Matokeo ya darasa la Saba 2014 yatangazwa, mkoa wa Dar es Salaam waongoza

Matokeo ya darasa la Saba 2014 yatangazwa, mkoa wa Dar es Salaam waongoza

Na hata mtu kuwa na B tatu na C mbili kuwa na average ya C pia inawezekana kama kapata B ya mwisho na C ya mwisho kwann asiwe na average ya C nyie wengi humu ni walopokaji ndo tatizo hamfikiriii kidg tuu CCM kitu huna akili wew unaleta siasaa acheni hizooo kaa fuatilia mambo ndo uje hapaaa

Mkuu punguza kidogo lugha ya ukali, unachotakiwa ni kuwaelewesha maana kwenye matokeo hawajaonyesha marks zaidi kuonyesha grade, nadhani wewe una hoja na wao wana hoja kutokana na uzoefu kuonyesha kwamba grade ndizo zinatumika kupanga matokeo na huwa hawasemi kwamba labda huyu atakuwa amepata C ya mwisho na huyu ya mwanzo

Mfano haya matokeo mtu chini

PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
.............................. ............................
PS0306064-056
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - C
 
Inawezekana kabisa mwenye B mbili na C tatu akawa na average ya B, average grade inapatikana kutoka kwenye average marks. Tufanye assumption kwamba B inaanzia 61 hadi 80 na C inaanzia 41 hadi 60, sasa huyu mtu somo la kwanza kapata 78 na la pili kapata 65 ambazo ni B mbili, somo la tatu kapata 60, la nne kapata 52 na tano kapata 58 ambazo ni C tatu, ukijumlisha jumla ya maksi zote ni 313, average yake ni 62.6 ambayo ni B.
Wazo jema unless kama STD 7 vigezo ni tofauti lakini kwa level nyingine zote grades ndizo zinatumika kupanga average, chukua cheti chako cha form 4 kama mfano kila grade imepewa uzito wake hivyo iwe ni C ya Kiswahili au Maths au Georgraphy zote zina weight moja, matokeo yatabadilika tu kama mtu amepiga F ya hesabu tu (hata kama ni kwa mfumo wa GPA bado grade zinatumika kuamua matokeo na si marks ambazo hazionyeshwi. Nadhani kupitia brainstorming tunayofanya hapa tutapata chochote kuhusu sintofahamu
 
Mkuu punguza kidogo lugha ya ukali, unachotakiwa ni kuwaelewesha maana kwenye matokeo hawajaonyesha marks zaidi kuonyesha grade, nadhani wewe una hoja na wao wana hoja kutokana na uzoefu kuonyesha kwamba grade ndizo zinatumika kupanga matokeo na huwa hawasemi kwamba labda huyu atakuwa amepata C ya mwisho na huyu ya mwanzo

Mfano haya matokeo mtu chini

PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
.............................. ............................
PS0306064-056
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - C

Sorry kaka nilikereka na walio anza na siasa kuzungumzia matokeo ndo maanaaa bt ipo hivi primary wao hawatumij ile kama secondary wao watumia ipo hivi mtoto anafanya maswali hamsini kwa kila somo na swali moja lina marks moja so kuna wanao pata 50/50 hvyo viwango vyao vipo hv
50-41 ni A
40-31 nj B
Na zingne zinaendelea kujua hilo angaliwa walio ongoza masomo kwa ufaulu utaona marks zao zimetolewa vipi so kwa maana hiyo jumla yao ya marks ni 250 kwa masomo 5 na kuthibitisha hilo angalia majina ya shule walizo pangiwa yatakapo toka huwa wana weka na jumla ya alama mfano wenye kuanzia jumla.ya alama 205 hupelekwa shule zile za serikali kubwa za bwen means sasa kwa vigezo hvyo haipingiki na inawezekana kabisa kutokea kwa matokeo hayoo angalia mfano nilio kokotoa hapo juu utanielewa nn namanisha
 
Mkuu punguza kidogo lugha ya ukali, unachotakiwa ni kuwaelewesha maana kwenye matokeo hawajaonyesha marks zaidi kuonyesha grade, nadhani wewe una hoja na wao wana hoja kutokana na uzoefu kuonyesha kwamba grade ndizo zinatumika kupanga matokeo na huwa hawasemi kwamba labda huyu atakuwa amepata C ya mwisho na huyu ya mwanzo

