G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Fairness iko kaburini tu mkuu sababu sote tutakufa na kuzikwa tuThis world is not fair
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fairness iko kaburini tu mkuu sababu sote tutakufa na kuzikwa tuThis world is not fair
Alitegemea akipata 100 ndio kapata kazi? Kuna michakato ya backend lazma ifanyike kama hamjui mtu kaumia.We acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyume
Mnatoboa vipi wakati idadi ishafikiwa😅😀😀😀😀tusubiri second selection wazeee tutatoboa tu😀😀😀
Ila sidhanj kama kwasasa kuna organ ya serikali iliyo safiNo body knows bro, ni kama unavyocheza biko tuu
Mlaumu baba yako hakuwatengenezea nafasi mapema😅Huu ni zaidi ya usanii kama si uhuni. Yaani watoto wa maskini wanasafiri kutoka Mpitimbi Songea Vijijinia au Mkwenangi Katavi kuja Dodoma kufanya Usaili na kuambilia patupu kumbe kuna watoto wa wenye nazo hata hawajishughulishi kuhudhuria Usaili na eti majina yao yanatoka wamefaulu. Ushahidi wa majina hayo ninao wote.
Hakika nchi ngumu sana hii. Mheshimiwa Mama Samia ingilia kati uonevu huu
Hahahahhah halafu huyo mzee atasimama na kusema vijana mkajiajiri ajira hakuna ila wanae anawapambania wakakae kwenye AC nyie mpambane na virungu vya migambo na moto wa masokoni😅Same to me. Kuna ambaye niliwasiliana nae na alinitumia hadi screenshot ya msg za kigogo anaewapigania watoto wawili. Niliumia sana, basi tu ndio vile utafanyaje. Yaani sisi tulienda Dom kufanya Aptitude test halafu wengine wamekaa makwao wanaperuzi kwenye pages za umbea Instagram na mwisho wa siku wana nafasi za kazi tayari.
Utafanyaje hii ndio Tanzania mkono mtupu haulambwi na mambo yote yanaenda kimichongo!😅CARDLESS tumia busara,sio suala la wote kuitwa,inachotakiwa ni HAKI,si sawa watoto wa maskini watumie gharama kusafiri kutoka makwao mpaka Dodoma,gharama za malazi na chakula halafu nafasi wapewe watoto wa wakubwa ambao hata kuhudhuria Usaili hawakuhudhuria,hii si sawa. Chombo kama TAKUKURU kikiwa KICHAFU wakati kipo Kisheria kupambana na mambo MACHAFU ni aibu
Familia duni we unajua Mkurugenzi wa Takukuru anaweza kuwa na maisha kuliko mjomba wako anaemiliki bar 3 temeke?Familia duni hizo mzee, ww na pesa zako utakubali mtoto wako awe TAKUKURU??
Sio tu vita bali ajira yenye maslahi mazuri. Kwa level za mishahara ofisi inayolipa 1.7m au zaidi maslahi ni mazuri. Humo kuna hata wafanyakazi wengine wamekimbilia humo kuhonga ili wapate chance imagine unatoka ofisi unayolipwa laki 7 gross mpaka ofisi ya kulipwa 2.2m kwanini usipambane?Tanzania ajira ni vita ! Yaani watu wanachutama na kufanya kila linalowezekana wachomeke matakwa yao. Piga ua garagaza, sio mbaya kama mtu ana sifa but inaaishia kuacha talented people wasio na wakuwashika mkono
We ndo taka taka ndo maana sikutaka kubishana na ww, mara nyingi mkisha feri written ndo maana kuleta porojo kuwa usaili haukuwa wa haki, ukweli ni kwamba uliferi written.Mkuu, kijana kama huyo ni hasara kuanzia kwa familia yake mpaka Taifa. Ndio sababu nime comment kwake ni takataka.
We pambana na moto masokoni bro! Ni aibu mtu wa masters kuanza kutembeza mayai😅Lazima mkubali kujiajiri mbona mimi nimeweza pamoja na masters yangu.
Huyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?Mkuu, binafsi sijui kama kweli mchezo mchafu umefanyika. Ila kwa kuangalia dogo mmoja ambaye anafanya internship ofisini kwetu aliomba nafasi ya afisa uchungu akafanya mtihani wa mchujo na amepita. Huyu dogo namjua hana connection na hana huo uwezo wa kuhonga. But at least amefanikiwa kupenya huo mchujo. Hata hapa job dogo ana discipline ya kazi na ana uwezo mzuri kichwani.
Binafsi nilikuwa ninauhakika dogo atapenya, na kweli amefanikiwa. Kwa kweli kwa hili binafsi nitawatetea TAKUKURU maana nimeona mtu ambaye ninamjua amevuka hatua hii bila kushikwa mkono.
Ninaamini hata hatua inayofuata atapenya pia bila kubebwa
Binafsi nilitoaga 600,000 kupata kazi serikalini, saizi nakula mema ya Nchi[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ukumbuke tuko awamu ya 4B mzee subiria tume ya mchongoKwanini mamlaka za juu zisiingilie swala hili?kwani haiwezekani au hawana taarifa?
Nawaliohusika wote wachukuliwe hatua kali kwa mujibu wa sheria hii ni nchi yetu sote
mkuu haujamuelewa uyo jamaa, sio kwamba anamaanisha uyo dogo anajitolea pccb noo, anajitolea kwenye ofisi yao nyingine ya private hawana mausiano yeyote na pccbHuyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?
Duh sasa ofisi ya private ila kachaguliwa PCCB?mkuu haujamuelewa uyo jamaa, sio kwamba anamaanisha uyo dogo anajitolea pccb noo, anajitolea kwenye ofisi yao nyingine ya private hawana mausiano yeyote na pccb
Mkuu, hao mabro wake unaowazungumzia ni wepi? Sisi ni independent law firm sasa sijui ulitaka kusemaje hapa!Huyo si amejitolea na anafahamika hapo ofisini! Utasemaje hana connection wakati kuna ma bro wake hapo ofisini. We unadhani wangemuachaje kwenye nafasi 200 hizo?
Naunga mkono hoja, ni bora waajiri kama TISSAptitude test karibia zote wanandika number sioni haja ya kulalamika,
Pili kutotoa no na kuleta majina kama ni mtu ulie soma excel ni kazi ya dk tuu wala hutoki jasho ya matakoni.
Ajira kama hizi ni kutoa matangazo ya kuleta lawama bora wangekuwa wanajiliwa kimia kimia mtoto wa fulani na fulani sijui msaafu fulani rahisi tu.
Eti huyu nae anachangia hoja ya msingi. Mkisha "feri" ndio nini? "uliferi" ndio nini?We ndo taka taka ndo maana sikutaka kubishana na ww, mara nyingi mkisha feri written ndo maana kuleta porojo kuwa usaili haukuwa wa haki, ukweli ni kwamba uliferi written.
Ukiwa mpiga porojo kama wale utaishia kuwa mchawi tu