Matokeo ya Ngumi za leo kati ya Kidunda na Msouth yanatia aibu, Kidunda kabebwa

Matokeo ya Ngumi za leo kati ya Kidunda na Msouth yanatia aibu, Kidunda kabebwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Namshauri Kidunda aache ngumi , amekwisha , akiendelea atadhalilisha jeshi letu , na ikibidi astaafishwe kinguvu

Hatuwezi kuendelea kubebwa kibwege namna hii

Kingine ni hiki , wanajeshi kuja na magwanda na mabuti walitaka kumtisha nani ? siku wakija na makombora mtaendelea kunyamaza ? huu ndio uzalendo wa wapi ?

Screenshot_2024-03-02-03-01-47-1.png
 
Nikelekwa sana ngumi ni mchezo wa wazi cha ajabu malefa wanatoa mahamuzi ya ajabu apo ndio watanzania tunapofel tunapenda uwezo atuna tnapenda kubebwa bebwa tu kidunda kapgwa tena kama mtoto
 
Mbona kavimba sana?😂😂😂 daaah kalitia aibu taifa huyu kenge hana tofauti na sungusungu!😂😂😂
 
Back
Top Bottom