Mfano haya matokeo mtu chini

PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
.............................. ............................
PS0306064-056
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - C

Kwa matokeo hayo kaka inawezekana kabisaaaaaaa ukizingatia ni maswali yote ya kuchagua na yana carry equal marks so hakuna nusu marks wala marks mbili hivyo inawezekan kbsaaa plz soma tena mfano ule nilio toa utanielewa nn namanishaaa
 
Sorry kaka nilikereka na walio anza na siasa kuzungumzia matokeo ndo maanaaa bt ipo hivi primary wao hawatumij ile kama secondary wao watumia ipo hivi mtoto anafanya maswali hamsini kwa kila somo na swali moja lina marks moja so kuna wanao pata 50/50 hvyo viwango vyao vipo hv
50-41 ni A
40-31 nj B
Na zingne zinaendelea kujua hilo angaliwa walio ongoza masomo kwa ufaulu utaona marks zao zimetolewa vipi so kwa maana hiyo jumla yao ya marks ni 250 kwa masomo 5 na kuthibitisha hilo angalia majina ya shule walizo pangiwa yatakapo toka huwa wana weka na jumla ya alama mfano wenye kuanzia jumla.ya alama 205 hupelekwa shule zile za serikali kubwa za bwen means sasa kwa vigezo hvyo haipingiki na inawezekana kabisa kutokea kwa matokeo hayoo angalia mfano nilio kokotoa hapo juu utanielewa nn namanisha
Ahsante kwa comment yako maana udadisi ni muhimu ili kuwa informed
 
Wazo jema unless kama STD 7 vigezo ni tofauti lakini kwa level nyingine zote grades ndizo zinatumika kupanga average, chukua cheti chako cha form 4 kama mfano kila grade imepewa uzito wake hivyo iwe ni C ya Kiswahili au Maths au Georgraphy zote zina weight moja, matokeo yatabadilika tu kama mtu amepiga F ya hesabu tu (hata kama ni kwa mfumo wa GPA bado grade zinatumika kuamua matokeo na si marks ambazo hazionyeshwi. Nadhani kupitia brainstorming tunayofanya hapa tutapata chochote kuhusu sintofahamu
Mkuu kifupi ni hivi unapotaja tu avaerage maana yake unadeal na namba na sio herufi, huwezi kuwa na average bila kuhusisha namba. Hizo grade zenyewe zimepatikana baada ya kuamua kutengeneza magurupu ya maksi ambazo ni namba, hivyo maksi hizo hizo ndo zinazotumika kupata average maksi ambayo inakupa average grade, kama ingekuwa ni kutumia grade tu bila kuhusisha maksi huwezi kujua nani wa kwanza na nani wa mwisho maana unaweza kuta watu 100 wana A zote na watu 1000 wana F zote, bila kutumia maksi ambazo ni namba maana yake utasema watu 100 wamekuwa wa kwanza na watu elfu moja wamekuwa wa mwisho.

Nikupe mfano rahisi labda utanielewa: Kwa matokeo ya terminal na annual kwa O level ilikuwa ni kila somo linakuwa na column ya maksi pamoja na column ya grade kwa kila somo, halafu kunakuwa na row ya jumla ya maksi zote na hiyo jumla ndo inatoa average grade baada ya kugawanya kwa idadi ya masomo.

Ukichukua matokeo ya form four ambayo wewe umefanya reference hapo kuna vitu vingi, kuna grade na kila grade ina pointi zake na jumla ya hizo pointi ndo itakupa division. Lakini yote kwa yote average is all about summation and division of numbers.
 
PS0306113-009
Kiswahili - B, English - C,Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
..........................................................
PS0306064-056
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C,
Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - C
.........................................
PS0306004-012
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
.......................................
PS0306004-013
Kiswahili - B,English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C,
Average Grade - B
..........................................
PS0306004-037
Kiswahili - B,English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B,
Average Grade - C
..............................................
Kinachonipa shida ni jinsi walipanga hivyo viwango.
- Je; ni namna gani wetafuta hizo average grade?
- Kwenye kupata hizo average kuna considetation zingine nje ya matokeo ya mwisho (final examination)?
Kma kuna vitu vingine sijavijua namba mnijuze?

