Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

We acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyume
Alitegemea akipata 100 ndio kapata kazi? Kuna michakato ya backend lazma ifanyike kama hamjui mtu kaumia.
 
Mlaumu baba yako hakuwatengenezea nafasi mapema😅
 
Hahahahhah halafu huyo mzee atasimama na kusema vijana mkajiajiri ajira hakuna ila wanae anawapambania wakakae kwenye AC nyie mpambane na virungu vya migambo na moto wa masokoni😅
 
Utafanyaje hii ndio Tanzania mkono mtupu haulambwi na mambo yote yanaenda kimichongo!😅
 
Familia duni hizo mzee, ww na pesa zako utakubali mtoto wako awe TAKUKURU??
Familia duni we unajua Mkurugenzi wa Takukuru anaweza kuwa na maisha kuliko mjomba wako anaemiliki bar 3 temeke?

Msiongee kipumbavu tu watu wa serikalini wapo ambao wana mitonyo mirefu tu na maisha bora kuliko wapambanaji. Wana miliki mijengo ya maana na mabiashara vile vile licha ya yote usalama ni full time.

Tafta hela upate connection watoto wako wasije kuteseka
 
Tanzania ajira ni vita ! Yaani watu wanachutama na kufanya kila linalowezekana wachomeke matakwa yao. Piga ua garagaza, sio mbaya kama mtu ana sifa but inaaishia kuacha talented people wasio na wakuwashika mkono
Sio tu vita bali ajira yenye maslahi mazuri. Kwa level za mishahara ofisi inayolipa 1.7m au zaidi maslahi ni mazuri. Humo kuna hata wafanyakazi wengine wamekimbilia humo kuhonga ili wapate chance imagine unatoka ofisi unayolipwa laki 7 gross mpaka ofisi ya kulipwa 2.2m kwanini usipambane?

Wazazi wanaumiza vichwa sana mtoto umemsomesha anazeekea nyumbani hata kuoa hataweza maana hata kazi ya maana ya kulisha mke hana. Kwanini usihonge kama inawezekana mwanao apate kazi
 
Mkuu, kijana kama huyo ni hasara kuanzia kwa familia yake mpaka Taifa. Ndio sababu nime comment kwake ni takataka.
We ndo taka taka ndo maana sikutaka kubishana na ww, mara nyingi mkisha feri written ndo maana kuleta porojo kuwa usaili haukuwa wa haki, ukweli ni kwamba uliferi written.

Ukiwa mpiga porojo kama wale utaishia kuwa mchawi tu
 
Mitihani ya shule ikivuja mnashangilia huto sikia hata mmoja akisema kwa nn mnavujisha mitihani ili watu wafaulu, ila ya usaili ikivuja utaona nyuzi zimejaa kila kona ya dunia taasisi furani wanawapa watu mitihani, sijui wanapendelea watu wao.
 
Huyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?
 
Kwanini mamlaka za juu zisiingilie swala hili?kwani haiwezekani au hawana taarifa?
Nawaliohusika wote wachukuliwe hatua kali kwa mujibu wa sheria hii ni nchi yetu sote
Ukumbuke tuko awamu ya 4B mzee subiria tume ya mchongo
 
Huyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?
mkuu haujamuelewa uyo jamaa, sio kwamba anamaanisha uyo dogo anajitolea pccb noo, anajitolea kwenye ofisi yao nyingine ya private hawana mausiano yeyote na pccb
 
mkuu haujamuelewa uyo jamaa, sio kwamba anamaanisha uyo dogo anajitolea pccb noo, anajitolea kwenye ofisi yao nyingine ya private hawana mausiano yeyote na pccb
Duh sasa ofisi ya private ila kachaguliwa PCCB?
 
Huyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?
Mkuu, hao mabro wake unaowazungumzia ni wepi? Sisi ni independent law firm sasa sijui ulitaka kusemaje hapa!
 
Naunga mkono hoja, ni bora waajiri kama TISS
 
We ndo taka taka ndo maana sikutaka kubishana na ww, mara nyingi mkisha feri written ndo maana kuleta porojo kuwa usaili haukuwa wa haki, ukweli ni kwamba uliferi written.

Ukiwa mpiga porojo kama wale utaishia kuwa mchawi tu
Eti huyu nae anachangia hoja ya msingi. Mkisha "feri" ndio nini? "uliferi" ndio nini?
[emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…