Shule aliyojenga magufuri na kuikabdhi serikal imefanya vzr kdato cha sta.. ikiwa haina pas wala fail.. credt zkiwa n tatu tu.. zngne zote ni distinction na merit. Pcha chin
mwaka huu tutasikia mengi tu yake,swali langu ni hivi;mlikuwepo wapi kipindi chote kile tangu anatangaza nia,kuchukua fomu na kutafuta wadhamini?mbona sifa zote hizi alikuwa hapati,au mlikuwa hamumwamini?