua hata ku-goole!! anasumbua ivi!! ni aibu sana ujue!! yule jamaa anaepinga anachafua sana taaluma hallow!!
 
Kama hujui tofauti bora ukae kimya utuachie sis wenye taaluma zetu
Hawa madogo wanawapelekesha puta MDs sana tu!!! wapeleke!! wapeleke!! na mtatoa usajili tu mtake msitake hata mkianzisha vijiwe bado hamuaminiki wala kuwafikia!Cos! ndo maana mna choyo nao! vijiwe vyao vina peta kwa umaarufu Bongo nzima!

Mfano TMK paleee nyuma!!! Masawe ni CO alijazia jazia tu huko Russia, huyo karuka na Hosp... na anapeta hasa!! kitambo, hata kwa umaarufu tu! na tiba sahihi kuliko yule Dr Mkurya yule wa Wankuru Dispensary, sijui hata anaitwa nani vile?

hata Medical representative, Dr Masawe wanamjua vilivyo!! Dar nzima wanamgombea! km mie muongo fanyeni research! Hawa MDs failure wana majungu sana, chuki, Dharau za kizamani hawataki kujifunza kutoka kwa COs!

Nasema inawagharimu sasa! na tena kwa hoja za hovyo kabisa mara Oooh! siyo Madaktari!! OK! wewe Dr Mbona huna hela zako! eti wanategemea mshahara Mkubwa serikalini mweee! apande pande vidaraja weeee!

halafu wanadhalilika kweli yaani ajikombe kwa ma boss wake! HR, DMO weee! Mpaka aibu!! ombeni kazi kwa vijiwe vya COs hamtaki ooh! wale siyo madaktari, sie Maboss wao!! haya bana!

Faberk Pharmacy/Hosp yake! alianza km CO hiyo hiyo pharmacy yake ikampeleka shule, sasa ameachia wanawe, inapeta kwa uaminifu Dar nzima. .... hawa CO kusema kweli wanakimbiza sana Majiji yote TZ!

siyo majungu ndo ukweli na tena madogo wanavo jua fursa mpaka Mikoani huko! wanapeta km mie muongo aje MD Yeyote hapa anipinge!

Mie nawashauri Cos hapo walipo ni tosha kabisa! waende wapige AMO' tu! na hii ni kozi pekee Rahisi mno kwao sana tu! ili wasajili vituo vyao wao wenyewe! bila kutegemea hao MDs tuone km MDs hawajafa njaa! watakimbia wizarani kuroga AMO ifutiwe usajili! na walisha jaribu mara kibao lkn wapi!
 
Hawa madogo wanawapelekesha puta MDs sana tu!!! wapeleke!! wapeleke!! na mtatoa usajili tu mtake msitake hata mkianzisha vijiwe bado hamuaminiki wala kuwafikia!Cos! ndo maana mna choyo nao! vijiwe vyao vina peta kwa umaarufu Bongo nzima!

Mfano TMK paleee nyuma!!! Masawe ni CO alijazia jazia tu huko Russia, huyo karuka na Hosp... na anapeta hasa!! kitambo, hata kwa umaarufu tu! na tiba sahihi kuliko yule Dr Mkurya yule wa Wankuru Dispensary, sijui hata anaitwa nani vile?

hata Medical representative, Dr Masawe wanamjua vilivyo!! Dar nzima wanamgombea! km mie muongo fanyeni research! Hawa MDs failure wana majungu sana, chuki, Dharau za kizamani hawataki kujifunza kutoka kwa COs!

Nasema inawagharimu sasa! na tena kwa hoja za hovyo kabisa mara Oooh! siyo Madaktari!! OK! wewe Dr Mbona huna hela zako! eti wanategemea mshahara Mkubwa serikalini mweee! apande pande vidaraja weeee!

halafu wanadhalilika kweli yaani ajikombe kwa ma boss wake! HR, DMO weee! Mpaka aibu!! ombeni kazi kwa vijiwe vya COs hamtaki ooh! wale siyo madaktari, sie Maboss wao!! haya bana!

