Mwamba wa Kifo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 268
- 164
Si sawa kwa raia kushambuliwa kwa risasi, nakiri hapa hiyo si sawa. Lakini kuna mazingira askari au mwanajeshi kupiga raia risasi anaruhusiwa, sasa kama kuna raia wamepigwa risasi lazima wamechinganya wenyewe kwakutotii sheria.anayetukana adhabu yake ni risasi?
Hapa kazi tuWameenda kwa kazi maalumu!
Acha uzwazwa wewe, kama hujui basi ushoga umeshamiri sana Bara. Kama tatizo ni dini si kila mtu na dini yake, kakariri na wewe Biblia kwani kuna mtu kakukataza. Kama ni vijana hawataki kazi kwani wapi walilazimisha kuajiriwa bara?Usijidanganye, Zanzibar haiwezi kuendelea kwa itikadi walizonazo...ondoa huu ujinga kichwani mwako. Watu hawataki kusoma eti wanaona ujiko kukariri Qur'an ila kusoma lugha yao hawajuwi. Nani atakuajiri kwa kukariri Qur'an tu? Vijana kazi hawataki kufanya eti wanataka kuwa mashoga na kubebab mizigo ya watalii ufukweni, si upuuzi huu?
Tatzoo zec maalimu hajawah kushindwaVery good news
Wasivyo na aibu wasijefuta matokeo tenaZanzibar tumeshaamua, ni Maalim Seif kama kawaida, na safari hii kwa kishindo kizito zaidi. Tutafundisha wabara namna ya kupambana kisiasa. Sisi ni maneno na vitendo.
Zanzibar tumeshaamua, ni Maalim Seif kama kawaida, na safari hii kwa kishindo kizito zaidi. Tutafundisha wabara namna ya kupambana kisiasa. Sisi ni maneno na vitendo.
Mme toa wapi hizi? Source plz maana ZECMM sidhani kama wanayo hii teh teh tehZanzibar tumeshaamua, ni Maalim Seif kama kawaida, na safari hii kwa kishindo kizito zaidi. Tutafundisha wabara namna ya kupambana kisiasa. Sisi ni maneno na vitendo.
Embu ikiwezekana jecha apigwe Pini....maana akina jecha NI wengi....HONGERA SANA RAIS WANGU MAALIM SEIF,HONGERA SANA WAZANZIBARZanzibar tumeshaamua, ni Maalim Seif kama kawaida, na safari hii kwa kishindo kizito zaidi. Tutafundisha wabara namna ya kupambana kisiasa. Sisi ni maneno na vitendo.
Shikamoo maalimu seif
Hahahhaa pole