Nasikia Chato watumishi hasa walimu walilazimishwa kwenye kumbukizi ya kifo cha jiwe Ila haikuwa nyomi hii. Pole ndugu.Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Chato watumishi hasa walimu walilazimishwa kwenye kumbukizi ya kifo cha jiwe Ila haikuwa nyomi hii. Pole ndugu.Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Wivu tu! 😡Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Wivu na nogwa zimewajaa😡😡Mchagga hawezi kuacha duka lake au kiarano aende kumpokea Mbowe.
Kwanza huku watu wanaabudu went pesa tu.
Na miji imejaa wazee.
Hizi Mbwembwe anazofanya Mbowe siyo utamaduni kabisa
Lete zako tuzionePicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Alishapewa ila nadhani apangiwe kazi nyingine kwa sasa.Mkuu hicho cheo cha parole si tulikubaliana apewe mzee wa kilalacha ?.
Mawazo ya kufarakanisha ni kama yapi?Siyo hivyo unavyodhani.Kuna kipindi weye na mazuzu wenzio akina nani sijui,huwa mnachotoa kama maoni JF mnajidhalilisha.
KUMBUKA.
Hatuna nchi nyingine zaidi ya hii tunayoiekezea, Tanzania.Ninyi huwa,kwa mawazo yenu,mnadhani Tanzania ni ninyi pekee.Muwe mnatoa mawazo ya kujenga na si kufarakanisha.Mjirekebishe.
Hivi kwani lengo ni nyomi?Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Mungu hamtupi mja wakeLuteni Denis Urio anavyowaona hao akina Adamoo sijui anajisikiaje! yaani jamaa walikuwa wanafanya kazi halal, wakawapa kesi ya ugaidi ili wapotee kabisa, but leo wanaendelea na kazi yao.
Bado mvua za masikaHiyo ni Rasharasha....
🤣🤣🤣Nasikia Chato watumishi hasa walimu walilazimishwa kwenye kumbukizi ya kifo cha jiwe Ila haikuwa nyomi hii. Pole ndugu.