Matokeo ya nafasi za kazi, Nursing Muhimbili/Moi Mwezi wa Saba/Nane yamenishangaza

Matokeo ya nafasi za kazi, Nursing Muhimbili/Moi Mwezi wa Saba/Nane yamenishangaza

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Baada ya dogo mmoja mwenye GPA ya 4.7 (Nursing & Midwifery)na Experience ya mwaka kuomba kazi zilizizotangazwa Muhimbili na nafasi nyingine MOI na kujibiwa kuwa amekosa Muhimbili kwa kuwa barua yake haikuwa na picha huku kwenye tangazo alilo soma hakuona hayo maelekezo ya kuweka picha, Pamoja na kuwa Vyeti vyake vyote alivyo ambatanisha vina picha.

Na kwa upande wa MOI kujibiwa kupitia mfumo wa maombi kuwa anasifa ila amekosa kwa kuwa hajaomba kupitia mfumo wa maombi?
Kwa maana nyingine; Alikosa nafasi muhimbili, na pia Akakosa nafasi MOI kwa sabau hizo hapo juu
  • Naamini tukichukua miaka mitatu hivi utafute wenye GPA ya 4.7 to 4.9 wapo wachache sana
  • Tusipo kuwa makini hapa ndio chanzo kinachopelekea wagonja kupasuliwa kichwa badala ya mguu au Pengine kusahau vifaa ndani wakati wa Surgery, kwa kutokuchukua watu wenye pass za juu (outstanding) kwa sababu vidogo vidogo visivyokuwa na mahusiano ya moja kwa moja na kazi husika
Kwa bahati mbaya uwezo wa mzazi wake ni wa kujipatia chakula tu anacholima kijijini kwa mikono yake
 
Wako malini na Vijisababu vidogo vidogo utafikiri kwenye makubwa itapohitajika watakuwa makini
 
Dogo acha kulialia endelea kujaribu bahati, tulishakubaliana kuwa GPA sio kigezo muhimu…. GPA ya chuo gani kwanza?
 
kwa upande wa MOI kujibiwa kupitia mfumo wa maombi kuwa anasifa ila amekosa kwa kuwa hajaomba kupitia mfumo wa maombi?
Kwanini hakutumia mfumo kutuma maombi ? Au alidhani sio lazima?

Aendelee kujaribu tu hata nje ya nchi ikibidi, kuna siku atapata
 
Baada ya dogo mwenye GPA ya 4.7 (Nursing & Midwifery)na Experience ya mwaka kuomba kazi zilizizotangazwa Muhimbili na nafasi nyingine MOI na kujibiwa kuwa amekosa Muhimbili kwa kuwa barua yake haikuwa na picha huku kwenye tangazo alilo soma hakuona hayo maelekezo ya kuweka picha, Pamoja na kuwa Vyeti vyake vyote alivyo ambatanisha vina picha; Na kwa upande wa MOI kujibiwa kupitia mfumo wa maombi kuwa anasifa ila amekosa kwa kuwa hajaomba kupitia mfumo wa maombi?
Kwa maana nyingine; Alikosa nafasi muhimbili, na pia Akakosa nafasi MOI kwa sabau hizo hapo juu

Nachelea kusema kuwa, bado tuna safari ndefu ya kufika kaanan
  • Naamini tukichukua miaka mitatu hivi utafute wenye GPA ya 4.7 to 4.9 wapo wachache sana
  • Tusipo kuwa makini hapa ndio chanzo kinachopelekea wagonja kupasuliwa kichwa badala ya mguu au Pengine kusahau vifaa ndani wakati wa Surgery, kwa kutokuchukua watu wenye pass za juu (outstanding) kwa sababu vidogo vidogo visivyokuwa na mahusiano na kazi husika
Jiongeze wewe nurses wanahitajika kwa mamilioni huku duniani we unalialia na Muhimbili na moi
 
Kwanini hakutumia mfumo kutuma maombi ? Au alidhani sio lazima?

Aendelee kujaribu tu hata nje ya nchi ikibidi, kuna siku atapata
Amejibiwa kupitia mfumo wa maombi ina maana maombi yake yalikuwa kwenye mfumo. Kilicho nifanya niandike hapa ni kwamba, sababu zilizotolewa sioni kama zina uzito wa kumpoteza mtalaam mwenye pass kama hizo
 
Atafute passport akafanye kazi nje ya nchi. Manesi wanahitajika dunia nzima.

Ingia kwenye recruitment agencies za South Africa atume CV akapige kazi Kazi Capetown, Port Elizabeth au Kimberley hapo bondeni!.
 
Baada ya dogo mmoja mwenye GPA ya 4.7 (Nursing & Midwifery)na Experience ya mwaka kuomba kazi zilizizotangazwa Muhimbili na nafasi nyingine MOI na kujibiwa kuwa amekosa Muhimbili kwa kuwa barua yake haikuwa na picha huku kwenye tangazo alilo soma hakuona hayo maelekezo ya kuweka picha, Pamoja na kuwa Vyeti vyake vyote alivyo ambatanisha vina picha.

Na kwa upande wa MOI kujibiwa kupitia mfumo wa maombi kuwa anasifa ila amekosa kwa kuwa hajaomba kupitia mfumo wa maombi?
Kwa maana nyingine; Alikosa nafasi muhimbili, na pia Akakosa nafasi MOI kwa sabau hizo hapo juu
  • Naamini tukichukua miaka mitatu hivi utafute wenye GPA ya 4.7 to 4.9 wapo wachache sana
  • Tusipo kuwa makini hapa ndio chanzo kinachopelekea wagonja kupasuliwa kichwa badala ya mguu au Pengine kusahau vifaa ndani wakati wa Surgery, kwa kutokuchukua watu wenye pass za juu (outstanding) kwa sababu vidogo vidogo visivyokuwa na mahusiano ya moja kwa moja na kazi husika
Kwa bahati mbaya uwezo wa mzazi wake ni wa kujipatia chakula tu anacholima kijijini kwa mikono yake
Muhimbili alipeleka maombi kwenye bahasha?

MOI alitakiwa kutumia mfumo gani wa maombi ya kazi?
 
Back
Top Bottom