Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

waganga bwana , yani unajisifia kua Incharge wa dispensary yenye chumba na sebule
Piga kazi ndugu ndo uwezo wako unaishia huko , huku kwingine tuachie sisi
Umeona uincharge tu, hujaona navyomanage pesa za vitengo vyote na mambo yanaenda, CTC, RCH, OPD, DISPENSING n.k. fedha za chanjo, outreach, maintainance, extra duties na zinginezo, na kila kitu kinaenda sawa, pamoja na uCO wangu ila serikali imeniamin inanipa mamilion ya pesa nizimanage, nisifie basi MD wangu wa hapo Buza dispensary, kupata mshahara hadi umchekeshe Boss. Endelea kuvaa manati hayo na jiite MD ila sisi Matabibu ndo tunarun life za bibi zenu na shangazi zenu mliotuachia huku vijijini, and we are so proud kwahilo.
 
Kwenye MD,psychiatrist ni rotation hio sio topic hio ni complete packaje watu wanamenyeka..........MD anapiga emergency medicine,occuapational medicine,family medicine etc......ambazo C.O anazisikia tu.......MD anafanya research toka MD 02[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38].........ushawaji jiuliza kwa nini serikali inalipa mshahara wa MD mara mbili ya mshahara wa CO jumlisha Mshahara wa C.A?,[emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Anyway C.O. sio daktari
Utofauti wao ni miaka ya kukaa darasani na mishahara tyu mengine tunadanganyana!
 
Mimi Dsm nilivyomaliza Co nilipiga pindi chuo cha private cha Ca nilifundisha miaka 2 kasoro. Utafiti wangu Co wanafundishwa na AMO na Md, mfno chuo nilichosomea cha serikalini Amo na Md karibu wote ila Specialist alikuwa mmoja Gynaecologist ambaye alikuwa mkuu wa chuo na kufundisha alikuwa akifundisha mara chache sana baadae akachukuliwa wizara ya Afya kitengo cha Mafunzo sasa hivi yupo huko, nyuma yake alikuwa mmama Paediatrician ila na yeye alichukuliwa wizarani. Ila almost wakufunzi ni Amo na Md zaidi ya asilimia 98 ukikuta specialist labda wakuu wa vyuo na mara nyingi hawafundishi. Hicho chuo cha Ca, Co tulikuwa 2 tukifundisha first yr, Amo-2 na Md-3

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Mkuu Hawa private kufundisha vyuo vyao wanahitaji GPA kuanzia ngap ukiwa level ya diploma?
 
Wapeni heshima CO wote nchini coz wanachapa kazi kuliko ma MD wenu hao
Miafrica ina chuki hatare sana!!! tena hao CO ni wazuri mnoooooooooooooo!! ni zaidi ya madaktari MD wanabaniwa kweli kweli! Temeke, Amana, Hospi nk. wameondolewa sababu ya wivu Vi -MD failure!!

Serikali ingejua hawa jamaa wangepewa kipaumbele cha nafasi za kujiendeleza kwanza!! kn waswahili bana wamejaa chuki chuki tuuu! dharau! kujiona bora ! ssabau hawa jamaa wanaweza kazi! wkt hao hao MD wengi, ni weupe sana tena sana!

Kwanza hawajui kuflow in English! km CO! wengi interview huko nje wana fail sana! majingaaaa!
 
Clinical Officer (CO) ni non clinician physician. Si daktari. Daktari ni yule aliyesoma Bachelor of Medicine and Bachelor of Surgery (MBBS) au Doctor of Medicine (MD).
Hukusoma wewe kaa ivoivo
 
waganga bwana , yani unajisifia kua Incharge wa dispensary yenye chumba na sebule
Piga kazi ndugu ndo uwezo wako unaishia huko , huku kwingine tuachie sisi
MD failure! sasa Mganga si ndiyo Daktari au! mbona unajichanganya? chumba na sebure/sebule..........zipo hizo kweli?
 
