Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Naamini shule hiyo ina kilakitu, tatizo utayari wa wanafunzi na wazazi wao, uenda hata tamaduni zinachangia kushusha hari ya kujifunza!
 
Wamejitahidi hawana zero mwaka huu🤣
 
Uko sahihi kabisa, sisi ndio huanza kuweka siasa kwenye elimu na wanasiasa humalizia kwa kuitumia elimu kufanya siasa.

Unashangaa matokeo yajayo shule za Kizimkazi ndio zinakimbiza Tanzania.
Omba dua michezo isije ika ingizwa siasa hapo itakuwa km wa kenya leo kila jambo linaingzwa siasa micho ndio basi inowaunganisha wa tz ajabu leo mpaka madhehebu ya dini tumeingiza siasa
 
Ila bimkubwa alikua kipanga asee kupata four zenji kwa enzi hizoooo... ingekua leo angekua Z.O kwa dvn 1 ya.7
 
Halafu tunastaajabu aina ya uongozi wake.

Chimbuko lake ni Div 4.
Nchi ina watu waajabu sana hii nani alokwambia akili kuwa na div 1 kwa elimu ya kukariri
Masomo ukimaliza masomo huweza kuwa mbunifu wa jambo lolote ndio mana nchi hii iko nyuma sn wengi tunadhan walokua hodar kukarir ndio wana akili sn Kwangu mm sikubalian na jambo hilo utendaji na elimu ya kukarir vitu viwil tafauti uliza wafanyakaz utapata jibu sahihi
 
Aliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
Huo ndio ukweli ukiangalia elimu yenyew ya kukarir jibu la usahii uliza wafanya kazi wazoefu wanopokea hao walopota div 1 utendaji wao wakazi unakuaje yani hao watu wanakua wabovu sn kiutendaji
 
Omba dua michezo isije ika ingizwa siasa hapo itakuwa km wa kenya leo kila jambo linaingzwa siasa micho ndio basi inowaunganisha wa tz ajabu leo mpaka madhehebu ya dini tumeingiza siasa
Mkuu, hujawahi kuona watu wamebeba mabango yenye picha ya Rais wakati Simba na Yanga wanacheza?
 
bas samii atakua alipata 4 ndo mana kaunga unga sana ata mikataba hakuielew ya DP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…