Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Mungu anasema mali na vyote vijazavyo Nchi ni mali yangu na anasema nijarubuni kwa matoleo yenu muone kama sitawanyeshea mvua ya Baraka. Mungu hajawahi kuniacha hata katikati ya simba wakali mimi nikiwa kondoo nilitoboa...Asante Yesu
Ulitoboa kivipi mkuu?
 
Hivi watahiniwa 20000+ kwa nafasi 350 mnataka kila mtu aitwe?? Malalamiko mengine hayana umuhimu kabisa. Mngeitwa nyie bado watu wangekuja kulalamika tena hapa hapa.
Kuna ukweli hapa.
 
Duuuuuh inaumiza sana.
 
Tafuta mali uwe na connection then ndo uzae watoto baadae uje wafanyia connection waishi vizuri waache wale mema wazazi wao na connection zao zinafanya kazi
Asilimia kubwa ya watu wanaouawa vifo vya kikatili ukifuatilia utagundua nao waliwahi kuua hapo kabla. Kwa nje huonewa huruma na watu wengi kuwa wamekufa vifo vibaya, ila on back side wamepata malipo yao. Hakuna kitokeacho kwa bahati! Huu mfano ukitumia akili utauelewa. Nice day!
 
We' uli date na mgambo sio TISS, koma.
 
Hapa nimekuelewa kaka.
 

mishahara ya takukuru imekaaje kwa wachunguzi ?
 
mi naamini haki ipo hadi
 
mbona hao wote unao wataja hawapo kwenye list ya walio itwa oral au umeamua kupotosha umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…