Umeona uincharge tu, hujaona navyomanage pesa za vitengo vyote na mambo yanaenda, CTC, RCH, OPD, DISPENSING n.k. fedha za chanjo, outreach, maintainance, extra duties na zinginezo, na kila kitu kinaenda sawa, pamoja na uCO wangu ila serikali imeniamin inanipa mamilion ya pesa nizimanage, nisifie basi MD wangu wa hapo Buza dispensary, kupata mshahara hadi umchekeshe Boss. Endelea kuvaa manati hayo na jiite MD ila sisi Matabibu ndo tunarun life za bibi zenu na shangazi zenu mliotuachia huku vijijini, and we are so proud kwahilo.
Piga kazi mwana!! yana sress hayo! kukaa drsani miaka mitano!! hawa ndo walipiga supplimentariess km zote!...tena wewe ukikataka hako ka MD kake! ni dakika sifuri unakapata! na mshahara wako uko pale pale sasa nini?? miswahili inawivu sana!
 
CO hawezi kua mbadala/alternative wa MD...CO yupo kumsaidia MD majukumu yake
ukiongea kwa jazba ndo km hivi!! anamsaidia na wakati huo huo hawezi kuwa mbadala!! ivi wewe MD gani hujui kuelezea jambo rahisi namna hii?? na wengi man fai;l sana ndo km wewe
 
ukiongea kwa jazba ndo km hivi!! anamsaidia na wakati huo huo hawezi kuwa mbadala!! ivi wewe MD gani hujui kuelezea jambo rahisi namna hii?? na wengi man fai;l sana ndo km wewe
Achana nae huyo haelewi anasema nini,kapiga kelele hapa mwishowe hpja hana amebaki na kauli mbiu ya CO sio daktari..😀😀
 
[emoji38] hii vita ni kali sana......yan mD wana roho zachuki sanaaaaaaaana yan sababu nawajua A-Z........vyuo vya CO’s huko wanawapa vijana marks za ajabu ajabu tuu yan zakichuki chuki tuu



Wanataka vijana wasiweze kuendelea na elimu za juu [emoji847][emoji847]tushawajua hawa

Lakini mD’s wengi ni weupe kichwani hilo lipo wazi
Watu wa afya wanachotakiwa wajue kwqmba wote wanajenga jengo moja na sio muda wa kutunishiana misuli.
 
Kama hujui tofauti ya medicine na clinical,sidhani kama wewe unaweza kua sio CO
Jamani mie niliwhifanya kauchunguzi kasiko Rasmi sasa nasema ivi...

Acheni uchoyo wa kiafrica wa majina tu!! yanawatoa roho!! kwani Mwalimu wa chekechea na Mwalimu wa secondary! si wote walimu?? hawa jamaa MD wana kamtima nyongo! au kawivu flani hivi nina kaona hapo! kwa sababu

CO wanatusua sana makazini huko, halafu wanakubalika kishenzi nchi nzima mpaka vijijini huko!! popote! hata emergency za Ikulu ni CO wana piga kazi! tena vizuri mno! halafu vyuoni kwao CO wanachujwa mnoo hatare!! mnaweza anza 40 mkamaliza 15 tu! mpaka leo iko ivo!

hawa wapya wanao toka wako vizuri mno hata kwa kuwaangalia tu! ndo maana MD wana chuki sana!! hata CO wanaokwenda vyuo vikuu mbali mbali ni wazuri kupita maelezo!!! mpaka wanawafundishaga hawa madogo sasa wanachukiaga sana!

sometimes wao hao ma CO wakiwa chuo kikuu!! wao ni kuingia Drasani kufanya mitihani tu!! hawasomi kabisa! na ana faulu mbaya hawakamatwagi!! kifupi wako njema!! ukiona CO amekamtwa basi hao wengine ndo kabisaaa ni weupe!

MNH wanaogopa sana CO, AMO, kuwapa Admission sababu kubwa ni hii!! unamfundisha Daktari ambaye anakuzidi uzoefu/material au mko sawa au unamzidi kidogo!! Professors ni waoga sana kufundisha Haya makundi mawili!

Sasa basi kinacho fanyika ni nini? wanawasukumiza hawa jamaa vyuo vya private tu! kma KAMPALA, IMTU nk! labda uwe mtoto wa Kikwete utaachwa hapo MNH!

