Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Yes,Mkuu mi nikajua umeuwa pcb ujue..
Nimesoma PCB Ila nimeelezea masomo Kama yalivyo kwenye uwanja wa ugenini na uwanja wa nyumbani.
Masomo yote 9 nilifanya vizuri siku fail somo lolote.