Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Aidha, licha ya baadhi ya Mitaa Wilayani Nyamagana na kushuhudiwa Wagombea wa CCM wakitangazwa kuongozwa Kwa kura wakifuatiwa na wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao hata hivyo wameeleza kutoridhishwa na mwenendo wa Uchaguzi huku wakibainisha baadhi ya changamoto kuwa ni pamoja na kuongezwa kwa vituo na Wapiga kura hewa.