Hawama- CO na ma- MD ni sawa na watoto wa familia moja yaani Mtu na mdogo wake, wanaofuatana! hawaachi kuzodoana kila kukicha sababu mdogo anapiga bao sana, sababu ya majukumu yake aliyoachiwa sana, kuliko mkubwa!

Huyu mkubwa yeye amekaa tu anasubiria tu!! kupokea kazi kutoka kwa mdogo! mdogo yeye kwa sababu kazi anaziweza anapiga zote anamwambia wewe endelea kupumzika hkn shida!! lkn yeye anatamani apate kazi km za Mdogowe CO!

Kifupi mkubwa MD, ni mchoyo! na hata kutafuta nafasi ya kujiendeleza zaidi MD wana wabania sana CO wenye vipaji! wasiende kujiendeleza,...basi watakuundia majungu hayo mpaka utakaa chini!! labda tu uwe mtoto wa mkubwa utaenda!

Au uwe na connection hasa! MD wengi ni km wamekosa fursa hivi!!! lawama na visingizio ni kwa Ma COs! kwa nini wasifute tu hizo tofauti zao kirahisi!!! nina hakika ukifungua Hosp za CO, pekee na MD pekee!! wateja watajaa kwa Ma COs!

Ni wakati sasa serikali tubadilike! naitaka serikali ifanye km zimbabwe CO, apewe nafasi moja kwa moja aende ku- specialise! chochote atakachoona kina mfaa kichwani mwake!! kwa uwiano wa miaka sawa, kati ya MD na CO, ili kuballance hili gape!

Kwa mfano kile ambacho CO hakukifanya chuoni kwake akikamilishe kwenye Speciality yake! au Mitaala ya CO ibadilike iwe km ya MD hapo yabakie majina tu!!

Aaiwezekani CO asome miaka mitatu then aende kazini! halafu aende tena kusoma miaka mitano awe! sawa na MD fresh from school! hiyo ni serikali ya Majuha! haipo Duniani!! kwa akili kma hizi nasema hivi.....

Ndo maana wamezalisha haya madharau ya kijinga! walioanzisha huu utaratibu tunawajua ni kina Marehemu Aoron Chiduo,na jopo lake lilee la Madaktari manesi wa MNH, hawa walibebwa makundi kwa makundi kwenda kusoma Nje! ili kuziba pengo!

wakati wanarudi sasa walikuwa na chuki za wazi kwa ma- COs, walichofanya ni kuwakandamiza wajione Duni, sababu ya uhaba wa vyuo ulio kuwepo nchini! wakaondolewa pale MNH miaka hiyo!

si unaona utaratibu wenyewe huu! umekaa ki nurse!! nurse hivi, haueleweki kwa mtu mwenye akili nzuri! utauliza maswali kibao yasiyo kuwa na majibu!! sababu nihao Ma-MD- Nurses waliopewa ofa ya kusoma nje, Sarungi akiwa Mkurugenzi!!

taifa hilo tena hatunalo! hao wakurugenzi wa sasa wa TMB ni wazembe haswaaa! wachumia tumbo! relux, wameshindwa kuliona hili! pale wizarani wanashindana kununua Magari tu!! kula vihepe baasi!

kuna watu wangefanya haya mabadiliko na wakaleta impact kubwa ktk sector hii lkn wameishia kupigwa chini mbaya hata hatuwasikii tena, kina Dr Suka, Mpoki, Deo, Marwa Winani, Shemhiru, Gesase nk! kwa uchache!

Wizara ya Afya Tanganyika Medical Board halina Meno! ni kibogoyo! sirikali imejaza madude flani hivi ambayo hayana meno wala akili!! wakati wenye akili wapo tele !! kamata Mpoki kutoka ubalozini kule rudisha wizarani ya afya pale!

Yaani nchi hii ilinifaa mimi japo kidoogo na Magu, lkn huyu ningemfanya Waziri Daima, nakwambieni mtanyoooka! subirini tu si nakujaaaa! heee!!!
 
