MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

Kwa wadini,
Ni kweli seminari za Kikristo zinaongoza na zitaendelea kuongoza kwa kipindi fulani kijacho. Waislam wanapaswa kulitambua hilo. Ni ukweli pia kuwa idadi ya wasomi waislam inaongezeka kwa kasi kadri miaka inavyokwenda. Wakristo wanapaswa kulitambua hilo. Anayetaka idadi ya waislam wasomi iwe sawa na wakristo ndani ya muda mfupi anajidanganya na anayedhani kwamba waislam wa miaka ya 60 ndio hawa wa 2010 anajidanganya. The equation is slowly balancing.

Kwa wazalendo,
Wanaosoma kwenye shule za kidini ni sehemu ndogo sana ya wanafunzi wote. Msiba ni kuwa wanafunzi 40, 388 (11.5%) ndio wamepata division I - III tofauti na mwaka jana 42, 672. Kuna wenzetu wanashangilia matokeo haya!
 
Rostam Azizi anatafuna nchi mpaka kwenye sms

mtakoma.

Jamani, hata hao watendaji wa serikali hawaoni aibu? Mbona this is common sense serikali haitakiwi ilazimishe wananchi wake kujiunga na mtandao fulani wa simu?

This lady and whoever engeneered this decision must resign, haraka sana

halafu hii heading ya thread ingebadilishwa, kwamba Rostam alazimisha serikali kulazimisha wananchi kujiunga na mtandao wa Vodacom! Binafsi nilishaikwepa hii thread
 
Kama watanzania wengi wenye ndugu ambao wamemaliza form 4. Kitu kimoja kimenishangaza sana kwanini taasisi ya serikali inaweka tangazo kwamba kama mwanafunzi anataka kuona majibu kwa njia ya simu ni lazma awe na line ya VODACOM ilI apate majibu hayo! Serikali kuweni makini hio kitu haina manufaa kwa jamii husika kwasabau mnajua kabisa kwamba watu wanatumia line tofauti.


Over and out

WAFANYAKAZI SERIKALINI KUWENI MAKINI NA MIKATABA YA KIJINGA MNAYOINGIA AMBAYO HAINA MANUFAA KWA WALENGWA.

Na ikumbukwe kuwa VodaCom huyu huyu fisadi nyangumi ndo mwenye hisa kubwa angalia alivyo waweka watu kiganjani kama anavyo taka anajua kweli kuwanyonya maskini
 
Haitakuja tokea na haitarajiwi na mtu yeyote duniani waislam kuwa na 'academic excellency' kuzidi wakristo. Wagunduzi wa mambo ya science, technology na nadharia za masuala ya kisiasa na kiuchumi takriban wote ni wakristo. Sijawahi kusikia, haitatokea na wala haipendezi kusikia kitu kama Abdalah's law of motion au Khalfan's principle of ....... It sounds good unaposikia kitu kama Newton's Law of Motion, Charles's and Boyles's Law, Ohm's Law, Albert Einstain, n.k. Kwa hiyo, kinachotokea sasa hapa nchini, ni mwendelezo wa mambo yaliyoanza tangu enzi na enzi.

Ukiangalia hata nchi za uarabuni ambazo zipo vizuri kiuchumi kama vile Saudi Arabia, Qatta, Kuwait, n.k utashangaa makampuni takribani yote makubwa yameshikwa na wamarekani, waingereza, warusi, wafaransa, n.k. Wao kinachowasaidia ni mitaji inayotokana na visima vya mafuta.

Kwa hiyo ndg zangu wazee wa ubwabwa, kahawa na kashata siwalaumu sana kwa kuchemsha kielimu kwani ni mwendelezo wa yaleyale ya zamani. Mimi nahisi hata ukipitia harakaharaka orodha ya waislam wasomi hapa nchini unaweza ukashangaa wengi wao walipitia shule za wakristo. Mwangalie Prof. Lipumba aliyesoma Tabora Boys, .... hadi Marekani. Hata jk mwenyewe ingawa yeye huwezi kumweka kwenye orodha ya wasomi nae alipitia shule za wakatoriki.

