Bidhaa gani sasa tz itapeleka huko uk?.bila shaka itakuwa dhahabu na wanyama hai ambao tutarudishiwa tena kama bidhaa zilizochakatwa na kuongezwa thamani ambazo tutauziwa tena kwa bei ya juu.Hakuna cha kufungua nchi wala nini bali ni kuuza nchi kwa uk kuleta bidhaa zake tz
Sent using
Jamii Forums mobile app