Nawasilisha.

hesabu rahisi sana hiyo mkuu inaitwa
wastan mfano
math 32
mar 30
eng 31
kisw 40
sayan 40
average =35 ambayo ni B
 
Mkuu kifupi ni hivi unapotaja tu avaerage maana yake unadeal na namba na sio herufi, huwezi kuwa na average bila kuhusisha namba. Hizo grade zenyewe zimepatikana baada ya kuamua kutengeneza magurupu ya maksi ambazo ni namba, hivyo maksi hizo hizo ndo zinazotumika kupata average maksi ambayo inakupa average grade, kama ingekuwa ni kutumia grade tu bila kuhusisha maksi huwezi kujua nani wa kwanza na nani wa mwisho maana unaweza kuta watu 100 wana A zote na watu 1000 wana F zote, bila kutumia maksi ambazo ni namba maana yake utasema watu 100 wamekuwa wa kwanza na watu elfu moja wamekuwa wa mwisho.

Nikupe mfano rahisi labda utanielewa: Kwa matokeo ya terminal na annual kwa O level ilikuwa ni kila somo linakuwa na column ya maksi pamoja na column ya grade kwa kila somo, halafu kunakuwa na row ya jumla ya maksi zote na hiyo jumla ndo inatoa average grade baada ya kugawanya kwa idadi ya masomo.

Ukichukua matokeo ya form four ambayo wewe umefanya reference hapo kuna vitu vingi, kuna grade na kila grade ina pointi zake na jumla ya hizo pointi ndo itakupa division. Lakini yote kwa yote average is all about summation and division of numbers.

somo zuri
 
Wanasubiri uchaguzi tu ikionekana ccm imeshindwa wanaghailisha wanarudia tena chezea chama weee wanapiga wote EEEE average
 
Mwenye taarifa ya hizo shule walizopangia kwa mkoa wa Dar,jaman atujuze.
 
A-50-41, B-40-31, C-30-21, D-20-11, E- 10-0

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu kifupi ni hivi unapotaja tu avaerage maana yake unadeal na namba na sio herufi, huwezi kuwa na average bila kuhusisha namba. Hizo grade zenyewe zimepatikana baada ya kuamua kutengeneza magurupu ya maksi ambazo ni namba, hivyo maksi hizo hizo ndo zinazotumika kupata average maksi ambayo inakupa average grade, kama ingekuwa ni kutumia grade tu bila kuhusisha maksi huwezi kujua nani wa kwanza na nani wa mwisho maana unaweza kuta watu 100 wana A zote na watu 1000 wana F zote, bila kutumia maksi ambazo ni namba maana yake utasema watu 100 wamekuwa wa kwanza na watu elfu moja wamekuwa wa mwisho.

Nikupe mfano rahisi labda utanielewa: Kwa matokeo ya terminal na annual kwa O level ilikuwa ni kila somo linakuwa na column ya maksi pamoja na column ya grade kwa kila somo, halafu kunakuwa na row ya jumla ya maksi zote na hiyo jumla ndo inatoa average grade baada ya kugawanya kwa idadi ya masomo.

Ukichukua matokeo ya form four ambayo wewe umefanya reference hapo kuna vitu vingi, kuna grade na kila grade ina pointi zake na jumla ya hizo pointi ndo itakupa division. Lakini yote kwa yote average is all about summation and division of numbers.

Ndio nilikuwa nafikiria na hayo wameyapanga kwa style hii
 
Naomba mwenye link ya hayo majina ya shule walizopangiwa atupatie tafadhali.
 
sasa jukwaa limejaa matokeo ya primary ngoja na ya form six uone matusi hapa jukwaana,
wapeni salam zangu hao darasa la saba.
 
sasa jukwaa limejaa matokeo ya primary ngoja na ya form four uone matusi hapa jukwaani,
wapeni salam zangu hao darasa la saba.
 
Back
Top Bottom