Amkeni jamani acheni kusingizia mambo ya upendeleo. Mtaendelea kuchelewa.


Huwa nafurahia sana nikiona nyie watu wa dini mkijipa faraja zakulazimisha.

Majina ya kikristo ndio yanakufanya uamini kwamba ni watu wa dini?

Hujawahi kusikia mkristo akawa na jina la kiarabu ambalo nyie watu wa dini moja kwa moja mnamuita Muislam.

Nakupa kazi utafute hayo majina uliyoweka hapo juu kwamba walikua wanaamini nini.

WENGI WAO NI ATHEISTS

Nikupe hint, kuna Algebra huyu mwana sayansi mashughuli alikua muarabu kuhusu dini yake siijui lakini kwa wanasayansi wakubwa wanajua umuhimu wake

Algebra System of Equations Substitution Method
 
JAMANI KWELI INASIKITISHA SANA NDUGU ZANGU!!!!!!!! sielewi kwanini seminary zetu za kiislam zinafanya vibaya kiasi hiki..... si shule wala mwanafunzi wake aliye kwenye nafasi za juu

Ungeweka supporting doc hapa ili uonyeshe unachoongea ni substance!...Kuongea hivi tu itawafanya jamaa zangu waone kama ni majungu, wakati ukweli wanaujua wazi!
 
6. Pande Darajani (Tanga),
7. Igawa (Morogoro),
8. Makata (Lindi),
9. Mbuyuni na 10. Naputa kutoka Mtwara


na huku ndio ccm ilishinda kwa kishindo

well said mkuu... na wilaya ya kondoa nayo imetoa tano bora za mwisho, na huko JK alishinda kwa kishindo
 
wakati wenzao wanatulia madarasani na kusoma kazi yao kushabikia siasa tu na propaganda za udini kama gazeti lao al nuur its a shame
 
wakati wenzao wanatulia madarasani na kusoma kazi yao kushabikia siasa tu na propaganda za udini kama gazeti lao al nuur its a shame

Mandhari za shule zinachangia bwana.
Seminari nyingi za hao waislam ziko down town wakati seminari za madhehebu mengine ziko nje ya mji.
Mwanafunzi gani atakua na concentration wakati anasikia kelele za wamachinga, mwizi akipigwa nk.
Kuna sekondari pale Kariakoo wanafunzi wakisikia mwizi basi na wao wanatoka nje. sasa umeenda kusoma au kufukuza wezi?
 
Mandhari za shule zinachangia bwana.
Seminari nyingi za hao waislam ziko down town wakati seminari za madhehebu mengine ziko nje ya mji.
Mwanafunzi gani atakua na concentration wakati anasikia kelele za wamachinga, mwizi akipigwa nk.
Kuna sekondari pale Kariakoo wanafunzi wakisikia mwizi basi na wao wanatoka nje. sasa umeenda kusoma au kufukuza wezi?


hao walioanzisha hizo shule hilo hawakulijua????
 
JAMANI KWELI INASIKITISHA SANA NDUGU ZANGU!!!!!!!! sielewi kwanini seminary zetu za kiislam zinafanya vibaya kiasi hiki..... si shule wala mwanafunzi wake aliye kwenye nafasi za juu

Kwa kuwa unapenda kubaguana, uliza hivi: Kwa nini seminari za Kikatoliki zinafanya vizuri kuliko seminari nyingine? Usitaje za Kiislam tu, hata za Kisabato, etc.
 
Mwitwni Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yenu mambo yote yatawanyookea.
Nimezaliwa kwenye familia ya Kiislam baba na mama, lakini naamini kuwa Yesu ndio njia pekee ya uzima wa milele
JAMANI KWELI INASIKITISHA SANA NDUGU ZANGU!!!!!!!! sielewi kwanini seminary zetu za kiislam zinafanya vibaya kiasi hiki..... si shule wala mwanafunzi wake aliye kwenye nafasi za juu
 
JAMANI KWELI INASIKITISHA SANA NDUGU ZANGU!!!!!!!! sielewi kwanini seminary zetu za kiislam zinafanya vibaya kiasi hiki..... si shule wala mwanafunzi wake aliye kwenye nafasi za juu
Kama mpaka sasa huelewi ni kwanini hawapati nafasi za juu basi fanya mawasiliano na waziri,wakuu wa shule na wanafunzi wenyewe watakwambia ni kwanini.
 
