Matokeo ya utafiti binafsi: Wanawake huwaheshimu na kuwatii maboss kuliko waume zao

Matokeo ya utafiti binafsi: Wanawake huwaheshimu na kuwatii maboss kuliko waume zao

Akishtukia kama pisi Kali zinakupa heshima sana ndo chanzo cha kufurisika usiruhusu ufanye kazi na mkeo sehemu ambayo kuna wanawake wenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok.. basi wife awe na kamradi ka kum-keep bize na kupata mpunga kiasi, afu dume unamiliki a massive project na baadhi ya wafanyakazi hapo ni walimbwende, ili wife ajue akileta dharau za makusudi Kuna reserve huko..

Ila kwa ujumla, thamani na ulinzi wa mume ni MPUNGA.. Kama unamiliki mpunga usio na mawazo, lzm respect itakuwepo tuu
 
Ok.. basi wife awe na kamradi ka kum-keep bize na kupata mpunga kiasi, afu dume unamiliki a massive project na baadhi ya wafanyakazi hapo ni walimbwende, ili wife ajue akileta dharau za makusudi Kuna reserve huko..

Ila kwa ujumla, thamani na ulinzi wa mume ni mpunga.. Kama unamiliki mpunga usio na mawazo, lzm respect itakuwepo tuu
Yeah ,ajue kabisa hela unayo na akizingua atakuja mwenzie kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok.. basi wife awe na kamradi ka kum-keep bize na kupata mpunga kiasi, afu dume unamiliki a massive project na baadhi ya wafanyakazi hapo ni walimbwende, ili wife ajue akileta dharau za makusudi Kuna reserve huko..

Ila kwa ujumla, thamani na ulinzi wa mume ni mpunga.. Kama unamiliki mpunga usio na mawazo, lzm respect itakuwepo tuu
Ohoooooweeee mbona mnataka tudanji vibaya aiseh 😆😆
 
Salaam wakuu,

Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS husbands" heshima na utii wa wanawake kwa maboss wao kulinganisha na utii kwa waume zao.

Area of study ilikua Turiani - Morogoro, Ilemela -Mwanza na Kinondoni - Dar. Research methodoloy ilikua experimental design, Sample size ilikua wanawake 340 na Data collection techniques ilikua proficiency testing, interview na behaviral observation bila ya wahusika kujua wako chini ya utafiti ili kupata matokeo halisi ya tabia (behavioural results)

Wanawake bila kujua waliwekwa kwenye uchungunzi kwa muda wa week 4 wakiwa subjected kwenye scenerio 32 kwa kila mmoja. Kulikua na control group ya nusu ya idadi ya wanawake na nusu nyingine ilikua experimental group.

Matokeo yamebainisha 98.8% (ambayo ni significant score) wanawake wako tayari kutii maajizo ya boss pale yatakapo kizana na ya mume. Mfano scinario na. 004 wanawake wako tayari kutii bila swali wala kuhoji mapendekezo ya boss ya kuchelewa au kurudi kazini muda wa ziada hata kama mume ameshauri muda huo utumike kwa shughuli nyingine ya kifamilia.

Aidha wanawake 86% waliokua chini ya utafili walibainika kufanya mambo ya kumpendeza boss kwa hiari hata kama yatamkwaza mume. Kwa mfano scinario na. 011 asilimia tajwa ya wanawake wako tayari kukubali mualiko wa boss japo wanajua kufanya hivyo kutamkwaza mume.

Katika hali ya kushangaza wanawake wa experimental group katika utayari wa kujibu simu, 97% hawakupokea simu za waume zao walipokua na maboss wao walikata simu kuendeleza utulivu na usikivu kwa boss ila walipokua na mume, walipokea simu za boss bila kusita bila kuchelewa. Wanawake 12 kati yao walipopigiwa na boss walisogea pembeni (wakijitenga kidogo na mume) ili kuongea na boss.

Findings za habitual test zimeonyesha wanawake 87% hujibishana kwa lugha chafu pale wanapo kinzana mawazo au kukwazwa na waume zao ila 0% au hakuna mwanamke alieripotiwa kujibishana na boss hata wanapokwazwa na kuonewa.

Respondent number 0213 alinukuliwa akizungumzia kujibishana na boss hivi ndivyo alisema. " Boss unaanzaje kubishana nae, boss wangu mimi naona ndo mwanaume kati ya wanaume, we mtu anakupa mshahara, we mtu akikohoa tu huna kazi mume yupo tu akizingua hata umtukane atafanya nini".


91% ya wanawake waliochunguzwa bila ya wao kujua wako katika uchunguzi, wako tayari ndoa zao kuvunjika ila wasipoteze kazi. Kwa lugha nyingine kazi kwanza ndoa na familia badae.

Findings za kutumiwa kingono hazikuwa valid na sijayafanyia analysis baada ya wanawake waliochunguzwa kusita na wengine kugoma kuzungumza kama wamewahi kutumiwa kimwili na maboss wao.


