Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama haya makubaliano yatafanikiwa na ndivyo tunavyoomba basi wale walouwawa watabaki kuwa mashujaa katika historia ya zanzibar na tunawaombea mola awalaze pema peponi. nadhani ni vyema tusiangalie waliouwawa kabla ,tuangalie watakufa wangapi zaidi kama hatujayapatia baraka haya makubaliano?.Unajua wakati chama cha cuf kinaanziwshwa wengi walisema wanayoweza kusema waliandika wanachoweza kuandika...kuna mambo mazuri yametokea 2009/nov na itakumbukwa daima ila kuna mambo mabaya ya mauwaji yalitkea kule zanzibar kwa kutokubali serikali ya karume...na kufikia watu 28 kufariki tena wengine kwa bastola live....
VIongozi mnatueeleza nini sisi ndugu wa marehemu kama mlikuwa na uwezo wa kukubali toka mapema hamwoni mngesaidia kuokuwepo kwa haya mauwaji ya jan 28???embu vyama vya upinzani mkiwa mnaamua mambo yenu msiamue kishabiki angalieni madhara yake...leo hii watu wengi walilala ndani vikongwe kwa vikongwe kule pemba...hamwoni dhambi zote hizi mtazibeba ninyi......,??tuwe makini na maamuzi yetu ........ni jambo jema lililofanyika lakini kwa nini mpaka watu wafe????????
Haya, UlAJIi huoooo!
Tatizo la Seif ni njaa, amekuwa kama call box hafanyikazi mpaka utie pesa!
Kishaahidiwa fungu, ofisi, gari, ving'ora nk basi anawatosa wenzie. Kazi kweli kweli.....
Pdidy,
Tunaweza kusamehe lakini hatutasahau.
Kama Mungu tumkoseavyo kila siku na tukirudi kwake anatusamehe na riziki zake anatupa...kwanini isiwe hivyo kwa wanaadamu...wakati kusameheana kunaleta umoja,mshikamano....visasi vinasogeza shari na mapigano kila siku yote ya nini hayo?
Mi swali langu nauliza hizi nafasi mbili alikuwa kazishikilia "dk karume" ama "dk j m kikwete"" yawezekana zilikuwa vyumbani vyao
cuf kama mngekuwa na maneno matamu hivi mngeepusha mambo mengi sana! Anyway, tusahau yaliyopita maana hayajengi!
Sijamwona Karume akihudhuria vikao na sherehe nyingi za Muungano,
- Mkuu hivi kwa nini hamuwaonei huruma viongozi wetu, unataka Karume akakae chini na hawa viongozi wetu useless! Hata mimi ningefanya kama Karume!
Respect.
FMEs!