Matokeo ya kukumbukwa leo Simba kapasuliwa na Yanga Kirumba

Matokeo ya kukumbukwa leo Simba kapasuliwa na Yanga Kirumba

Moshi25

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,555
Reaction score
4,118
1. Onyango kazeeeka alipewa mwili akaanguka kama gunia la mchanga Mayele huyo anaenda kufunga akaamua kumpasia Zanzibar finest Feisaaaaaaaaalll!

2. Nyoni kushindwa kuvaa vizuri hereni yake akahangaika mpaka refa akamuona na kumtoa nje wakati Simba ishapasuliwa muda huo

3. Simba kuwa mbovu na Feisaaaaaaaaalll kuwapasua goli la mbali bila kukabwa

4. Mayele kuwanyanyasa Onyango na Inonga alivyotaka alikosa bahati tu

5. Diarra kudaka mishale, mabomu, makombora, risasi na mawe kama kile kichwa cha Mugalu

6.... ongeza
7....ongeza
 
Huwa hamkawii kusema kwamba mtamzalia Mayele mtoto. Au tayari umeshamzalia?
 
makolowizard kupotea kabisa humu jf wakiongozwa na kubwa lao la maadui mzee ashanti GENTAMYCINE ikiwa wao ndio uwa wanaongoza kuanzisha vithread propaganda
 
Back
Top Bottom