Mwitwni Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yenu mambo yote yatawanyookea.
Nimezaliwa kwenye familia ya Kiislam baba na mama, lakini naamini kuwa Yesu ndio njia pekee ya uzima wa milele
Tunafahamu kuwa katika seminari za kikristo wanafundisha na dini pia lakini katika hesabu au fizikia huwezi kukutana na jina la Yesu ndio ufaulu,kama kusudio lako ni watu waokoke basi hapa si mahali pake.
 
Jitihada, nidhamu na malezi ndiyo vinavyochangia shule za seminary kufanya vizuri, walimu wako kwa ajili ya wanafunzi, na wanajali ufaulu wa wanafunzi kwa dhati. Kumbuka pia kuwa shule hizi za seminary za kikikristu zinaongozwa na watawa, ambao kwa walio wengi hawajali sana maslahi binafsi badala ya maslahi ya shirika husika..nadhali hili limekosekana katika seminary za kiislamu:embarrassed:
 
halafu mnasema CCM wana udini, udini uko hapa kwenu wenye blogu, msifurahie hawa watoto kufeli, wala kuwashindanisha, mtakapokuwa wazee hawa ndio watakuwa madaktari feki,
hapa kuna shule za aina nyingi,
zenye wanafunzi zaidi ya 40 au pungufu,
za mchanganyiko wa sex au kutofautisha,
za serikali au binafsi
za serikali vipaji maalum au za kata
za dei au boarding
zenye A level pia au O level tu
za mijini au vijijini
zenye zaidi ya miaka kadhaa au mpya,
za binafsi za dini au binafsi wasio dini, au seminari
nk
nk


hebu tuchanganue kote huko tuangalie tatizo liko wapi
 
Ungeweka supporting doc hapa ili uonyeshe unachoongea ni substance!...Kuongea hivi tu itawafanya jamaa zangu waone kama ni majungu, wakati ukweli wanaujua wazi!

HTML:
Dk Ndalichako alitaja shule kumi bora zenye watahiniwa zaidi ya 40 na mikoa zinakopatikana kwenye mabano kuwa ni Uru Seminari (Kilimanjaro), Marian Girls (Pwani), St Francis Girls (Mbeya), Canossa (Dar es Salaam), Msolwa (Morogoro), Feza Boys (Dar es Salaam), St Mary Goreti (Kilimanjaro), Abbey (Mtwara), St Joseph Semiterambogo (Kigoma) na Barbro-Johansson (Dar es Salaam).

HTML:
Alieleza kuwa shule kumi bora zenye watahiniwa chini  ya 40 ni seminari ya Don Bosco (Iringa), Feza Girls (Dar es Salaam), Maua Seminari (Kilimanjaro), Queens of Apostles Ushirombo (Shinyanga), Sengerema Seminari (Mwanza), Sanu Seminari (Manyara), Bethelsabs Girls (Iringa), St Joseph-Kilocha Seminary (Iringa), Dungunyi Seminary (Singida) na Mafinga Seminary (Iringa).

HTML:
Dk Ndalichako pia aliwataja watahiniwa kumi bora kitaifa na shule zao kwenye mabano kuwa ni Lucylight Mallya (St Marian), Maria-Dorin Shayo (St Marian), Sherryen Mutoka (Barbro-Johansson), Diana Matabwa (St Francis Girls) na Neema Kafwimi (St Francis Girls).   Wengine ni, Beatrice Issara (St Mary Goreti), Johnston Dedani (Ilboru), Samwel Emmanuel (Moshi Technical), Bertha Sanga (Marian Girls) na Bernadetha Kalluvya (St Francis Girls).

.....BTW IST hawahusiki na NECTA......
Wasichana wang
 
Back
Top Bottom