HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
Oke sio lazima MD,kuna pharmacy,DDS (dental surgery),nursing etc
Poa ngoja nmshauri dogo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ngoja nmshauri dogo !
me naweza sema mkopo kama anavigezo atapata sema aombe Education kama yupo interested afu awam ya kwanza ahkikishe anaomba vyuo vya private sababu mwaka huu watu wamefauru sanaAya wakuu huyu dada yangu ye ana three ya 13 ila ni YA HGL hivi hapo mkopo si asihangaike kuomba!?
Sema dogo yaani ye na udaktari hafikirii kozi zingineOke sio lazima MD,kuna pharmacy,DDS (dental surgery),nursing etc
Wakuu kuna dogo kapata alama C E E, je huyu chuo ataenda kweli au ndio tumwandalie shamba?
Sema dogo yaani ye na udaktari hafikirii kozi zingine
Akikosa mkopo mjipinde tu mmsomeshe dada yetu huyo jaman hakuna namnaAya wakuu huyu dada yangu ye ana three ya 13 ila ni YA HGL hivi hapo mkopo si asihangaike kuomba!?
Sasa mkuuHahaha kama ela ipo basi mtimizien ndoto zake matokeo yake mazuri ila kwa vyuo vya serikali atapenya mchuano wake????au otherwise tumieni kujuana tu maana chuo sikuhizi chuo ndo kinakuchagua so kama ukiwa na mtu kati na vigezo unavyo vya TCU basi anaingia.
Hivi tofaut ya maombi ya vyuo binafsi na maombi ya vyuo private ni nin?me naweza sema mkopo kama anavigezo atapata sema aombe Education kama yupo interested afu awam ya kwanza ahkikishe anaomba vyuo vya private sababu mwaka huu watu wamefauru sana
Hata udom atakosa ? [emoji3]
Au ile campus ya udsm mbeya
Kwan cutting point zmekaaje au kafeli
Hahaha 1.8 PCB kafeli vp hapo....sema kama selikalin naona atapta nusring au dental surgery ila PCB 1.8 MD sidhan labda kama PCB hawafaulu sana kama miaka ya nyuma.View attachment 1151172
Kama mwaka huu akikosa chuo ..basi mwakani akiomba kwa usahihi atapata tuKwa hiyo mwakani anaweza kupata !
Shukran saana father... Ngoja aanze harakat ila kuna mtu kaniambia compitition ya kozi inakuwaje... Achague kozi gani ambayo haina ushindani kwenye kuchaguliwa... Kuhusu ajira hakuna tatizo..
La msingi aelimike tu
atakuwa muhaya huyu mwanajamvi...Kwani kuwa japan si u-google na kupata taarifa!
View attachment 1151351Hizi ni kozi zilizo udom ambazo hazina ushindani kwa education
View attachment 1151354hizi nyingine kwa pale udom ambazo hazina ushindani
Dirisha la kuomba vyuo linafubguliwa kuanzia tarehe 15/07/2019Shukrani saaana mkuu.... Ngoja aanze na mkopo then chaguzi sijui lini zitaanza akatest la mentali