Matokeo ya VPL: Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Dodoma Jiji FC

Sijawahi kuna pamoja na ukubwa wa team kama Barca, Real, Man, Liver sijui city na wengine wengi wakaenda ugenini kucheza halafu watu waka support team ya wageni. Wenzetu mapenzi wanayo na team kubwa lakini full support team zao za nyumbani...
Catalonia.. nioneshe picha ya shabiki wa espanyol akiishangilia barca vs timu ya ugenini, madrid: shabiki wa atletico aishangilie real! Manchester: shabiki wa city aishangilie utd! liverfool aishangilie everton?

Mwishoni umejijibu mwenyewe vizuri, timu ya watu wa mwanza ni pamba, dodoma ni CDA na mji, Mbeya ni tukuyu, tabora ni milambo, moro ni reli huwezi kuzifuta mioyoni na siku zitakaporudi ni wageni tu ndio watashabikia simba na yanga. Tatizo hizi timu hazina mashabiki na mbaya zaidi mtu hawezi kushabikia timu asiyoipenda. Angalia Azam, kmc, mtibwa, prisons,jkt you can't buy football fan
 
Sio lazima saaana kufuata utaratibu wao..
 
.
 
Utopolo wanazidikudanganywa, kwanza walidanganywa Morison ana mshipa halafu wakaambiwa ana kesi lazima yeye na yanga walipe pesa ili isikilizwe mwisho wakaambiwa amezuiwa kucheza hadi kesi yake iishe
 
Hivi benchi la ufundi la simba wanashindwa kumwambia Wawa apunguze mipira mirefu maana anapiteza mipira mingi
Amekua akiilaazimisha sana sijui kwanini.niliona pia mechi na Tp mazembe alipoteza mipira mingi kwa kuipiga tu mbele bila accuracy .inabidi benchi la ufundi limuambie na nilazima aangalie timu wanayocheza nayo.Wawa ni beki mzuri ila kuna kipindi anakua mtegevu hasa kwenye mipira ya vichwa.
 
Kama uliona Cameron na Mali mipira ya kona,
Walikua wanapambana wote na kuhamasishana kuzuia

Wawa ni beki ndo kwanza angetakiwa washurutisha wenzie na yeye mwenyewe kama Lamine pia anavyofya
Yeye sasa anacheza ki bos boss wala hajali
 
Kama Mashabiki wataamua kushabikia timu za mikoa yao naimani tutakua na ligi bora sana, Jana Dodoma jiji walikosa morali japo walikua na mipango mizuri wawapo golini ila ukosefu wa mashabiki wao umechangia kucheza walivyocheza kiasi utadhani wao ndio wapo ugenini.
 
Kama uliona Cameron na Mali mipira ya kona,
Walikua wanapambana wote na kuhamasishana kuzuia

Wawa ni beki ndo kwanza angetakiwa washurutisha wenzie na yeye mwenyewe kama Lamine pia anavyofya
Yeye sasa anacheza ki bos boss wala hajali
Yaa ni sahihi unapowatuma wenzio na wewe uwe wakwanza kutumika.kuna nafasi ya mwisho ambayo waliipata Dodoma Jiji ilipigwa foul jamaa akapiga kichwa peke yake na alitakiwa kukabwa na Wawa lakini Wawa akamuacha na ni manula tu alieokoa lasivyo ingalikua ni sare,ukiangalia vizuri kwa umakini ulitokea mzozo pale golini.

Tadeo Lwanga nafikiri alikua akifoka sana pale kumfokea Wawa kwanini amuache mtu apige kichwa ilhali yeye anamtizama, tu.wakaja wachezaji wengine wakaamua amua na mpira ukaishia pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…