Matokeo ya darasa la Saba 2014 yatangazwa, mkoa wa Dar es Salaam waongoza

Matokeo ya darasa la Saba 2014 yatangazwa, mkoa wa Dar es Salaam waongoza

Nimefurahi utoaji wa matokeo maana hata wale waliokuwa wanalalamika kuwa watoto wao wamefauru ila nafasi zao zimechakachuliwa wataumbuka. angalai wastan wa mwanao ndo ujue atapata shule ama la! hata shule binafsi tumia wastan wa mwanafunzi kumsajili vinginevyo mtaokota mbumbumbu kama mimi!
 
PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
..........................................................
PS0306064-056
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - C
.........................................
PS0306004-012
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
.......................................
PS0306004-013
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
..........................................
PS0306004-037
Kiswahili - B,English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B,
Average Grade - C
..............................................
Kinachonipa shida ni jinsi walipanga hivyo viwango.
- Je; ni namna gani wetafuta hizo average grade?
- Kwenye kupata hizo average kuna considetation zingine nje ya matokeo ya mwisho (final examination)?
Kma kuna vitu vingine sijavijua namba mnijuze?
Nawasilisha.
 
PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
Hii ni kali ya mwaka!kwa mimi niliyosoma pure maths ya mr.kiringo ilboru sidhani kama ni possible C zipo 3 halafu B 2 wastani uwe B?duuh hii BRN ya ccm inatupeleka pabaya sana
 
Labda waliweka madaraja halafu average grade wanaipata baada kutafuta wastan wa alama na sio grade.ccm hakuna mkubwa wakuamuru mipaka ya maamuz? Maana kila mtu anamaamuz
 
Wakati kiwango cha elimu kinazidi kupanda kutokana na ufaulu wa mitihani ya drs la saba huku kwa upande mwingine inaonesha watoto hao wakitanzania kushindwa kumudu somo la hisabati ,swala la kujiuliza kwani akuna walimu au vitabu? Lakini hata hivyo watoto hao ni bure tu wakipelekwa sekondari tabu tupu mtu ajui hata kuandika mmh! Acha niwaachie wadau kujadili hili
 
BRN kweli inkuja na mambo mengi na n lazima tukumbane na mengi. Sidhani hata ni kutafuta GPA inweza kuwa ni hiyo average kwa namna hiyo ya kupata B-3 na C-2 but average grade ni C while mtu ana B-2 na C-3 but average grade ni B. Labda vipo vigezo vingine otherwise it's unfair.
 
Guyz naona wengi mna lalamika na grads lakini huwezi jua kwanza makosa yapo hadi mitihan ya 4m6 yapo hayo usishangae primary piliii nyie mnao lalama tuwekeeni hapa A inanzia ngapi B ngapi hadi C den ujue zinapatikan vp hawa watoto jumla ya alama ni kwa masomo ma tano den 41-50 ni A na 40-31 ni B so mtu kuwa na B Mbili na C tatu afu akawa na average ya B inawezekana sanaaaa plz MSIKURUPUKE JAMANIII

mfano mtoto akiwa na 40-B
40-B
30-C
30-C
30-C
Ukijumlisha hizo unapata 170 den gawanya kwa 5 unapata 34 ambayo ni B so nani hajui hesabu hapo ww au barazaaa plz narudia tena KABLA HUJAROPOKA UJINGA WAKO HEBU KAA NA UFIKIRIEEE
 
PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
Hii ni kali ya mwaka!kwa mimi niliyosoma pure maths ya mr.kiringo ilboru sidhani kama ni possible C zipo 3 halafu B 2 wastani uwe B?duuh hii BRN ya ccm inatupeleka pabaya sana
Inawezekana kabisa mwenye B mbili na C tatu akawa na average ya B, average grade inapatikana kutoka kwenye average marks. Tufanye assumption kwamba B inaanzia 61 hadi 80 na C inaanzia 41 hadi 60, sasa huyu mtu somo la kwanza kapata 78 na la pili kapata 65 ambazo ni B mbili, somo la tatu kapata 60, la nne kapata 52 na tano kapata 58 ambazo ni C tatu, ukijumlisha jumla ya maksi zote ni 313, average yake ni 62.6 ambayo ni B.
 
Na hata mtu kuwa na B tatu na C mbili kuwa na average ya C pia inawezekana kama kapata B ya mwisho na C ya mwisho kwann asiwe na average ya C nyie wengi humu ni walopokaji ndo tatizo hamfikiriii kidg tuu CCM kitu huna akili wew unaleta siasaa acheni hizooo kaa fuatilia mambo ndo uje hapaaa
 
Acheni zenuuu hesabu ndg zinawazuzua bhna eti msomi unashangaa mtoto kuwa na B 2 na C 3 kupta average ya B C 2 B 3 kuwa na average ya C unashangaaa

Jumla ya alama ni 250 gawa kwa 5
A ni 50-41
B ni 40-31
C ni 30 na kushuka na zngne huko sa una shangaa nn
 
Matokeo darasa la saba yametoka mbona hawajaeka shule wanazoenda
Siku hizi wanatoa kama ilivyo Oleve na Alevel alafu baadae ndio wanapanga tofauti na zamani matokeo maana yake ni majina ya waliochaguliwa kuingia secondari na walikuwa hawatoi umepata ngapi
 
Al Farouuq İl islamiya İslamic seminari imekuwa ya ngapi?

Jamani naomba mwenye kujua maana walitutapeli kwa kuiba jina la wayahudi na wakristo " seminari" huku tunawaita makafiri ,huku tunatumia majina yao ya watakatifu.

walah mie BAKWATA siwaelewi

ipo mkoa na wilaya gan?
 
Embu tusubiri wataalamu maana inakuwa ngumu kuelewa hasa ukizingatia marks hazijaonyeshwa
 
Guyz naona wengi mna lalamika na grads lakini huwezi jua kwanza makosa yapo hadi mitihan ya 4m6 yapo hayo usishangae primary piliii nyie mnao lalama tuwekeeni hapa A inanzia ngapi B ngapi hadi C den ujue zinapatikan vp hawa watoto jumla ya alama ni kwa masomo ma tano den 41-50 ni A na 40-31 ni B so mtu kuwa na B Mbili na C tatu afu akawa na average ya B inawezekana sanaaaa plz MSIKURUPUKE JAMANIII

mfano mtoto akiwa na 40-B
40-B
30-C
30-C
30-C
Ukijumlisha hizo unapata 170 den gawanya kwa 5 unapata 34 ambayo ni B so nani hajui hesabu hapo ww au barazaaa plz narudia tena KABLA HUJAROPOKA UJINGA WAKO HEBU KAA NA UFIKIRIEEE

nimeilewa,saafi sana!!
 
Nimefurahi utoaji wa matokeo maana hata wale waliokuwa wanalalamika kuwa watoto wao wamefauru ila nafasi zao zimechakachuliwa wataumbuka. angalai wastan wa mwanao ndo ujue atapata shule ama la! hata shule binafsi tumia wastan wa mwanafunzi kumsajili vinginevyo mtaokota mbumbumbu kama mimi!
Zamani tulikuwa tunachukua ujiko mtaani kwamba tumefaulu nadhani utaratibu huu ungekuwepo kuna wengine wasingesoma sekondari aisee
 
Back
Top Bottom