Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Ila jambo ambalo hulijui ni kua mtu aliosoma barchelor ya clinical Officer analipwa scale Sawa na ya MD....
Huyo jamaa ni professional arrogant, tayari ameshaniita CO pale juu, jinga sana hili. Mdogo wangu wa mwisho ndo ana hiyo fani na alikuwa MD2 sema amepata ajira hizi za Tamisemi za juzi, ameenda kupiga kazi kisha atamalizia shule yake, mimi nilishapita huko kitambo, nilishakaimu hadi nafasi ya RMO.
 
Hata wewe unaonekana ni CO....
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.
 
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.

[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]maGP .....tena vilaza...[emoji13][emoji13]
 
Kutibu watu sio ku-qualify kutibu watu............Medicine(sayansi ya Tiba),sio clinical services pekee(utabibu)
Kumbuka clinical ni part tu ya medicine.......mtu aliyequalify kutibu watu kwa standard za international ni MD.
Swali dogo...........ukiacha TZ,Kenya,ni wapi kwengine kuna CO duniani?[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Sijibu maswali ya kijinga
 
CO hajaqualify kutibu watu
Amequalify kutibu nani CO ?

Kutibu watu sio ku-qualify kutibu watu......
Qualification ni cheti unachopewa na mamlaka husika kwamba wewe umemaliza kozi fulani na umefuzu na unakuwa unatambulika.


tafsiri uliyoitoa hakuna kitu kinaitwa CO.
Hilo ni jina tu,majina yanaweza kuwa tofauti baina ya nchi na nchi lakini kazi zikawa zinafanana.

Hoja iko pale pale kwamba CO na yeye anaingia katika wale wanaotibu wagonjwa na hiyo ni maana ya udaktari inayoenea.

Tafsiri niliyokupa imesema kwamba daktari ni yule aliyqualify kutibu watu,je CO anaingia au haingii ?

Jawabu anaingia katika maana hiyo,hivyo na yeye anastahiki kuitwa daktari.

LAKINI KWA maana ya kwamba daktari ni yule ambae ana degree hapo CO haingii kwa sababu hiyo degree hana,na maana hii ya udaktari hata mtu ambaye hajasoma medicine anaweza akaitwa lakini akawa hajui kutibu watu

Kinachomfanya mtu wa MD awe daktari tofauti na wale wa kpzi zingine ni kwa sababu ya kusomea kwake kutibu watu.
Kwa ndege ulaya wanaunda,nawe unaunda yako ya mabox unaiita ndege si ndio?
Toa mifano halisi ambayo imeshawahi kufanyika,usitoe mifano ya kijinga ili udogoshe hoja yangu.
 
ukiacha TZ,Kenya,ni wapi kwengine kuna CO duniani?
emoji16.png
emoji38.png
emoji205.png
emoji205.png
emoji205.png
emoji205.png
Dunia nzima kuna co.

Kwa sababu kazi ya Co ni kutibu katika vituo vya afya,na hiyo kazi ya kutibu inafanywa duniani kote na vituo vya afya vipo duniani kote na wagonjwa wapo duniani kote.

Kwa mantiki hiyo Co yupo duniani kote,au ulitaka dunia nzima kila Nchi aitwe CO ?
 
Amequalify kutibu nani CO ?


Qualification ni cheti unachopewa na mamlaka husika kwamba wewe umemaliza kozi fulani na umefuzu na unakuwa unatambulika.



Hilo ni jina tu,majina yanaweza kuwa tofauti baina ya nchi na nchi lakini kazi zikawa zinafanana.

Hoja iko pale pale kwamba CO na yeye anaingia katika wale wanaotibu wagonjwa na hiyo ni maana ya udaktari inayoenea.

Tafsiri niliyokupa imesema kwamba daktari ni yule aliyqualify kutibu watu,je CO anaingia au haingii ?

Jawabu anaingia katika maana hiyo,hivyo na yeye anastahiki kuitwa daktari.

LAKINI KWA maana ya kwamba daktari ni yule ambae ana degree hapo CO haingii kwa sababu hiyo degree hana,na maana hii ya udaktari hata mtu ambaye hajasoma medicine anaweza akaitwa lakini akawa hajui kutibu watu

Kinachomfanya mtu wa MD awe daktari tofauti na wale wa kpzi zingine ni kwa sababu ya kusomea kwake kutibu watu.

