Matokeo ya utafiti binafsi: Wanawake huwaheshimu na kuwatii maboss kuliko waume zao

Matokeo ya utafiti binafsi: Wanawake huwaheshimu na kuwatii maboss kuliko waume zao

Andie

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
712
Reaction score
1,642
Salaam wakuu,

Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili Thomas na Lilian (sio majina yao halisi ) tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS husbands" heshima na utii wa wanawake kwa maboss wao kulinganisha na utii kwa waume zao.

Area of study ilikua Turiani - Morogoro, Ilemela -Mwanza na Kinondoni - Dar. Research methodoloy ilikua experimental design, Sample size ilikua wanawake 340 na Data collection techniques ilikua proficiency testing, interview na behaviral observation bila ya wahusika kujua wako chini ya utafiti ili kupata matokeo halisi ya tabia (behavioural results)

Test retest criterion method ilitumika kama validy and reliability approaches ili kupata findings zilizo relialible as much as possible.

Wanawake bila kujua waliwekwa kwenye uchungunzi kwa muda wa week 4 wakiwa subjected kwenye scenerio 32 kwa kila mmoja. Kulikua na control group ya nusu ya idadi ya wanawake na nusu nyingine ilikua experimental group.

Matokeo yamebainisha 98.8% (ambayo ni significant score) wanawake wako tayari kutii maajizo ya boss pale yatakapo kizana na ya mume. Mfano scinario na. 004 wanawake wako tayari kutii bila swali wala kuhoji mapendekezo ya boss ya kuchelewa au kurudi kazini muda wa ziada hata kama mume ameshauri muda huo utumike kwa shughuli nyingine ya kifamilia.

Aidha wanawake 86% waliokua chini ya utafili walibainika kufanya mambo ya kumpendeza boss kwa hiari hata kama yatamkwaza mume. Kwa mfano scinario na. 011 asilimia tajwa ya wanawake wako tayari kukubali mualiko wa boss japo wanajua kufanya hivyo kutamkwaza mume.

Katika hali ya kushangaza wanawake wa experimental group katika utayari wa kujibu simu, 97% hawakupokea simu za waume zao walipokua na maboss wao walikata simu kuendeleza utulivu na usikivu kwa boss ila walipokua na mume, walipokea simu za boss bila kusita bila kuchelewa. Wanawake 12 kati yao walipopigiwa na boss walisogea pembeni (wakijitenga kidogo na mume) ili kuongea na boss.

100% ya wanawake waliofanyiwa utafiti walionesha kupata furaha zaidi kama watapata fursa kwenda seminar yenye posho kuliko kwenda mapumziko na mume na familia zao.

Findings za habitual test zimeonyesha wanawake 87% hujibishana kwa lugha chafu pale wanapo kinzana mawazo au kukwazwa na waume zao ila 0% au hakuna mwanamke alieripotiwa kujibishana na boss hata wanapokwazwa na kuonewa.

Respondent number 0213 alinukuliwa akizungumzia kujibishana na boss hivi ndivyo alisema. " Boss unaanzaje kubishana nae, boss wangu mimi naona ndo mwanaume kati ya wanaume, we mtu anakupa mshahara, we mtu akikohoa tu huna kazi mume yupo tu akizingua hata umtukane atafanya nini".


91% ya wanawake waliochunguzwa bila ya wao kujua wako katika uchunguzi, wako tayari ndoa zao kuvunjika ila wasipoteze kazi. Kwa lugha nyingine kazi kwanza ndoa na familia badae.

Findings za kutumiwa kingono hazikuwa valid na sijayafanyia analysis baada ya wanawake waliochunguzwa kusita na wengine kugoma kuzungumza kama wamewahi kutumiwa kimwili na maboss wao.


Wakuu conclusion mtatoa nyie kazi yangu ilikua kufanya Presentation, Analysis na Discussion of findings. Labda nitoe recommendations for further research:

Narecommend research zaidi katika maeneo tofauti ili kumirginalize findings za tafiti hii au kurefute facts.
 
Mwanamke ni mtii/ana utii, and that's nature.
Heshma ni jambo ambalo mtu yeyote anapaswa na anaweza akawanalo, na hata boss anapaswa kumuheshimu mtu/watu wa chini yake.
Pengine wewe umetaka kuzungumzia unyenyekevu kwa boss...😎
 
Umejitahidi sana kutetea hoja ya tafiti zako kwa kutumia data analysis na actual ground ya maeneo pamoja na sample.

Sema kweli hii ipo hivo, na sio kwa wanawake tu bila shaka hata wanaume kwa maboss wao kuna hali fulani ya UOGA/HOFU huwapata waajiriwa.

Nadhani ni sababu ya maisha magumu. Maana kama umejiajiri na mpunga wako wa kutoka halafu ukaajiriwa na mtu mwingine huwezi babaika sana.
 
