Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Co ni daktari ukitaka uthibitishe hapo..jipange wewe na co harafu muulize wagonjwa nani dktari na nani sio daktari..ndio utajua hujui[emoji28][emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
Mgonjwa hatoi requirements za mtu kua daktari,...udaktari hutolewa chuoni kwa mtu kusomea,ama kupewa PhD
 
CO ni kozi iliyoaanzishwa nchi masikini ili kusaidia huduma za utabibu(clinical services),sababu ya uchache wa MD.
CO kujifananisha na MD ni kudhalilisha fani na hii haikubariki hata kidogo
Kitendo cha wewe kukubali kuwa CO ni mbadala wa MD hiyo ni ishara tosha kwamba CO anafanya kazi ambayo MD angeifanya huko vituo vidogo vya afya.

Na hapa ishu sio kwa sababu ya uchche wa MD ishu ni kuwa MD lazima iwe na diploma yake kama ilivyokuwa kozi zingine ili watu ambao hawakuweza kujiendeleza moja kwa moja wapite huko.

Ualimu una diploma na degree,haina maana kwamba diploma ya ualimu imeanzishwa eti kwa sababu kuna uhaba wa waalimu wa degree hiyo sio kweli.
 
Kitendo cha wewe kukubali kuwa CO ni mbadala wa MD hiyo ni ishara tosha kwamba CO anafanya kazi ambayo MD angeifanya huko vituo vidogo vya afya.

Na hapa ishu sio kwa sababu ya uchche wa MD ishu ni kuwa MD lazima iwe na diploma yake kama ilivyokuwa kozi zingine ili watu ambao hawakuweza kujiendeleza moja kwa moja wapite huko.

Ualimu una diploma na degree,haina maana kwamba diploma ya ualimu imeanzishwa eti kwa sababu kuna uhaba wa waalimu wa degree hiyo sio kweli.
CO hawezi kua mbadala/alternative wa MD...CO yupo kumsaidia MD majukumu yake
 
CO hawezi kua mbadala/alternative wa MD...CO yupo kumsaidia MD majukumu yake
Ok kwa hiyo tunakubaliana kwamba CO kujiita daktari ni sawa kwa sababu anamsaidia bosi wake MD kazi ambayo na yeye ni katika majukumu yake ?
 
Hujui unachokiongea.......ushallow wa mtu si wa taaluma.
Hata huelewi specialist maana yake nini na purposefully yake ni nini
Kwa hiyo unasemaje labda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe huelewi na ni mjinga sababu tu ni CO.
Okay.
CO hajaqualify kutoa huduma za matibabu
Unaweza kuniambia kwa ufupi maana ya neno "matibabu" kutoka katika vyanzo vyovyote tegemewa ?
CO anafanya utabibu tu na hii ndio kikomo chake......
Utabibu ni jina,ni kama neno udaktari ama ualimu.
Utabibu ni jina kazi yake ni kutibu.
Ualimu ni jina na kazi yake kufundisha.
Ujenzi ni jina kazi yake ni kujenga.

Kwa hiyo unatakiwa ufahamu kauznia leo kwamba utabibu ni jina na kazi ya huo utabibu ni kutibu,hivyo kama CO anasomea utabibu maana yake amwshaqualify KUTIBU WATU.


CO hajaqualify kutoa huduma za matibabu
Unarudia makosa,utabibu na matibabu ni kitu kimoja.
Utabibu ni jina na kutibu ni kazi ya utabibu na matibabu ni huduma yenyewe inayotolewa na huyo tabibu.

CO anaweza fanya utabibu hata kwa mgonjwa wa malaria lakini hawezi kufanya Tiba.
Tiba na matibabu ni kitu kimoja kwa sababu neno tiba limetoka katika neno matibabu haiwezekani kuyatenganisha maneno hayo.
.CO hata majibu ya chemistry kwenye mtaala wake hajifunzi kutafsiri,CO hajasoma hata biochemistry.......anawezaje sasa kutoa Tiba?
Narudia kwwmba tiba na matibabu hakuna tofauti baina ya maneno hayo,kutoa tiba maana yake ni kutibu na kutibu ni kufanya matibabu.
.kuna sababu za dhati za wewe kua CO,ikiwemo uelewa na akili ndogo
Aaa haya mbona tumeshayazoea humu wala hayana tabu kwangu.
CO hajaqualify kutoa medical services(sayansi ya Tiba)
Nenda shule ili uqualify kutoa TIBA na si utabibu(clinical services)
Sayansi ya tiba na utabibu hakuna utofauti katika uhalisia wake,tunarudi kule kule kwamba tiba na matibabu ni kitu kimoja,hapo umeongeza neno sayansi.

Hata CO anatumia sayansi ya wataalamu kutibu wagonjwa wala hatumii uganga wa kienyeji kufanya matibabu,hakuna utofauti ndugu daktari.
 
Okay.

Unaweza kuniambia kwa ufupi maana ya neno "matibabu" kutoka katika vyanzo vyovyote tegemewa ?

Utabibu ni jina,ni kama neno udaktari ama ualimu.
Utabibu ni jina kazi yake ni kutibu.
Ualimu ni jina na kazi yake kufundisha.
Ujenzi ni jina kazi yake ni kujenga.

