Tyson aliwahi kupoteza pambanoLabda ni agizo kutoka juu!
Wewe unaelewa ukiangushwa ukihesabiwa kwisha habari yako 'unanimous decision' inakuhusu mwisho wa pambano lazima upoteze pambano sababu ukiangushwa ukihesabiwa unaepigana nae anachukua point nyingi kukuzidi kwenye hio round au kwenye kila round atakayokupiga mpaka kukuangusha anachukua pointsMpwa ukiangushwa chini na kuhesabiwa.
Issue sio kwenda chini issue ni kwenda chini na kuhesabiwa 1, 2 & 3 mpaka unanyanyuka unaulizwa na refarii vipi upo vizuri kuendelea na mpambano? unasema ndio tuendelee au unaomba kutokuendelea Ila ukiangushwa ukainuka mwenyewe haraka hio haina madhara,kidunda kaenda chini mara mbili kama mwenzake
Kiswahili chako sasa,khaaa!Nikelekwa sana ngumi ni mchezo wa wazi cha ajabu malefa wanatoa mahamuzi ya ajabu apo ndio watanzania tunapofel tunapenda uwezo atuna tnapenda kubebwa bebwa tu kidunda kapgwa tena kama mtoto
Kidunda nusu auwawe[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo skudu ni pure professional boxing anajua anachokifanya, anajua kuusoma mchezo, ana mbinu zote za kupambana na mpinzani wake, anabadilika kulingana na mpinzani anavyokuja.
Jabu yake ndo siraha kubwa na wapinzani wake wote aliokutana nao wameshindwa kumsoma vzr.huyu labda acheze na mwakinyo ndo kwa hapa Tanzania anaweza kucheza game ki-professinal.
Draw ya majaji kaka, wote tumeuona mchezo, uzuri wa ngumi hakuna kutegeaNi draw ile nyie acheni ujinga
Mbona tatu malogo anafanya hivyo live huku mnashangilia? Sikuona hiyo mechi lakini kwa wengi wasemavyo, ni kweli jamaa amepigika.Nikelekwa sana ngumi ni mchezo wa wazi cha ajabu malefa wanatoa mahamuzi ya ajabu apo ndio watanzania tunapofel tunapenda uwezo atuna tnapenda kubebwa bebwa tu kidunda kapgwa tena kama mtoto
Basi Mpwa, sio ugomvi, asante Kwa kunielewesha japo kwa ukali. Yaishe, Sabato njema na kila la heri kwa SimbaWewe unaelewa ukiangushwa ukihesabiwa kwisha habari yako 'unanimous decision' inakuhusu mwisho wa pambano lazima upoteze pambano sababu ukiangushwa ukihesabiwa unaepigana nae anachukua point nyingi kukuzidi kwenye hio round au kwenye kila round atakayokupiga mpaka kukuangusha anachukua points
Simba limkute la kumkuta leo ili tuheshimianena kila la heri kwa Simba
Wacha Kwanza Niko na Watani ZanguSimba limkute la kumkuta leo ili tuheshimiane
Yaan TV ya Mji wajanja wanawapiga wenzao?Wacha Kwanza Niko na Watani Zangu View attachment 2922005
ππππ Disiiii kama Disiiiiii !!Wacha Kwanza Niko na Watani Zangu View attachment 2922005
Mkuu tuheshimianeSimba limkute la kumkuta leo ili tuheshimiane
πππ Tutaheshimiana tuMkuu tuheshimiane
Tanzania ni ovyo sana na kutia aibu!mtu kachapika namna ile halafu mnasema eti draw!hakuna draw yoyote!KIDUNDA kachapika sana!upuuzi mtupu!PUMBAF KABISANamshauri Kidunda aache ngumi , amekwisha , akiendelea atadhalilisha jeshi letu , na ikibidi astaafishwe kinguvu
Hatuwezi kuendelea kubebwa kibwege namna hii
Kingine ni hiki , wanajeshi kuja na magwanda na mabuti walitaka kumtisha nani ? siku wakija na makombora mtaendelea kunyamaza ? huu ndio uzalendo wa wapi ?
View attachment 2921901
Kwani kidunda ni CCM?Namshauri Kidunda aache ngumi , amekwisha , akiendelea atadhalilisha jeshi letu , na ikibidi astaafishwe kinguvu
Hatuwezi kuendelea kubebwa kibwege namna hii
Kingine ni hiki , wanajeshi kuja na magwanda na mabuti walitaka kumtisha nani ? siku wakija na makombora mtaendelea kunyamaza ? huu ndio uzalendo wa wapi ?
View attachment 2921901