Matokeo ya Kidato cha nne: TUNALO LA KUJIFUNZA ZAIDI KWA KANISA KATORIKI?

Status
Not open for further replies.
hujapenda wakristo waendelee kielemu au mtihan wa waislamu ulkua mgum!!?? acha upuuzi hayo ni matokeo kulingana na juhud za shule na mtu mwenyewe co udini swine ww!!
 
 
Nadhani sababu za ufaulu hapa si nguvu ya Katoliki BALI ni Uangalizi wa kisasa wa shule hizo (Proper Scientific School Management ). Nadhani shule zingine za kidini na zisizo za kidini zina mengi ya kujifunza kutoka katika shule hizo kumi zilizoongoza kitaifa. Naomba kama kuna mdau yeyote wa shule za sekondari katika hili jukwaa atuambie, " Je wamepokea wanafunzi wa wangapi (Transfer) waliositishwa masomo yao katika hizo shule zilizoongoza kitaifa?" Kama wapo, basi ujue wenzenu wanaendesha shule zao kwa viwango visivyotetereka. Nawakilisha.
 
yes...
kati ya hizo shule 10 za katoliki ni 9... very nice my church am so proud to be a CATHOLIC

Hawa watoto wanasali novena.....si buree...God Is able..very proud Remote
 
Last edited by a moderator:

Hahaha na baaaadooooo....wakati nyie mkilala wenzenu wanaendelea kupiga buku...hawana mda wa kupoteza...big up CATHOLIC AND ALL CHRISTIAN SCHOOLS AND UNIVERSITY mwendo mdundo haturudi nyuma....
 
Mungu akiwa upande wetu...ni nani aliye...........sitaki kumalizia
 

Hapo kwenye red sina nia ya kupingana na maono yako. Ninachojiuliza ni mpaka lini serikali itaachia hali hii indelee? Si kwa kubana shule zinazofanya vizuri bali kwa kuboresha shule nyingine za serikali na za kata. Kwa utajiri tuliokuwa nao Tanzania (Mali asili) hakuna sababu ya kutokuwa na mkakati maalum wa elimu ambao utawapa fursa sawa watoto wetu wapate elimu nzuri. Hizo shule hapo juu ni za gharama ya juu kwa wazazi wengi na kwa wazazi wengine issue inaweza kuwa ni shule za dini fulani hata kama zinapokea watoto wa dini zote kwa ujumla. Uchaguzi unakuja mwakani tunataka raisi mwenye sera zipi kuhusu elimu na ujengaji wa mifumo bora? Kwenye katiba inayotengenezwa tutasimamia vipi elimu, mifumo, na rasilimali zetu? Kuna maelfu ya watoto wetu tumewatupa kwenye elimu mbovu na huko wako wakristo wengi tu, waisilamu wengi tu, wapagani wengi tu. Tutajikomboa vipi????
 
Kuna taarifa kutoka chanzo cha ndani ktk moja ya shule hizo, ni kwamba shule nyingi za katoliki wananunua mitihani na kuwajazia wanafunzi wao.
 
Wakati wakiendelea kudiscuss mfumo mzima wa elimu, maandalizi mazuri yafanyike kwa kidato cha 6. Kwani Vijana wanahitajika ktk mining & petroleum industries
 
Hii thread ina nia ya kuamsha hasira za waandamanaji!
 
Kuna taarifa kutoka chanzo cha ndani ktk moja ya shule hizo, ni kwamba shule nyingi za katoliki wananunua mitihani na kuwajazia wanafunzi wao.

Kuna taarifa kutoka chanzo cha ndani ktk moja ya shule hizo, ni kwamba shule nyingi za dini tofauti na Christians hazina walimu wenye sifa,maandalizi mabovu na hata baada ya kupata wasomi wachache walionao,watu hawa hawana mchango wowote wa elimu ktk dini husika..!!
 
Si sekondari tu; hata elimu ya juu.

Mfano wa kuigwa na hawa wenzetu wa upande wa pili ni ubora wa Morogoro Muslim University. Hata TCU hawatii mguu pale.
 
Hapo mkuu nimekupata, ungekuwa unachangia kwa uwezo huu siku zote inakuwa safi. Tatizo lako lingine mada za udini zinakutoa ufahamu kabisa.

Hilo.ni wazo lako binafsi. Na hili ni jukwaa huru!
We ukiona mada za dini zinakuchoma roho kaa mbali.
Manake huko hakuna lelemama!
 
Mnatutafuta tunakuja.cc 2na elimu 2,ya allah na kimazingira(kidunia).
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…