Toa mifano halisi ambayo imeshawahi kufanyika,usitoe mifano ya kijinga ili udogoshe hoja yangu.
Inawezekana wewe huelewi na ni mjinga sababu tu ni CO.
CO hajaqualify kutoa huduma za matibabu ......CO anafanya utabibu tu na hii ndio kikomo chake...........sayansi ya Tiba inahusu research,investigations etc .......CO anaweza fanya utabibu hata kwa mgonjwa wa malaria lakini hawezi kufanya Tiba........CO hata majibu ya chemistry kwenye mtaala wake hajifunzi kutafsiri,CO hajasoma hata biochemistry.......anawezaje sasa kutoa Tiba?[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]kwa mgonjwa malaria mwenye hemolytic anaemia,jaundice............kuna sababu za dhati za wewe kua CO,ikiwemo uelewa na akili ndogo ......sayansi ya Tiba na utabibu ni vitu viwili tofauti ........
CO hajaqualify kutoa medical services(sayansi ya Tiba)
Nenda shule ili uqualify kutoa TIBA na si utabibu(clinical services)
 
Dunia nzima kuna co.

Kwa sababu kazi ya Co ni kutibu katika vituo vya afya,na hiyo kazi ya kutibu inafanywa duniani kote na vituo vya afya vipo duniani kote na wagonjwa wapo duniani kote.

Kwa mantiki hiyo Co yupo duniani kote,au ulitaka dunia nzima kila Nchi aitwe CO ?
CO ni kozi iliyoaanzishwa nchi masikini ili kusaidia huduma za utabibu(clinical services),sababu ya uchache wa MD.
CO kujifananisha na MD ni kudhalilisha fani na hii haikubariki hata kidogo
 
Kwahio unataka kusema hata waliosoma barchelor of clinical medicine pia sio madaktari..?
Chuo gani hapa Tanzania kinatoa bachelor of clinical medicine?
Daktari ni,MD,BVM na PhD fullstop
 
Ila jambo ambalo hulijui ni kua mtu aliosoma barchelor ya clinical Officer analipwa scale Sawa na ya MD....
Wapi hapa Tanzani wanatoa kozi ya clinical medicine na wanafanyiaga intern wapi?
[emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
CO muna uelewa mdogo sana wa mambo.
Bachelor of medicine and bechelor of surgery(MBSS) ni sawa na doctor of medicine.....na hao ndio madaktari sasa.
Bachelor of clinical of medicine[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]hio labda CO munadanganya huko vyuoni,kwa uvivu wenu na akili ndogo
 
Huyo jamaa ni professional arrogant, tayari ameshaniita CO pale juu, jinga sana hili. Mdogo wangu wa mwisho ndo ana hiyo fani na alikuwa MD2 sema amepata ajira hizi za Tamisemi za juzi, ameenda kupiga kazi kisha atamalizia shule yake, mimi nilishapita huko kitambo, nilishakaimu hadi nafasi ya RMO.
Hakuna RMO mwenye akili ndogo kama yako na hata tokea,hana huo muda.......wewe ni typically clinical officer,tena utakua umesoma vyuo vya kichovu mno,sijui St Bhakita huko[emoji38][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Niheshimu, mimi sio miongoni mwenu. Mdogo wangu wa mwisho ndo CO na tayari alikuwa MD2 but akapata hizi kazi za Tamisemi akaona aende kupiga kazi then atarudi kumalizia shule yake. Mimi sio miongoni mwenu nyia maGP.
KombaME wewe ni CO tu 100% kwa nature ya uchangiaji wako hapa,na unavojisifu vitu ambavyo hauna(which is a completely typically features of CO).
[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
Kama wewe sio CO sema halleluyah KombaME?
 
KombaME wewe ni CO tu 100% kwa nature ya uchangiaji wako hapa,na unavojisifu vitu ambavyo hauna(which is a completely typically features of CO).
[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
Kama wewe sio CO sema halleluyah KombaME?
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.
 
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.

Mwendo umeumaliza ndug...!!!! Akae kwa kutulia..
 
naomba na mimi kukazia tena kwa herufi kubwa CO SIO DAKTARI, njooni nipigeni sasa

Nendeni shule acheni upuuzi
Co ni daktari ukitaka uthibitishe hapo..jipange wewe na co harafu muulize wagonjwa nani dktari na nani sio daktari..ndio utajua hujui[emoji28][emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Hujui nini unazungumza, mdogo wangu wa mwisho huko ndo CO na ni mwajiriwa tayari, akaacha kuendelea na shule akaenda kupiga kazi, Inaonekana una access ya kujua email au majina ya watu, nakumbuka umewahi kucomment kweny post yangu moja hivi kwa kunipa hongera ya kuajiriwa na Tamisemi na nimescreenshot ili niwatumie mods waseme umewezaje kujua email ninayoingia nayo humu, natumia email ya dogo kuingia humu na lengo ni kutojulikana maana najua kuna watu sio waaminifu km wewe, sio wote tunapenda kujisifu km wew. Niwekee namba yako dm tumeet face to face uanze kuheshimu watu, na ndo maana mnaitwa maGP. Hakuna specialist anayeweza kushinda mitandaoni kudharau watu, wakat asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania wapo vijijini na wanatibiwa na hao CO na CA.
MD hana muda wa kuandika mambo mengi sana hivo,kujielezea......wewe ni CO tu na utakua umesoma St Bhakita huko labda[emoji16][emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Back
Top Bottom