Faberk Pharmacy/Hosp yake! alianza km CO hiyo hiyo pharmacy yake ikampeleka shule, sasa ameachia wanawe, inapeta kwa uaminifu Dar nzima. .... hawa CO kusema kweli wanakimbiza sana Majiji yote TZ!

siyo majungu ndo ukweli na tena madogo wanavo jua fursa mpaka Mikoani huko! wanapeta km mie muongo aje MD Yeyote hapa anipinge!

Mie nawashauri Cos hapo walipo ni tosha kabisa! waende wapige AMO' tu! na hii ni kozi pekee Rahisi mno kwao sana tu! ili wasajili vituo vyao wao wenyewe! bila kutegemea hao MDs tuone km MDs hawajafa njaa! watakimbia wizarani kuroga AMO ifutiwe usajili! na walisha jaribu mara kibao lkn wapi!

Tatizo hio AMO hao hao wanaojiita maMD wameipiga majungu hadi imefutwa pia
 
Daktari ni neno iko natoholewa kiswahili imetokana na English!! yaani neno Doctor! (The healer, clinical officer) na ina maana ile ile kwa kiswahili pia!

Tabibu ni lugha ya kiswaihili sanifu yaani mtoa tiba! mponyaji!! haijalishi awe wa kienyeji, awe wa kisaikolojia tu, km mke, mtoto, au mume ili mradi tu! uwepo wake yeye unakufanya upate nafuu! yeyote ile! mtu km huyu ni healer! ...sasa COs Ni tabibu wa cheti!

Tatizo lina kuja , watabibu km MDs. COs, kundi hili kuna mmojawao! ana chuki anaona kundi moja hili hawana stahili kuwa Waponyaji! tena wakiitwa kwa neno la kizungu!! eti Doctors! anaumia sana !! ivo tatizo ni kuitwa Kizungu!

kuliko akiitwa Kwa kiswahili yaani hapo ni sawa!! ........Ok! hawa ni ''Tabibu siyo Madaktari!'' unaona waafrica walivo wa ajabu? sasa huyu anaesema hivi ni ''MD'' tena msomi kabisaaa wa juu!! je ambao hawakusoma si ndo shida ndugu!

wanachogombania hapo ni kuitwa kama Mkoloni (kiingereza) tu! Baaasi! wakati wote ni waponyaji, (the healers) ndo maana ya neno ''Doctor kwa kigiriki'' sijui waaafrica Mzungu alipandikiza nini kwenye akili zao! research inatakiwa!

''Owing to the shortage of MDs, (COs is the back bone of health care system in Africa), and other developing countries!'' ujue kuwa wanafanya yale yale! hayo ni baadhi ya maazimio ya WHO! na wapo Dunia nzima! ....

..jamani kwani si M--google tu! ni rahisi mnoo kuyajua haya Kwa Dunia ya leo!

Ndo uone maajabu MDs gani asiye jua hata ku-goole!! anasumbua ivi!! ni aibu sana ujue!! yule jamaa anaepinga anachafua sana taaluma hallow!!
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa nadhan ni kitabu cha Kutoka 1:4[emoji23][emoji23]

Mkuu umenena vyema!!
 
Tatizo hio AMO hao hao wanaojiita maMD wameipiga majungu hadi imefutwa pia
Bado ipo nimeziona form za kujiunga zinatolewa!! bado waende tu! hii hapa utasemaje! MDs wanawakatisha tamaa tu!! ajili ya uoga wao!
AMOs.png
 
Tatizo hio AMO hao hao wanaojiita maMD wameipiga majungu hadi imefutwa pia
Mkuu usicheleweshe mwanao hizi course zina pigwa vita sana!! lkn ndo ilivyo wao wanapeleka watoto wao!! angalia sasa hao hao MDs walitangazwa zimefutwa miaka mingi sana ili kuleta comfusions kwenye jamii.. angalia hapa JF.......
Imefutwa.png
 
Back
Top Bottom