Wakuu conclusion mtatoa nyie kazi yangu ilikua kufanya Presentation, Analysis na Discussion of findings. Labda nitoe recommendations for further research:

Narecommend research zaidi katika maeneo tofauti ili kumirginalize findings za tafiti hii au kurefute facts.
Kazi ndio kila kitu dunia hii au nasema uwongo ndugu zangu 😆😆😆😆
 
Salaam wakuu,

Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS husbands" heshima na utii wa wanawake kwa maboss wao kulinganisha na utii kwa waume zao.

Area of study ilikua Turiani - Morogoro, Ilemela -Mwanza na Kinondoni - Dar. Research methodoloy ilikua experimental design, Sample size ilikua wanawake 340 na Data collection techniques ilikua proficiency testing, interview na behaviral observation bila ya wahusika kujua wako chini ya utafiti ili kupata matokeo halisi ya tabia (behavioural results)

Wanawake bila kujua waliwekwa kwenye uchungunzi kwa muda wa week 4 wakiwa subjected kwenye scenerio 32 kwa kila mmoja. Kulikua na control group ya nusu ya idadi ya wanawake na nusu nyingine ilikua experimental group.

Matokeo yamebainisha 98.8% (ambayo ni significant score) wanawake wako tayari kutii maajizo ya boss pale yatakapo kizana na ya mume. Mfano scinario na. 004 wanawake wako tayari kutii bila swali wala kuhoji mapendekezo ya boss ya kuchelewa au kurudi kazini muda wa ziada hata kama mume ameshauri muda huo utumike kwa shughuli nyingine ya kifamilia.

Aidha wanawake 86% waliokua chini ya utafili walibainika kufanya mambo ya kumpendeza boss kwa hiari hata kama yatamkwaza mume. Kwa mfano scinario na. 011 asilimia tajwa ya wanawake wako tayari kukubali mualiko wa boss japo wanajua kufanya hivyo kutamkwaza mume.

Katika hali ya kushangaza wanawake wa experimental group katika utayari wa kujibu simu, 97% hawakupokea simu za waume zao walipokua na maboss wao walikata simu kuendeleza utulivu na usikivu kwa boss ila walipokua na mume, walipokea simu za boss bila kusita bila kuchelewa. Wanawake 12 kati yao walipopigiwa na boss walisogea pembeni (wakijitenga kidogo na mume) ili kuongea na boss.

Findings za habitual test zimeonyesha wanawake 87% hujibishana kwa lugha chafu pale wanapo kinzana mawazo au kukwazwa na waume zao ila 0% au hakuna mwanamke alieripotiwa kujibishana na boss hata wanapokwazwa na kuonewa.

Respondent number 0213 alinukuliwa akizungumzia kujibishana na boss hivi ndivyo alisema. " Boss unaanzaje kubishana nae, boss wangu mimi naona ndo mwanaume kati ya wanaume, we mtu anakupa mshahara, we mtu akikohoa tu huna kazi mume yupo tu akizingua hata umtukane atafanya nini".


91% ya wanawake waliochunguzwa bila ya wao kujua wako katika uchunguzi, wako tayari ndoa zao kuvunjika ila wasipoteze kazi. Kwa lugha nyingine kazi kwanza ndoa na familia badae.

Findings za kutumiwa kingono hazikuwa valid na sijayafanyia analysis baada ya wanawake waliochunguzwa kusita na wengine kugoma kuzungumza kama wamewahi kutumiwa kimwili na maboss wao.


Wakuu conclusion mtatoa nyie kazi yangu ilikua kufanya Presentation, Analysis na Discussion of findings. Labda nitoe recommendations for further research:

Narecommend research zaidi katika maeneo tofauti ili kumirginalize findings za tafiti hii au kurefute facts.
Ahsante na hongera kwa utafiti mzuri

Sisi wazee wa zamani tunahitimisha kwa kueleza sababu kuu iliyosababisha haya. Asilimia kubwa ya wamama wa siku hizi walioajiriwa ni mabosi nyumbani kwao. Yaani baba hana sauti wala mamlaka kama zamani... Sasa kama mama nyumbani anajifanya bosi,na mime kaliruhusu hill unategemea nini....

Yeye ni mtumishi kazini, na bosi nyumbani. Kazini ananyeyekea, nyumbani ananyenyekewa. Atamtii vipi mtu anayemnyenyekea?


Yote haya yamesababishwa na uzembe wa wanaume. Usisahau huyu bosi anayepewa utiifu kazini na wanawake wengine, ndo huyuhuyu akirudi nyumbani mke wake anamwona hana lolote mbele yake.

Nimemaliza
 
Pesa Vs Mapenzi bila shaka pesa inashinda hapo sasa unawezaje kushindanisha hvyo vitu viwili

Mazoea nayo huchangia kushuka kwa heshima. Kuna mstar mwembamba unaotenganisha mazoea na dharau ukisharuhusu mazoea umeruhusu dharau

Bosi anaogopwa ila akianza kulala na mfanyakaz wake ule utii na kuogopwa huanza kupungua.

