Matokeo yakitoka ndio kila mtu anajifanyaja Ni fundi kujadili issues za elimu

Matokeo yakitoka ndio kila mtu anajifanyaja Ni fundi kujadili issues za elimu

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Kwa nini huwa hatuongelei issues zinazohusu elimu mpaka matokeo yatoke,je Ni kweli kila mtu anaweza kuwa mtaalamu kwenye Mambo yanahusu elimu?,ualimu Ni mgumu sana ,watu wa fani nyingine wawe na heshima na fani ya ualimu,garbage input gargabe out put,walimu huwa wanalaumiwa sana kwenye output lakini hakuna hata mtu mmja ambaye huwa anajadili hasa kusuhu mfumo mzima ama process yenyewe na mchakato mzima'Tujadihi hasa kuhusu the proces of educating ,kabla ya out put,walimu wa Tanzania wanalaumiwa sana na wapuuuzi kwa sababu za kipuuzi,pamoja na wapuuuzi,Kama unafikiri kufundishwa Ni rahisi Anza na mtoto wako nyumbani
 
Kwa nini huwa hatuongelei issues zinazohusu elimu mpaka matokeo yatoke,je Ni kweli kila mtu anaweza kuwa mtaalamu kwenye Mambo yanahusu elimu?,ualimu Ni mgumu sana ,watu wa fani nyingine wawe na heshima na fani ya ualimu,garbage input gargabe out put,walimu huwa wanalaumiwa sana kwenye output lakini hakuna hata mtu mmja ambaye huwa anajadili hasa kusuhu mfumo mzima ama process yenyewe na mchakato mzima'Tujadihi hasa kuhusu the proces of educating ,kabla ya out put,walimu wa Tanzania wanalaumiwa sana na wapuuuzi kwa sababu za kipuuzi,pamoja na wapuuuzi,Kama unafikiri kufundishwa Ni rahisi Anza na mtoto wako nyumbani
Matokeo ni ya hawa waliofanya mtihani, wengine bado, wanakuja. Hivyo yamejadiliwa ya hawa, Ila kama kuna la kujifunza au kurekebisha, basi litawanufaisha wajao.
Kila matokeo yanapotoka, huzua mjadala, hivyo hata hawa pia walikuwa na nafasi ya kupata ushauri.
Na lawama si kwa waalimu tu, wanafunzi wenyewe na wazazi wao ni zaidi na pia serikali kwa upande wake.
 
Nimeona huko kwenye mitandao hivi vijisanii vyetu vya bongo flavour na bongo movies ambavyo mostly ni vilizungusha form 4 eti navyo vinawaponda waliofeli
 
Kwa nini huwa hatuongelei issues zinazohusu elimu mpaka matokeo yatoke,je Ni kweli kila mtu anaweza kuwa mtaalamu kwenye Mambo yanahusu elimu?,ualimu Ni mgumu sana ,watu wa fani nyingine wawe na heshima na fani ya ualimu,garbage input gargabe out put,walimu huwa wanalaumiwa sana kwenye output lakini hakuna hata mtu mmja ambaye huwa anajadili hasa kusuhu mfumo mzima ama process yenyewe na mchakato mzima'Tujadihi hasa kuhusu the proces of educating ,kabla ya out put,walimu wa Tanzania wanalaumiwa sana na wapuuuzi kwa sababu za kipuuzi,pamoja na wapuuuzi,Kama unafikiri kufundishwa Ni rahisi Anza na mtoto wako nyumbani

Walimu hao hao hata kama wana mapufungu ndio wamefanya watu wakawa na elimu
 
Serikali imeshindwa wajibu wa kutoa elimu bora kwenye shule zake, inakimbilia kuficha ranking.......this is serious!!
 
Back
Top Bottom