Matokeo ya Rushwa Halmashauri JIJI, serikali inafumba macho, utafikiri haioni!

Matokeo ya Rushwa Halmashauri JIJI, serikali inafumba macho, utafikiri haioni!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20231115_141142.jpg
20231115_141128.jpg
20231115_141026.jpg
20231115_140420.jpg
20231115_140352.jpg

Mtaa wa Lindi leo.


Tutapiga kelele hadi serikali msikilize uozo uliokuwa wa Jiji la DSM.

Jiji ilitoa tenda kwa wachina miaka minne tu iliyopita.

Kwa kawaida ujenzi wa barabara, barabara inatakiwa kutokuwa na matatizo yoyote ndani ya miaka 10.

Barabara ya Lindi, Kariakoo ndani ya miaka minne imekufa kabisa.

Lami unene hauzidi robo tatu inchi.

Huu nakumbuka ulikuwa mkopo wa World Bank.

Wakati huo Jiji likitoa tenda hizo za barabara za Kariakoo waliweka vikwazo vingi kuwazuia wakandarasi wazawa.

Watoa rushwa, wachina wakapata kazi.

Matokeo ya rushwa wote tunaona, ndani ya miaka minne barabara kwisha kabisa.

UPDATE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ndg Simbachawene ame sema sheria zibadilishwe ili viongozi waliohusika katika rushwa hasa kwa mfano barabara kuharibika ndani ya miaka miwili mitatu baada ya kujengwa, washitakiwe.

BIG UP Nd Simbachawene, sasa paka anafungwa kengele.
Ni matumaini yangu kuwa wakuu serikalini wameiona mada hii.
 
Hivi wewe JIDULABAMBASI na wenzako kina KABENDE MSAKILA na LUCAS MWASHAMBWA si ndio kila siku mnaongoza humu JF kupongeza Miradi ya Serikali.

Chama na Uongozi mzima kwamba unachapa kazi na kukamilisha Miradi yote vizuri na kwa wakati, huko kulialia kumeanza lini? Acha UJINGA Mbuzi wewe
 
Hivi wewe JIDULABAMBASI na wenzako kina KABENDE MSAKILA na LUCAS MWASHAMBWA si ndio kila siku mnaongoza humu JF kupongeza Miradi ya Serikali,

Chama na Uongozi mzima kwamba unachapa kazi na kukamilisha Miradi yote vizuri na kwa wakati, huko kulialia kumeanza lini? Acha UJINGA Mbuzi wewe
Usiwe mjinga, kupongeza hsina maana kila kitu kinaenda sawasawa.
Na wala kulaumu haina maana watu wasio na akili kama wewe ndio mnajua cha kufanya.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema TUJISAHIHISHE.

Kujisahihisha ni pamoja na kuelewa makosa yako.
Fala wewe!
 
Hivi wewe JIDULABAMBASI na wenzako kina KABENDE MSAKILA na LUCAS MWASHAMBWA si ndio kila siku mnaongoza humu JF kupongeza Miradi ya Serikali,

Chama na Uongozi mzima kwamba unachapa kazi na kukamilisha Miradi yote vizuri na kwa wakati, huko kulialia kumeanza lini? Acha UJINGA Mbuzi wewe
Hivi mjinga nani?
Wewe unayeponda watu wanaoitahadharisha serikali au wewe unayejamba hadharani bila mchango wowote wa maana!
 
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Mkuu kuna wezi serikalini.
Kila siku wanaimba ati "value for money" lakini wanashindwa kuilinda kauli hiyo kwa vitendo kwa sababu ya rushwa.

Barabara yoyote ya lami lazima iwe na life span ya miaka 10, sasa hii hata minne haijaisha na imeharibika vibaya.

Tender hii tunaambiwa masharti yake yaliwekwa ili kuwaondoa wazawa wasishiriki, kwa kigezo kuwa ni ya World Bank.
Wizi mtupu.
 
