Kwahio sio pccb? Nilifikiri unasema kajitolea PCCB af kapata kazi ila hilo limekushangazaMkuu, hao mabro wake unaowazungumzia ni wepi? Sisi ni independent law firm sasa sijui ulitaka kusemaje hapa!
Nope, our firm has no any attachment whatsoever with PCCB.Kwahio sio pccb? Nilifikiri unasema kajitolea PCCB af kapata kazi ila hilo limekushangaza
Vi memoNaanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.
Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?
Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?
Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.
Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).
So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.
Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.
Anyway, kuna 3 questions ninazo:
1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?
2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?
3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?
Wanacholalamikia sio kwamba hawajaitwa, bali namna results zimerudi. Miaka ya nyuma yote results zilikuwa zinarudi na marks za watahiniwa wote, na cut off point inawekwa wazi. This time, imekuwa opposite.Hivi watahiniwa 20000+ kwa nafasi 350 mnataka kila mtu aitwe?? Malalamiko mengine hayana umuhimu kabisa. Mngeitwa nyie bado watu wangekuja kulalamika tena hapa hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapata kazi ya kupambana na rushwa kwa kutoa rushwa.
Hii nchi ishaoza inatoa wadudu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tusubiri second selection wazeee tutatoboa tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Toa pesa, upate pesa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi nilitoaga 600,000 kupata kazi serikalini, saizi nakula mema ya Nchi[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Broh ambacho huoni ni kwamba, kwenye mtihan wa mchujo ilibidi waitwe wengi sana. Na hata kwenye oral, wameondolewa wengi sana regardless vigezo gani vimetumika. Kwenye hiyo oral, hawawezi itwa cream peke yake, pia wapo walioitwa ili kukamilisha idadi. Matokeo ya oral ndio yanakuwa determined na connection aliyonayo mtu.Mkuu, binafsi sijui kama kweli mchezo mchafu umefanyika. Ila kwa kuangalia dogo mmoja ambaye anafanya internship ofisini kwetu aliomba nafasi ya afisa uchungu akafanya mtihani wa mchujo na amepita. Huyu dogo namjua hana connection na hana huo uwezo wa kuhonga. But at least amefanikiwa kupenya huo mchujo. Hata hapa job dogo ana discipline ya kazi na ana uwezo mzuri kichwani.
Binafsi nilikuwa ninauhakika dogo atapenya, na kweli amefanikiwa. Kwa kweli kwa hili binafsi nitawatetea TAKUKURU maana nimeona mtu ambaye ninamjua amevuka hatua hii bila kushikwa mkono.
Ninaamini hata hatua inayofuata atapenya pia bila kubebwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiwalaumu watoto wa vigogo mlaumu baba ako kwanini hakuwa kigogo?
Ndiyo maana nimesema I really wish kila kitu kiwe fair dogo apenye kwa haki. Mine is just a well wish for fair process.Broh ambacho huoni ni kwamba, kwenye mtihan wa mchujo ilibidi waitwe wengi sana. Na hata kwenye oral, wameondolewa wengi sana regardless vigezo gani vimetumika. Kwenye hiyo oral, hawawezi itwa cream peke yake, pia wapo walioitwa ili kukamilisha idadi. Matokeo ya oral ndio yanakuwa determined na connection aliyonayo mtu.
Wait results za oral then njoo utwambie kuhusu huyo dogo.
Hakutoa ajira yoyote kwa vijana zaidi ya usaniiBado namkumbuka rais wa muda wote wa maisha yangu.
John Pombe Magufuli. Mungu akulaze peponi Mzee wangu.
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈHaikua kwa maofisa tu, hawa ni assistants, hawapo list y written ila oral wapo
View attachment 2121530
Mbona Salum Hamduni huwa yupo smart ,haya yametoka wapi Tena?Haikua kwa maofisa tu, hawa ni assistants, hawapo list y written ila oral wapo
View attachment 2121530
Duuu asee hatariHaikua kwa maofisa tu, hawa ni assistants, hawapo list y written ila oral wapo
View attachment 2121530