NB. Ukitaka heshima usiruhusu mazoea
 
Salaam wakuu,

Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS husbands" heshima na utii wa wanawake kwa maboss wao kulinganisha na utii kwa waume zao.

Area of study ilikua Turiani - Morogoro, Ilemela -Mwanza na Kinondoni - Dar. Research methodoloy ilikua experimental design, Sample size ilikua wanawake 340 na Data collection techniques ilikua proficiency testing, interview na behaviral observation bila ya wahusika kujua wako chini ya utafiti ili kupata matokeo halisi ya tabia (behavioural results)

Wanawake bila kujua waliwekwa kwenye uchungunzi kwa muda wa week 4 wakiwa subjected kwenye scenerio 32 kwa kila mmoja. Kulikua na control group ya nusu ya idadi ya wanawake na nusu nyingine ilikua experimental group.

Matokeo yamebainisha 98.8% (ambayo ni significant score) wanawake wako tayari kutii maajizo ya boss pale yatakapo kizana na ya mume. Mfano scinario na. 004 wanawake wako tayari kutii bila swali wala kuhoji mapendekezo ya boss ya kuchelewa au kurudi kazini muda wa ziada hata kama mume ameshauri muda huo utumike kwa shughuli nyingine ya kifamilia.

Aidha wanawake 86% waliokua chini ya utafili walibainika kufanya mambo ya kumpendeza boss kwa hiari hata kama yatamkwaza mume. Kwa mfano scinario na. 011 asilimia tajwa ya wanawake wako tayari kukubali mualiko wa boss japo wanajua kufanya hivyo kutamkwaza mume.

Katika hali ya kushangaza wanawake wa experimental group katika utayari wa kujibu simu, 97% hawakupokea simu za waume zao walipokua na maboss wao walikata simu kuendeleza utulivu na usikivu kwa boss ila walipokua na mume, walipokea simu za boss bila kusita bila kuchelewa. Wanawake 12 kati yao walipopigiwa na boss walisogea pembeni (wakijitenga kidogo na mume) ili kuongea na boss.

Findings za habitual test zimeonyesha wanawake 87% hujibishana kwa lugha chafu pale wanapo kinzana mawazo au kukwazwa na waume zao ila 0% au hakuna mwanamke alieripotiwa kujibishana na boss hata wanapokwazwa na kuonewa.

Respondent number 0213 alinukuliwa akizungumzia kujibishana na boss hivi ndivyo alisema. " Boss unaanzaje kubishana nae, boss wangu mimi naona ndo mwanaume kati ya wanaume, we mtu anakupa mshahara, we mtu akikohoa tu huna kazi mume yupo tu akizingua hata umtukane atafanya nini".


91% ya wanawake waliochunguzwa bila ya wao kujua wako katika uchunguzi, wako tayari ndoa zao kuvunjika ila wasipoteze kazi. Kwa lugha nyingine kazi kwanza ndoa na familia badae.

Findings za kutumiwa kingono hazikuwa valid na sijayafanyia analysis baada ya wanawake waliochunguzwa kusita na wengine kugoma kuzungumza kama wamewahi kutumiwa kimwili na maboss wao.


Wakuu conclusion mtatoa nyie kazi yangu ilikua kufanya Presentation, Analysis na Discussion of findings. Labda nitoe recommendations for further research:

Narecommend research zaidi katika maeneo tofauti ili kumirginalize findings za tafiti hii au kurefute facts.
Na mahouse girl walikuwa among participants?
 
Research yenu imebase upande mmoja tuu ambapo mmeconsider Male Boss Vs Female Employee.

Sasa endapo boss ni mwanamke na employee ni mwanamke imekaaje? Huoni kuna falacy hapo?
Unforgetable
 
Kwa nn hao wake zenu mnataka kuwala peke yenu, tuachieni na sisi mabosi tuwachape, kizuri usile peke yako.
 
Pamoja na utafiti huu bado mnang'ang'ania kuwaoa walio maofisini,. Wakati wapo wa mtaani
 
Mleta mada post namba 17 hujanipa ufafanuzi au unachagua maswali ya kutolea ufafanuzi?
 
Umejitahidi sana kutetea hoja ya tafiti zako kwa kutumia data analysis na actual ground ya maeneo pamoja na sample.

Sema kweli hii ipo hivo, na sio kwa wanawake tu bila shaka hata wanaume kwa maboss wao kuna hali fulani ya UOGA/HOFU huwapata waajiriwa.

Nadhani ni sababu ya maisha magumu. Maana kama umejiajiri na mpunga wako wa kutoka halafu ukaajiriwa na mtu mwingine huwezi babaika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zaid ya kumheshimu sijawah kumuogopa boss hata day 1
 
.............wanamke mlioajiriwa hamna quality za kike mnakimbizana kuwa kama wanaume.
....... mjinga kuoa jike dume.
Ukwel mchungu sana huu.Ugly truth.
Ila mke wangu not one of them.
 
Back
Top Bottom