MD hana muda wa kuandika mambo mengi sana hivo,kujielezea......wewe ni CO tu na utakua umesoma St Bhakita huko labda[emoji16][emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
WOTE nyie ni Ma -GP! sasa hawa madogo co wao wanapiga ndefu!! wagonjwa wana waamini sana!! ndo mwanzo wa chuki!
 
USA
Kutibu watu sio ku-qualify kutibu watu............Medicine(sayansi ya Tiba),sio clinical services pekee(utabibu)
Kumbuka clinical ni part tu ya medicine.......mtu aliyequalify kutibu watu kwa standard za international ni MD.
Swali dogo...........ukiacha TZ,Kenya,ni wapi kwengine kuna CO duniani?[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
USA- ...wanaitwa Assitant Physicians! Kooooote Duniani wapo ila kwa majina tofauti! Mfano SA- wao wanaita Medicine Doctor.
 
surgery,research,clinical etc vitu ambavyo CO haruhusiwi kufanya......sayansi ya Tiba(medical services),haiishii tu kwenye
Anabaniwa au!! .......sasa Minor theatre ile ni nini..... kama vyuo vya kawaida wwanafanya research why not CO! lkn nyie wote si ni ma- GP au!!!!.... matatizo ya supp.. haya
 
Ukilaza shida sana.... supplimentarians wana shida sana popote pale Duniani yaani kinacho Muuma ni mtu kuitwa Daktari tu baaasi!! mbona tuna kina dakta manyau manyau!! Matunge ??? anaepinga hili ni mchawi!! au atakuwa mchawi in near coming future!! kwa herini!! Mbona!!! mbona nyiingi!!

Kinachowaumiza ma MD wengi ni kwamba hawa vijana wengi wao wako smart sana! siyo walevi!!!
 
Hamna Diploma ya udaktari......udaktari hauna shortcut......ni lazima uwe MD au phD.........kuna Diploma ya utabibu.......utabibu ni moja ya kozi daktari ambazo anazisoma chuoni
Watu wanasoma vyuo tofauti! waalimu tofauti! lkn pia wana percive tofauti kabisa! ndo maana wanafunzi wanapata Marks tofauti tofauti pia! huyu nae tusimlaumu ndipo uelewa wake ulipo fikia!! alifundishwa ivo au alikuwa mtoro sana!

Km hajui kuwa CO imewekwa kwa mujibu wa WHO! Dunia nzima km ukimbishia mtu km huyu ni wewe ndo tunaonekana hujui!! CO ipo Duniani kwa mujibu wa WHO!! piga ua galagaza Ndivo ilivo, huyu hajui hata hiyo WHO ni nini!! asilaumiwe....

Na wanafanya kazi zilezile!! huyu hata wajibu wake kwa subordinate wake hajui!! ......anaweza kumpa majukumu ya Nurse au mlinzi sababu hajui nafasi ya COs,
 
Watu wa afya wanachotakiwa wajue kwqmba wote wanajenga jengo moja na sio muda wa kutunishiana misuli.

Shida ipo hawa wenzetu wenye elimu kubwa kushinda wenzao ndio wanaoleta chuki mpaka kuleta matabaka.....

Kwamba Co sio daktar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja turahisishe hivi.

Ualimu kuna ualimu ngazi ya certificate diploma na degree.

Je mwalimu mwenye diploma hastahiki kuitwa mwalimu kwakuwa ana diploma ?
Kada ya Medicine Daktari pia ivoivo kuna RMA (certificate), CO (diploma), MD (degree), PhD ......
 
Wanajikweza mno,hata vile vya cheti cha CO huitwa Doctor na wanajiita hivyo.
Sema mnawatamani mnoo!! sababu ya mauwezo yao ya ajabu!! kwa hiyo ajiiteje paka au!! ........nyie ndo mnawakweza sababu ya mauwezo yao!! mnapataga taabu sana jinsi walivotoboa! kujua sayansi ya binadamu na unapona kweli!! wewe ulishindwa Dunia nzima Daktari ni km mungu wa pili hutaki .......wafanyeje wkt mnawahitaji?
 
Back
Top Bottom