Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..... njia ni nyeupe kuelekea kumrithi swahiba wake wa kufa na kuzikana JK ifikapo 2015.
QUOTE]
Ahaa kumbe huyo ndie atakaerithiwa,,,na sio slaa!!!!:shock::shock:
Cheki thread nadhani hii habari ipo.Kuna mtu ana update za morogoro mjini yule professor wa sua na Abood imekuwaje ?
Pole sana mzee shelukindo,naamini kijana ataendelea kukuheshimu na kama atapata kiti hicho cha ubunge basi udhoefu wa muda mrefu ulioupata miaka yote ya utumishi wako selikarini utasaidia kupeleka watu wa bumbuli mbele.
ndio maana tunaitwa banyambala kuanzia enzi za baba zetu sisi ni wamoja bana,hata aboud jumbe alikiona cha motto mbele ya baba zetu alipotaka kuwachezea ,kwa wale wana kyela natumaini mnamkumbuka kipofu wa mkoa aliyukuwa msomaji maarufu wa mashairi alivyompasha aboud jumbe kupitia shairi la wanakyela ,hata mkulu julius enzi hizo alipotaka kuleta mchezo wazee wa time hiyo wakamwambia hata malawi ni nyumbani wapo jamaa zetu wa ngonde kwa hiyo tutaifanya mbeya iwe mkoa wa malawi,julius hakuamini masikio yake na hata sisi watoto wao nasi tumerithi anzia kwa mwakyembe ,mwandosya akina mzee ngonya hawo hawadanganyikimwang'onda amedondoshwa vibaya na mpesya........kweli mbeya si watu wa kuwawekea vibaraka!!
Hongereni watu wa mbeya, tunawaomba kura za urais mpeni dr. Slaa!!
Mwakyusa kambwaga Kasesela ambaye kwa sasa analalamika baada ya matokeo (kazidiwa takribani kura 1,000 hivi)
Tom Mwang'onda (Mbeya Mjini) kabwagwa na Mpesya
Monica Mbega kabwagwa na Mwakalebela
ndio maana tunaitwa banyambala kuanzia enzi za baba zetu sisi ni wamoja bana,hata aboud jumbe alikiona cha motto mbele ya baba zetu alipotaka kuwachezea ,kwa wale wana kyela natumaini mnamkumbuka kipofu wa mkoa aliyukuwa msomaji maarufu wa mashairi alivyompasha aboud jumbe kupitia shairi la wanakyela ,hata mkulu julius enzi hizo alipotaka kuleta mchezo wazee wa time hiyo wakamwambia hata malawi ni nyumbani wapo jamaa zetu wa ngonde kwa hiyo tutaifanya mbeya iwe mkoa wa malawi,julius hakuamini masikio yake na hata sisi watoto wao nasi tumerithi anzia kwa mwakyembe ,mwandosya akina mzee ngonya hawo hawadanganyiki
Mi-nchi mingine bwana... ati hakuna database ya kupata matokeo kama haya kwa urahisi mpaka upitie post kibao...
Mkuu Prof Mwandosya kasomba karibu 95% ya kura zote Rungwe Mashariki, tupe majina ya hao wengine wa kurudi kwa chaki.hawa Ma Prof. Ubunge hauwafai warudi vyuoni huku wanahitajika sana