Wewe Bulesi - ya Ngonswe mwachie mwenyewe Ngoswe!!!!Nyie wazanzibari mnajidanganya tu; mkibakia peke yenu bila sisi wabara mtachinjana kama kuku wa kienyeji!! Huyo mtoto wa Sultani anawachanganya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Bulesi - ya Ngonswe mwachie mwenyewe Ngoswe!!!!Nyie wazanzibari mnajidanganya tu; mkibakia peke yenu bila sisi wabara mtachinjana kama kuku wa kienyeji!! Huyo mtoto wa Sultani anawachanganya tu.
Point less afadhali ungenyamaza..pumba tupu..unatetea uwizi wa kura unaofanywa na CCM ambao kila mtu anajua? kichwa kiko salama au ushabiki imekuondoa akili..mgonjwa wewecuf waigizaji wazuri tu.
CCM wanamtayarisha Seif kuwa rais wa Zanzibar 2010 kupitia chama chao....
Akishindwa maalimu kama kawaida wakati watu wanauana yeye atapanda dege kwenda ulaya na atatoa kauli zake akiwa ulaya.
Subiri wapigwe chini tena 2010 utasikia zao tu................. tumeonewa.......wameiba kura and the like!
Ni kweli kabisa lakini kumbuka hao walioanza kurekebisha njia bara walikuwa na mizizi Zanzibar...wanajuulikana mpaka na watoto wadogo...hata kwa wizi wizi walikuwa wanaelekea elekea kukubalika na wezi wenzao its different case for Khatib "Msakatonge"Wewe na nani? wenye kutaka vyeo hurekebisha njia kwanza bara zanziba wanaenda kumalizia kusafari..ukishajua wapi kuanzia safari ni rahisi kujua wapi kumalizia..
Sijakuelewa vizuri..notwithstanding that...you dont know Maalim Seif the way Zanzibaris know him...he is the man of the people...the lack of only one man one vote election denies him the state house.Nenda zako wewe upemba utakuua ukipewa dozi yako unafuka kama joka kifutu! Seif hana jipya uroho wa madaraka ndo unampeleka puta yeye alisimamia hayo yote kutendeka na iwaje leo hii awe mkali wa urasimu wake! huu twaita kuunyea mkono!
Sijakuelewa vyema hapa,unakusudia kueleweka kuwa mambo ya elimu ndo hayana maana????....kichekesho kwelikweli..mnasindikizana hadi kwenye mambo yasiyo na maana ala!
Elimu ipi kaka/ndugu?...kutunikiwa...embu ungeleeni tume huru na uchaguzi wa haki...wasije kufa watu tena hayo ndiyo mambo ya msingi..Sijakuelewa vyema hapa,unakusudia kueleweka kuwa mambo ya elimu ndo hayana maana????
.Game Theory,
Mkuu wangu usidanganyike hata kidogo.. Karume anawekwa na Bara hawezi kuzungumza kwa maslahi ya Zanzibar ikiwa yeye mwenyewe mguu nje ndani. Maalim Sief always stands for his own interest. Anasema saaana kuwavuruga vichwa tu, na kama alivyokosolewa huyu alikuwa Waziri kiongozi, na kisha waziri wa Elimu hatumsikia hata siku moja akipinga Muungano..mbali na hayo hakufanya lolote la maana kw Wazanzibar alipokuwa madarakani.
Mkuu wangu wazee waliopinga Muungano Zanzibar wanajulikana toka siku ya kwanza na wengine kutokujiunga na baraza la Mapinduzi. Na hakuna chombo chenye nguvu Zanzibar na bara kama baraza hilo kwani wasemavyo wao ndivyo itakavyokuwa.
Kama umesoma vizuri taarifa iliyotolewa ni kwamba hakuna masharti baina yao, meaning uchaguzi ujao ngoma ni ile ile..Na kutokana na mfumo wa serikali ya leo hata kama CUF watachukua uongozi Zanzibar, Wazanzibar wtaendelea kuwa ktk hali hii hii kwa sababu tatizo sii kuongozwa na CCM ila mfumo mzima wa madaraka.
Nimewahi kusema kama kweli kuna kiongozi yeyote Zanzibar mwenye nia ya kuvunja Muungano, iwe CUF au baraza la Mapinduzi basi hatua ya kwanza sii kuweka Muafaka baina yao ila kuitisha Refendum, kuwapa wananchi wa Zanzibar nafasi ya kuchagua kuwa huru kujitenga ama laa! Matokeo ya referendum hiyo ndiye yatakayo jenga misingi ya muafaka baina ya bara na visiwani na sio Karume na Maalim Seif..
Imefanyika hivyo nchi zote zilizotaka kuvunja muungano kwa amani, iweje Zanzibar viongozi wake wasifikirie kabisa njia hii isipokuwa zile zinazohusu nafasi zao za kazi?..
1-wote hawautaki Muungano
2.wote wana common enemy-yaani wabara wanaowaingilia mambo yao
3.kuna potential kubwa ya mafuta sasa ya nini kugombana
4.Muungano unanganganiwa na watu wa bara
5.In the next 15-10 yrs time huu muungano unaweza usiwepo kabisa na kama ukiwepo utakuwa very weak
6.Its about time wa Tanganyika wakala silver bullet na kukubali hali halisi kuwa viability ya hii project ya Muungano ni kama story ya Cinderella na kuamua kuwa na PLAN B baada ya Muungano kuvunjika
7.Ile theory kuwa waPemba na wa ZNZ watapata tabu kwa sababu wana business interest umepitwa na wakati in this day and age ya GEO-ECONOMICS badala ya GEO-POLITICS za akina Poooool soziiiigwa