Mkuu wahimize wanao wasome kwa bidii na uwekeze kwenye elimu yao vinginevyo utabaki na mfumo kristo milele maana wkt mnahangaika na mfumo wenzenu wanazidi kuwekeza,nilitegemea mwaka huu walao pawepo na tofauti lkn naona bado mnalalama tu.namba wanatoa baraza la mitihani, majibu wanatoa wao na kila mwanafunzi taarifa zake zipo baraza la mitihani, watashindwaje kuchakachua watakavyo? mfumo huu ihaukubaliki hata kidogo, hii ni dhulma kubwa wanayofanyiwa muslims, ila naamin kila jambo lina mwisho.
Kama kweli tuna nia ya dhati ya kujifunza kwa walioweza ni vyema tukaacha ukristu na uislamu,kusema kweli shule nyingi za kanisa katoliki zimefanya vizuri sana,kuna kosa gani kujifunza kwa alieweza?Watoto wetu wengi wakifanya vizuri ndio neema kwa nchi yetu na vizazi vyetu,Wamiliki wa shule zilizofelisha nendeni kawaulizeni Marian,Cannosa,precious blood,Don bosco walifanya nini wakaweza?Hakuna wa kuwacheka.
Hizo seminary hivi mtoa mada unajua uwa zinawanafunzi wangapi?
So unataka kutuaminisha RC-ROMAN CATHOLIC wanaakili kuliko wengine?
Acha fikira za ushoga na huo uRC wako
Na ukanda mkuu kwa maana top ten students sita ni kutoka kanda ya kaskazini
Na ukanda mkuu kwa maana top ten students sita ni kutoka kanda ya kaskazini
Udini udini udini! Fanyeni kazi
kuwa na wakristo wengi katika elimu n.k ni mfumo tangu kipindi cha ukoloni. watu wa dini zingine na hasa waislam ilikuwa shida kupata elimu. na hata hao waliopata ilikuwa ni kwa mizengwe, mfano mzuri tu ni Rais Kikwete ambaye yupo madarakani sasa hivi. ilibidi abadilishe jina na kuitwa SAMWEL LUHANGA ili shule za kikristo zilizokuwa zikiendeshwa kwa kodi za wananchi wote ziweze kumkubali. wapo wengi, hata Marehemu Prof. Kighoma Malima alipitia huko.
wakati akijiunga na chuo alikuwa anajulikana kama Kighoma Malima lakini alipoambiwa aandike majina 3 akaandika Ali mwaka huo alinyimwa nafasi. akaendelea kupambana mwaka uliofuata ndo wakamchuka tena kwa mbinde.
kwa kifupi ninachotaka kukuambia tu ni kuwa huu sio muda wakujisifu kwa garama za wengine, bali ni muda muafaka kwa waTanzania kuungana na kutokomeza moja ya matatizo 3 makuu kama yalivyoainishwa na mmoja wa waasisi wa Taifa hili Hayati Mwl. Nyerere.
TANZANIA NIYETU SOTE, TUUNGANE TUTOKOMEZE UJINGA KWA MAENDELEO YETU.
Wakristo ni asilimia ngapi kati ya waajiriwa wote
NECTA?
kuwa na wakristo wengi katika elimu n.k ni mfumo tangu kipindi cha ukoloni. watu wa dini zingine na hasa waislam ilikuwa shida kupata elimu. na hata hao waliopata ilikuwa ni kwa mizengwe, mfano mzuri tu ni Rais Kikwete ambaye yupo madarakani sasa hivi. ilibidi abadilishe jina na kuitwa SAMWEL LUHANGA ili shule za kikristo zilizokuwa zikiendeshwa kwa kodi za wananchi wote ziweze kumkubali. wapo wengi, hata Marehemu Prof. Kighoma Malima alipitia huko.
wakati akijiunga na chuo alikuwa anajulikana kama Kighoma Malima lakini alipoambiwa aandike majina 3 akaandika Ali mwaka huo alinyimwa nafasi. akaendelea kupambana mwaka uliofuata ndo wakamchuka tena kwa mbinde.
kwa kifupi ninachotaka kukuambia tu ni kuwa huu sio muda wakujisifu kwa garama za wengine, bali ni muda muafaka kwa waTanzania kuungana na kutokomeza moja ya matatizo 3 makuu kama yalivyoainishwa na mmoja wa waasisi wa Taifa hili Hayati Mwl. Nyerere.
TANZANIA NIYETU SOTE, TUUNGANE TUTOKOMEZE UJINGA KWA MAENDELEO YETU.
Huu ni mkakati wa Kanisa Catholic na utaendelea kwa
mda mwingi ujao hapa nchini; it is very unfortunate.
Ushahidi wa uchakachuaji ni pale hao walioongozwa
kupata hizo grades 1 ni pale wanapo maliza masomo
yao na kupewa hivyo vyeo vya juu ni kwamba
hawawezi kuleta contribution ye yote for the
development of the nation. Angalia maofisi yote
ambamo watu kama hawa wamepachikwa utajionea
mwenyewe.
sasa si iko staged ili waislamu wajisikia inferior.Tatizo lipo,wanatuaminisha mungu wa katoliki ana akili nyingi,lakini sasa mbona wadanganyika mafukara na ombaomba.
Hizo seminary hivi mtoa mada unajua uwa zinawanafunzi wangapi?
So unataka kutuaminisha RC-ROMAN CATHOLIC wanaakili kuliko wengine?
Acha fikira za ushoga na huo uRC wako
sasa huyo mungu wa kikatolic anapowavuvia akili za kushinda nectar si awape na za kufanikiwa.Nani aliyekudanganya degree, masters na phd zinaleta maendeleo ya nchi?
Huu ni mkakati wa Kanisa Catholic na utaendelea kwa
mda mwingi ujao hapa nchini; it is very unfortunate.
Ushahidi wa uchakachuaji ni pale hao walioongozwa
kupata hizo grades 1 ni pale wanapo maliza masomo
yao na kupewa hivyo vyeo vya juu ni kwamba
hawawezi kuleta contribution ye yote for the
development of the nation. Angalia maofisi yote
ambamo watu kama hawa wamepachikwa utajionea
mwenyewe.
hawa wanaseminary watakua wanapata mitihani kabla ya siku ya kufanya mtihani husika.Huu ni mkakati wa Kanisa Catholic na utaendelea kwa
mda mwingi ujao hapa nchini; it is very unfortunate.
Ushahidi wa uchakachuaji ni pale hao walioongozwa
kupata hizo grades 1 ni pale wanapo maliza masomo
yao na kupewa hivyo vyeo vya juu ni kwamba
hawawezi kuleta contribution ye yote for the
development of the nation. Angalia maofisi yote
ambamo watu kama hawa wamepachikwa utajionea
mwenyewe.
hawa wanaseminary watakua wanapata mitihani kabla ya siku ya kufanya mtihani husika.