Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,500
Nadhani makamba angekuwa na la kujivunia kama angehimiza uchangiaji wa hiyo shule kama madawati,vifaa vya maabara, vitabu nk ili kuboresha elimu.Lakini amebaki kupayuka payuka ovyo bila mpangilio wowote, hapo ndo angejitafutia sifa. Lakini pia hata shule za mama salma.anna mkapa,J Kikwete nazo zimefanya hovyo naona bora wafute haya majina zipewe majina ya mitaa zilipojengwa hizi shule manake hayo majina hayana msaada wowote kwao.KUna haja ya kuangalia upya umuhimu wa hizi shule hasa za kata kwanini wamefelei hivo? kwa div 4 wengi watahonga waende ualimu unadhani wakipewa ualimu si ndo elimu kwisha kabisa....na wengineo wataingia mitaani kufanya biasharara wkt hawana mtaji. Tetegemee hapa majambzi, machangu wengi nk yale yale ya Tunisia.....