Matokeo ya Rushwa Halmashauri JIJI, serikali inafumba macho, utafikiri haioni!

Mwenye barabara alishaondoka so tegemea matanuru baada ya miaka kazaa.
 
Serikali Awamu ya Sita imeondoka?
Kuna kikundi cha wahuni kinamhujumu Dkt Samia, ni kile cha Makamba, yaani fikiria yule aliyekwapua mabilion kazaa toka bank 6 na kuondoka nchini, sasa unadhani ni mchongo wa mtu wa kawaida??? Au issue ya kuvuruga umeme, kandarasi za barabara zimejaa rushwa yaani ni balaa sana. Ila uzuri Dkt Samia ni mwenda pole yaani watakuja kufumuliwa na kupotezwa kabisa kwenye siasa
 
Tutataka hicho kikundi ndani ya serikali kijulikane na kuchukuliwa hatua.
Barabara itafumukaje baada ya miaka miwili mitatu baada ya kujengwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…