Matokeo ya Kidato cha nne: TUNALO LA KUJIFUNZA ZAIDI KWA KANISA KATORIKI?

Status
Not open for further replies.

Like, Like!
 
ni ngumu FaizaFoxy na arab skunk kahtaan kukuelewa!!

We myahudi mtolewa mapepo!

Mimi humuelewa mtu anaweza kueleweka! Sio kila mropokaji ntaweza kumuelewa!
Mfano mzuri ni wewe ambae mama na baba wote wahaya halafu wewe unajiita myahudi! Na unaabudu picha ya mzungu!
Halafu unategemea mimi nikuelewe!!?

Hapo tutakesha tu! Lkn kukuelewa sintoweza!
 
yes...
kati ya hizo shule 10 za katoliki ni 9... very nice my church am so proud to be a CATHOLIC
Kanisa linastahili pongezi kwenye suala la elimu lakini the primary purpose ya kanisa ni kufikisha watu mbinguni, tathmini ikoje kwenye hilo?
 
 
Kuna taarifa kutoka chanzo cha ndani ktk moja ya shule hizo, ni kwamba shule nyingi za katoliki wananunua mitihani na kuwajazia wanafunzi wao.

Hiyo si kweli hata nukta na kama ni kweli leta chanzo.
 




Hapa ni lazima TRA iweke mashine za EFD kwenye hizo shule za mashirika ya dini na za watu binafsi kwani zimeshindwa kutumia misamaha ya kodi kutoa huduma kwa watanzania wa aina zote; yaani wenye IQ kubwa na IQ ndogo,wanawatumia wanafunzi wenye IQ kubwa kufanya Elimu kuwa biashara tena isiyokua na udhibiti.
Wamesahau kuwa watoto wenye uelewa mdogo na uelewa mkubwa wote wanahitaji elimu bora.
Na hii ni janja tu kwani sio kweli kwamba padri au sister mwenye wito wa kumtumikia Mungu ni yule anayefaulu masomo ya darasani kwa kuwa na maksi za juu.
Nasema walipe kodi ili tuajiri walimu bora, tununue madawati,tujenge maabara, tutoe motisha kwa hawa walimu wa shule za kina kayumba wanaotumia muda mwingi kujaribu kuwafundisha wanafunzi hata wale wenye IQ ndogo bila kuwafukuza mana hawana pa kwenda.
 




Nakubali kabisa kwamba nidhamu na hayo mengine ni sababu tosha ya kufanya vizuri si tu kwenye kufaulu mitihani ya darasani bali katka mambo yote.
Ninachokataa ni kwamba hao wanaokataliwa kwa kigezo cha mchujo nje ya utaratibu wa wizara ya elimu wao waende wapi kupata elimu bora?
Kwa kua kila nyanja ya maisha inahitaji nidhamu ni kwa kwanini wasiangalie vipaji vingine walivyonavyo hawa wanaopata chini ya 60% ya maksi za masomo ya darasani,;mfano nidhamu kwenye michezo, music,kuigiza, kutoa huduma bora maofisini,uaminifu n.k?
Hizi shule ni lazima zizibitiwe ili zitumie misamaha ya kodi na sadaka za waumini yaani maprofesa ,wakulima ,wapiga debe na waokota makopo na chupa barabarani kutoa elimu bila kubagua IQ za watoto wao alimradi tu amelipa ada na ana nidhamu kwa walimu wake. Kazi ya shule iwe ni kukuza kipaji alicho nacho mtoto.
 
Hivi huu ufaulu wa hali hii kwa wanafunzi wa SEMINARY SCHOOLS za kina ST..unamaanisha wapo very intelligent au wana ma'agent NECTA?
 
Tatizo ni walimu hawana moyo kufundisha labda mshahara mid ogo??
 
Hivi na watu waliopata div 3 ya 30 wanaendelea na shule ama zitaenda div 1 na 2
 
mkuu sio usanii wala porojo, hiyo ni fact. kipindi cha ukoloni muislam kupata nafasi ya kusoma ilikuwa ni ishu. na lengo lilikuwa kuhakikisha waislam wote wanaritadi. ndo maana serikali ikawa inakusanya kodi kutoka kwa wananchi wote lakini suala la elimu likapewa kanisa, ambapo kiuhalisia unaweza kuona kwa uwazi kabisa lengo lililokusudiwa.
hili la mashehe kuwafanyia interview walimu siwezi kuliongele kwa sababu sina ushahidi. ila hata wewe umeongea maneno matupu. ungeniwekea ushahidi kidogo.
usisahau kuwa bakwata ni tawi la ccm, na wengi hatujui nini makusudio yake. naamini hata wewe hujui ni nini kilichopo nyuma ya hii inayoitwa bakwata.


 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…