Mkuu yote uliyoelezea ndio yanayopelekea percent kubwa yao huwa wananyanduliwa na maboss wao kiulaini sana yaani hata sisi nyumbani siku nyingine tunanyimwa hovyohovyo tu lakini boss akiomba utasikia nimesahau kufunga ofisi ya watu basi jua zigo lako anapelekewa Boss
 
Vile mke humsikiliza boss kwa nidhamu kuu!
592399735.png
 
Mkuu tafuta mke ambae si mfanyakazi tena std 7 ili uchunguzi wako uwe na mafanikio.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu hivi umeekewa anacho maanisha yeye anamaanisha wanawake waliopo makazini haijalishi elimu zao Bali yupo kazini na ameolewa!

Sasa akioa wa LA saba halafu hana kazi atakuwa yupo nje ya lengo la tafiti zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwanzishia miradi we kama Mme wake hawezi kukuchukulia kama boss. Ndo maana wengine ukishawapa pesa au miradi ndo chanzo cha dharau.

Sent using Jamii Forums mobile app
I see. Then ni vizuri mume uwe na mradi mkubwa, umuajiri mke kwa nafasi flani ambayo inahitaji ufanisi (good performance) ili kuendelea na hiyo kazi.

Hata hivyo, wife asipotii, Kama Kuna "pisi kali" kadhaa hapo kazini wanakupa respect kama yoote ww BOSS wao, wife atanyooka tu, maana dawa ya moto ni moto😊
 
I see. Then ni vizuri mume uwe na mradi mkubwa, umuajiri mke kwa nafasi flani ambayo inahitaji ufanisi (performance) ili kuendelea na hiyo kazi.

Hata hivyo, wife asipotii, Kama Kuna "pisi kali" kadhaa hapo kazini wanakupa respect kama yoote ww BOSS wao, wife atanyooka tu, maana dawa ya moto ni moto
Akishtukia kama pisi Kali zinakupa heshima sana ndo chanzo cha kufurisika usiruhusu ufanye kazi na mkeo sehemu ambayo kuna wanawake wenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejitahidi sana kutetea hoja ya tafiti zako kwa kutumia data analysis na actual ground ya maeneo pamoja na sample.

Sema kweli hii ipo hivo, na sio kwa wanawake tu bila shaka hata wanaume kwa maboss wao kuna hali fulani ya UOGA/HOFU huwapata waajiriwa.

Nadhani ni sababu ya maisha magumu. Maana kama umejiajiri na mpunga wako wa kutoka halafu ukaajiriwa na mtu mwingine huwezi babaika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uoga wa maisha ni kitu kibaya sana aise

Kwangu mimi mwanamke ni ndani alee watoto pamoja na shule yake,kila kitu nafanya mimi..hii mauoga ya watu mala oooh ukifa ghafla watoto watahangaika, lini MUNGI amekuambieni nitakufa kabla sijaweka sawa mambo ya familia? Mauoga tu ndo yanawaponza watu,mwanaume mwenye bidii hata kama mwanamke wake hatafanya kazi mambo yataenda tu na wengine hapa ndivyo tunavyoishi na tumepiga hatua dhidi ya maisha ya watoto baadae

Maofisini na kwenye mohangaiko ni kweli wanawake hata mimi nawaona,uwezo wao dhidi ya wanaume wengine wanao wazunguka kwenye biashara na maboss maofisini wanawachezea kupita kiasi kwa hofu ya kufukuzwa kazi au akikwama kwenye mihangaiko huyo mwanae atamsaidia na hata kama hana msaada wowote basi mwanamke yeye huamini atapata msaada zaidi ya anaoweza kupata kwa mumewe
 
Hongera kwa utafiti mzuri. Kama ulikuwa na two arms i.e., experimental and control, ninaomba kujua kwenye kufanya analysis ulitumia tests gani. Je kulikuwa na any significant differences observed between the two arms?
 
I see. Then ni vizuri mume uwe na mradi mkubwa, umuajiri mke kwa nafasi flani ambayo inahitaji ufanisi (performance) ili kuendelea na hiyo kazi.

Hata hivyo, wife asipotii, Kama Kuna "pisi kali" kadhaa hapo kazini wanakupa respect kama yoote ww BOSS wao, wife atanyooka tu, maana dawa ya moto ni moto😊
Hatuponi wallah 😁
 
Duuh... Inatisha!
Na vipi kama mume anajitahidi anakuwa pia boss wa mkewe, yaani anamuajiri mke, meaning anamuanzishia miradi ya kuendesha?
Bado hawezi kumheshimi mume labda awe mtu wa MUNGU sanaaa! Hapo yeye atasema mawazoni mwake kwamba hiyo ni mali yao wote na wala hatakua na nidhamu ya uoga kwa mumewe eti tu kamfungulia biashara

Mfumo wa mzungu wa haki sawa ndo umebadilisha kabisa tabia za wanawake wa kiafrika, waarabu bado wana heshimu sana huo uumbaji wa MUNGU kwamba mwanamke kazi yake ni kuzaa na kulea nyumbani na wanawaheshimu sana waume zao na waume wanabidii sana ya kutafuta.

Swala hili lina mada pana sana juu ya uvivu wa wanaume kadhaa wa kiafrika na ubovu wa wanawake wakipata kipato kuendelea kuwaheshimu waume zao ni mtihani
 
Back
Top Bottom