Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
1. Onyango kazeeeka alipewa mwili akaanguka kama gunia la mchanga Mayele huyo anaenda kufunga akaamua kumpasia Zanzibar finest Feisaaaaaaaaalll!
2. Nyoni kushindwa kuvaa vizuri hereni yake akahangaika mpaka refa akamuona na kumtoa nje wakati Simba ishapasuliwa muda huo
3. Simba kuwa mbovu na Feisaaaaaaaaalll kuwapasua goli la mbali bila kukabwa
4. Mayele kuwanyanyasa Onyango na Inonga alivyotaka alikosa bahati tu
5. Diarra kudaka mishale, mabomu, makombora, risasi na mawe kama kile kichwa cha Mugalu
6.... ongeza
7....ongeza
2. Nyoni kushindwa kuvaa vizuri hereni yake akahangaika mpaka refa akamuona na kumtoa nje wakati Simba ishapasuliwa muda huo
3. Simba kuwa mbovu na Feisaaaaaaaaalll kuwapasua goli la mbali bila kukabwa
4. Mayele kuwanyanyasa Onyango na Inonga alivyotaka alikosa bahati tu
5. Diarra kudaka mishale, mabomu, makombora, risasi na mawe kama kile kichwa cha Mugalu
6.... ongeza
7....ongeza