Kwa hiyo unatakiwa ufahamu kauznia leo kwamba utabibu ni jina na kazi ya huo utabibu ni kutibu,hivyo kama CO anasomea utabibu maana yake amwshaqualify KUTIBU WATU.



Unarudia makosa,utabibu na matibabu ni kitu kimoja.
Utabibu ni jina na kutibu ni kazi ya utabibu na matibabu ni huduma yenyewe inayotolewa na huyo tabibu.


Tiba na matibabu ni kitu kimoja kwa sababu neno tiba limetoka katika neno matibabu haiwezekani kuyatenganisha maneno hayo.

Narudia kwwmba tiba na matibabu hakuna tofauti baina ya maneno hayo,kutoa tiba maana yake ni kutibu na kutibu ni kufanya matibabu.

Aaa haya mbona tumeshayazoea humu wala hayana tabu kwangu.

Sayansi ya tiba na utabibu hakuna utofauti katika uhalisia wake,tunarudi kule kule kwamba tiba na matibabu ni kitu kimoja,hapo umeongeza neno sayansi.

Hata CO anatumia sayansi ya wataalamu kutibu wagonjwa wala hatumii uganga wa kienyeji kufanya matibabu,hakuna utofauti ndugu daktari.
Udaktari si jina ni either uwe MD,BVM au PhD...na kwa maana hio CO sio daktari
 
Okay.

Unaweza kuniambia kwa ufupi maana ya neno "matibabu" kutoka katika vyanzo vyovyote tegemewa ?

Utabibu ni jina,ni kama neno udaktari ama ualimu.
Utabibu ni jina kazi yake ni kutibu.
Ualimu ni jina na kazi yake kufundisha.
Ujenzi ni jina kazi yake ni kujenga.

Kwa hiyo unatakiwa ufahamu kauznia leo kwamba utabibu ni jina na kazi ya huo utabibu ni kutibu,hivyo kama CO anasomea utabibu maana yake amwshaqualify KUTIBU WATU.



Unarudia makosa,utabibu na matibabu ni kitu kimoja.
Utabibu ni jina na kutibu ni kazi ya utabibu na matibabu ni huduma yenyewe inayotolewa na huyo tabibu.


Tiba na matibabu ni kitu kimoja kwa sababu neno tiba limetoka katika neno matibabu haiwezekani kuyatenganisha maneno hayo.

Narudia kwwmba tiba na matibabu hakuna tofauti baina ya maneno hayo,kutoa tiba maana yake ni kutibu na kutibu ni kufanya matibabu.

Aaa haya mbona tumeshayazoea humu wala hayana tabu kwangu.

Sayansi ya tiba na utabibu hakuna utofauti katika uhalisia wake,tunarudi kule kule kwamba tiba na matibabu ni kitu kimoja,hapo umeongeza neno sayansi.

Hata CO anatumia sayansi ya wataalamu kutibu wagonjwa wala hatumii uganga wa kienyeji kufanya matibabu,hakuna utofauti ndugu daktari.
Kama hujui tofauti ya medicine na clinical,sidhani kama wewe unaweza kua sio CO
 
Ok kwa hiyo tunakubaliana kwamba CO kujiita daktari ni sawa kwa sababu anamsaidia bosi wake MD kazi ambayo na yeye ni katika majukumu yake ?
Mtu hawezi kuwa daktari sababu anamsaidia MD,BVM na PhD.........hizo mtu husomea chuo au hupewa kwa heshima[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
 
CO ni kozi iliyoaanzishwa nchi masikini ili kusaidia huduma za utabibu(clinical services),sababu ya uchache wa MD.
CO kujifananisha na MD ni kudhalilisha fani na hii haikubariki hata kidogo

Boss unaifahamu physician assistant
 
Nimekuuliza unaifahamu?
Inatolewa wapi hapa Tanzania?,wanaajiriwa wapi serikalini?,na wanaanza na scale kiasi gani?
NOTE.
CO sio daktari.....[emoji38][emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Inatolewa wapi hapa Tanzania?,wanaajiriwa wapi serikalini?,na wanaanza na scale kiasi gani?
NOTE.
CO sio daktari.....[emoji38][emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]

Boss vipi una matatizo mbona nachokuuliza na unachonijibu vitu viwili tofauti
 
Kwani ukisoma physics ya O-level unafanana na aliyesoma physics ya A-level na aliyesoma physics ya A-level anafanana na aliyesoma physics ya Chuo Kikuu? Yaani umesoma Chemistry yako O-level unataka ufsnsnishwe na Magufuli, na wewe wajiita Mkemia. [emoji16] Shida yenu nyie CO ni uelewa mdogo saana. Hakuna njia fupi ya kuwa daktari. Kama wataka uwe MD nenda kasome MD au MBBS tena miaka walau mitano.
Lakin mwisho wa siku wote mmesoma physics au sio physics?, Acha wivu wa kihivyo mkuu hawa watu wote wanatibu tu ila aliyekula mvua zake sita akiwepo lazima aheshimiwe lakin sasa unavyotoa povu as if wakiitwa ndo washachukua udaktari wenyewe, mkuu unachozungumza ni kweli lakin sasa unaonekana una hasira na jina hase waache waitwe bhana
 
Back
Top Bottom