Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

Matapeli pia hawako nyuma, tena in wanaume wanajifanya mabinti. Ukituma nauli tu, umeliwa.
Ipo sana hiyo
Na pia wapo wengine wakipata picha yako wanaitengeneza na wanaweka #yko ya sim
Kuwa we ni shoga unatafuta bwana
Wanaku shake ili wakupige hela wanakutisha yaani uwape 200,000 au 100000
La sivyo watairusha kwenye fb na magroup

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
hapo kwenye kudanganya kusoma ni kweli maana hata alivyokuwa anaandika tu nilipata mashaka..

lakini kumbe ile.profile picture sio yake.
aliponipa picha yake ,
nilimuonea huruma sana mdogo kama 19 hivi.

papuchi za watoto kama hizo sio safi
 
Duh sorry hivi hiyo mitandao lengo hasa hadi ikawepo ni nini? Je ni kama jf hivi majukwaa mbalimbali ama yenyewe ni special kwa biashara hiyo(kujiuza?).
 
hapo kwenye kudanganya kusoma ni kweli maana hata alivyokuwa anaandika tu nilipata mashaka..

lakini kumbe ile.profile picture sio yake.
aliponipa picha yake ,
nilimuonea huruma sana mdogo kama 19 hivi.

papuchi za watoto kama hizo sio safi
Hatari sana mkuu.
 
Duh sorry hivi hiyo mitandao lengo hasa hadi ikawepo ni nini? Je ni kama jf hivi majukwaa mbalimbali ama yenyewe ni special kwa biashara hiyo(kujiuza?).
Badoo, Tinder na Hitwe hizo zote ni 'dating sites' yaani zinatumika kwa ajili ya watu kutafuta marafiki, boyfriends & girlfriends, wachumba, na hata one night stands etc. Hivi ndivyo ambavyo imekua designed na waliyoitengeneza.
Ila sasa kwa matumizi ya kibongo imekua ni kama mitandao ya wanawake kujiuza na wanaume kutafuta wanawake wa kununua. Kiasi kwamba sasa hivi ni common kuambiwa ukikuta girlfriend wako yuko badoo/tinder/hitwe ogopa sana.
Ila kwa mfano Telegram, ndo mtandao ambao sio hata dating site.... Ila kibongo ndo umegeuzwa kuwa mtandao wa kuuza na kununua nyapu kabisa... Tena telegram wanajiuza wazi wazi kabisa, hakuna hata haja ya utafiti.
 
Aisee thank you nimeelewa sasa! Wabongo siye kwa kugeuza maana ya vitu😒
 
Hivi serikali haijaona kweli hali ya telegram maana mle wanatuma picha live ni rahisi kuwakamata maana na location zinatajwa kabisa bila kusahau wanauza na video walizojirekodi, na bei zao zipo juu 20000 hadi 40000 na kuendelea na huduma unapata zote, bila kusahau kaka zetu wamejaa kwenye hayo magroup kununua hao wauza utamu
 

Unataka serikali wafanyaje?
 
Binafsi nimefanikiwa kujiunga na hayo ma group, na nimekuwa na maswali kadhaa Naomba ni share

1. Una mlipa mdada kwa ajili ya mechi then yy ana rekodi ile mechi kwajili ya kuuza , Je mgongaji / mlipaji anapewa chochote ?
Kama ni mm sitoruhusu mechi yangu irekodiwe unless anipe chochote kitu au ka offer
 
Matapeli pia hawako nyuma, tena in wanaume wanajifanya mabinti. Ukituma nauli tu, umeliwa.
Ivi kumbe zile swagga zao za kwa nauli ni utapeli , iv na wale wanao sema room ipo mean gharama ya room ni juu ya mgongaji au yule manzi ...
 
Kuna ambao huwa wanarekodi mechi? Duuhhh
 
Kuna ambao huwa wanarekodi mechi? Duuhhh
Ndio huwa wanatangaza pale nipo location (maana yake ndio yupo ktk mechi) so mtu anapiga video call anatazama mtu anavyo shonwa. Au mwingine anasema nauza video alizokuwa ana pewa dozi. Ss na mm ndio nika jiuliza hapa je mpaka anaji rekodi je mgongaji ana pewa nn cha kuruhusu viungo vyake vi mulikwe
 
Kweli mkuu.
 
Kweli kabisa.
 
Sawa tumekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…