CCM ni chama cha matapeli na mbwembwe nyiiingi.
Hakuna chama kinacho waambia wanachama wake wawe matapeli, kila chama ilani zake ni uzalendo. Kwa nini tunajificha vichakani, ukweli ni kuwa Watanzania wengi tunapenda kula Rushwa. Hao wanaofanya hivyo ni watu kama sisi na sio chama, na wale wanaotakiwa kuwachukulia hatua nao pia wanakula rushwa. Rushwa ni janga la Taifa na bara la Afrika.
 
Mkuu kuna wezi serikalini.
Kila siku wanaimba ati "value for money" lakini wanashindwa kuilinda kauli hiyo kwa vitendo kwa sababu ya rushwa.

Barabara yoyote ya lami lazima iwe na life span ya miaka 10, sasa hii hata minne haijaisha na imeharibika vibaya.

Tender hii tunaambiwa masharti yake yaliwekwa ili kuwaondoa wazawa wasishiriki, kwa kigezo kuwa ni ya World Bank.
Wizi mtupu.
Yule Mchunga ng'ombe na punda wa Singida aliyekuja mjini baada ya kufaulu Sekondari anasema serikalini hakuna uwizi wa fedha![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna chama kinacho waambia wanachama wake wawe matapeli, kila chama ilani zake ni uzalendo. Kwa nini tunajificha vichakani, ukweli ni kuwa Watanzania wengi tunapenda kula Rushwa. Hao wanaofanya hivyo ni watu kama sisi na sio chama, na wale wanaotakiwa kuwachukulia hatua nao pia wanakula rushwa. Rushwa ni janga la Taifa na bara la Afrika.
Uko sahihi Mr.Mkilindi shida inakuja pale ccm wanapokataa mabadiliko kwa kisingizio cha usalama huku nchi ikiendelea kubomolewa taratibu taratibu.
 
View attachment 2814721View attachment 2814722View attachment 2814723View attachment 2814724View attachment 2814725
Mtaa wa Lindi leo.


Tutapiga kelele hadi serikali msikilize uozo uliokuwa wa Jiji la DSM.

Jiji ilitoa tenda kwa wachina miaka minne tu iliyopita.

Kwa kawaida ujenzi wa barabara, barabara inatakiwa kutokuwa na matatizo yoyote ndani ya miaka 10.

Barabara ya Lindi, Kariakoo ndani ya miaka minne imekufa kabisa.

Lami unene hauzidi robo tatu inchi.

Huu nakumbuka ulikuwa mkopo wa World Bank.

Wakati huo Jiji likitoa tenda hizo za barabara za Kariakoo waliweka vikwazo vingi kuwazuia wakandarasi wazawa.

Watoa rushwa, wachina wakapata kazi.

Matokeo ya rushwa wote tunaona, ndani ya miaka minne barabara kwisha kabisa.
UPDATE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ndg Simbachawene ame sema sheria zibadilishwe ili viongozi waliohusika katika rushwa hasa kwa mfano barabara kuharibika ndani ya miaka miwili mitatu baada ya kujengwa, washitakiwe.

BIG UP Nd Simbachawene, sasa paka anafungwa kengele.
Ni matumaini yangu kuwa wakuu serikalini wameiona mada hii.
 
UPDATE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ndg Simbachawene ame sema sheria zibadilishwe ili viongozi waliohusika katika rushwa hasa kwa mfano barabara kuharibika ndani ya miaka miwili mitatu baada ya kujengwa, washitakiwe.

BIG UP Nd Simbachawene, sasa paka anafungwa kengele.
Ni matumaini yangu kuwa wakuu serikalini wameiona mada hii.
Sasa serikali imeamka toka usingizi wa pono?
 
Mkuu kuna wezi serikalini.
Kila siku wanaimba ati "value for money" lakini wanashindwa kuilinda kauli hiyo kwa vitendo kwa sababu ya rushwa.

Barabara yoyote ya lami lazima iwe na life span ya miaka 10, sasa hii hata minne haijaisha na imeharibika vibaya.

Tender hii tunaambiwa masharti yake yaliwekwa ili kuwaondoa wazawa wasishiriki, kwa kigezo kuwa ni ya World Bank.
Wizi mtupu.
kumi tena? Lami ni 20 yrs mzee huku reli ni 100 yrs
 
Back
Top Bottom