Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 288
Basi Raia wapambane na hii Taasisi kwa kuyatangaza mabaya yao kila kona. Hamduni kuja usemee rushwa kutamalaki idarani kwakoNaomba nitoe maoni yangu kidogo...
Wakati wa kufanya mitihani yaani amptitide test, ilipangwa ifanyike saa mbili kamili asubuhi.. ila kabla mtihani hujaanza kuna baadhi ya mambo nilinote...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapata kazi ya kupambana na rushwa kwa kutoa rushwa.
..........Hii nchi ishaoza inatoa wadudu tu.
We acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyumeKitu ambacho si sahihi hata kidogo majina yaliyopatikana kwa mfumo ule yakakubali mpangilio ule wa herufi za majina
Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURUWe acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyume
Hiyo namba 4 imeshangaza wengi sana.Naomba nitoe maoni yangu kidogo...
Wakati wa kufanya mitihani yaani amptitide test, ilipangwa ifanyike saa mbili kamili asubuhi.. ila kabla mtihani hujaanza kuna baadhi ya mambo nilinote..
1. Mtihani uliahirishwa mpaka saa nne na nusu
2. Mitihani ilikuja iko open kabisa.. means kama sio kupitiwa tu. Hali ya venue ilikaa kimchongo sana...
Aisee si mchezo, mambo mengine yanakatisha tamaa kweli.Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURU
Kaa attentionNgoja tusikilizie ajira za sensa za watu na makazi
Noma sanaUnapata kazi ya kupambana na rushwa kwa kutoa rushwa.
..........Hii nchi ishaoza inatoa wadudu tu.
Mkuu nistue za pale tanga ndio kwetu kuleKaa attention