Matukio mawili yaliyoniacha na tafakuri kubwa

Matukio mawili yaliyoniacha na tafakuri kubwa

Kabisa....hapo unaweza kuta kuna shule nyingi tu wilaya ya chalinze au bagamoyo hazina vyoo au madarasa ya kutosha au nyumba za walimu nk nk. Priorities zetu zina mushkeli mahali. Ubinafsi tu.
 
Ungekuwa Namba1 ungeelewa haraka, ila sasa itabidi tukumegee kidogo kwa fumbo, "Inawezekana Mkeo au Mumeo anatumika pia kwa mtu mwingine bila wewe kujua hata kuhisi tu kuwa anatumika hujui, ikiwa hivyo ujue hali hiyo haiwezi kukuathiri, sasa ikifika time ukaona, ukasikia mwenyewe, shida ndipo inapooanzia"

Anachokisema Mshana Jr ni juu ya hawa viongozi kujitungia sheria za kujilimbikizia mali ilihali hawana shida ukilinganisha na sehemu kubwa ya watu wasio na mali! Viongozi wanapaswa kutathmini kwa nini wananchi wame-react kiasi hicho na ikiwapendeza basi wafanye utaratibu wa kubadili sheria zinazowafanya walalamikiwe kwa issue kama hizo!
Mimi na shangaa sana kuona Benz ya 250 million emekuwa mjadala wa taifa ,huku kuna wakurugenzi 160 wamenunua magari bei 300 mpaka 450 million ,wakugurugenzi hawa wanao staili gari isio zidi 100 million !! Swali ni Hamuoni,hamjui au nichuki tuu !!????
 
Ila kuna tetesi hii Benz ni moja wapo kati ya Benz 20 ziliotolewa kama zawadi na Mfalme na Sio mwingine niyule aliojenga msikiti .mkubwa dar ,kwa hiyo hoja ya Benz ipe mtazamo huo, vinginevyo tuuza zawadi
Hiyo ni chini ya zulia wengi hatuijui..mpaka itakapothibitika vinginevyo... Tutaandika yatokanayo
 
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.

..nadhani SHERIA ya mafao ya viongozi wakuu wastaafu siyo nzuri.

..sheria ilipaswa kuelekeza kuwa wastaafu watatunzwa na serikali ktk masuala ya makazi, matibabu, usafiri, ulinzi, na wasaidizi.

..kinachoendelea sasa hivi, na kinachotia ukakasi, ni kuona kama vile sheria imeelekeza viongozi wastaafu wajengewe / wapewe wao binafsi majumba makubwa ya kifahari.

..leo hii tunashuhudia Mzee Kikwete, na Mzee Mwinyi wakikabidhiwa majumba ya kifahari. Lakini mkumbuke kwamba bado kuna kina Mzee Warioba, Mzee Malecela, Mzee Msuya, Mzee Shein, Mzee Bilal,Mzee Salim Salim, Mzee Sumaye, Mzee Lowassa, Mzee Pinda, Mzee Msekwa, na Mama Makinda.

..Wote niliowataja hapo juu ni viongozi wastaafu wanaotambulika na sheria iliyotumika kuwajengea majumba makubwa Mzee Mwinyi, na Mzee Kikwete.

..Nadhani kinachoendelea ni utekelezwaji mbaya wa sheria ambayo ilitungwa na BUNGE kwa nia njema.

NB.

..Pia kuna nafasi za UBUNGE WA KUTEULIWA ambapo umekuwepo utamaduni wa wenza au watoto wa viongozi wastaafu kuteuliwa.
 
Naomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.

Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni

1. TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani.

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!

Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake. Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi.

Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi.

Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo.

Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu. Zawadi aliyopewa ni bakshish tu. Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi) Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!

2. TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali. Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari.

Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!

Tafakuri yangu kwenye hili! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha.

JK pia ana kitabu cha maisha yake. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!

Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa. Nasema sina hakika.

Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo. Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao. Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile

Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili. Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya. Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu.
Mzee Mshana...

Nisingekuwa mwenye ukakasi iwapo makundi mengine katika jamii yangalikuwa na walau 1/3 ya kile walichonacho viongozi.

Nadindokwa na machozi sio ya wivu bali uchungu kuona mwanangu anasoma Kayumba jumla ya wanafunzi 800 na idadi ya walimu ni watatu (idadi ikimjumlisha Mwalimu Mkuu).

La ajabu zaidi si kwamba wenye taaluma ya ualimu hawapo la hashaa wamejaa tele, na wanalalamikia ajira kila uchao na uchwao.

Mzee Mwinyi kama kaikataa ile gari ni sahihi kabisa na kama kaipokea anajua sehemu ya dhulma tunayotendewa walipa kodi wa nchi hii.

NB:
Tatizo sio chama cha siasa bali mfumo uliokumbatia waimbaji na kuwatupa waimbiwaji. Siku Waimbiwaji tutakapogoma kusikia wanachoimba sijui itakuaje?
 
Mzee Mshana...

Nisingekuwa mwenye ukakasi iwapo makundi mengine katika jamii yangalikuwa na walau 1/3 ya kile walichonacho viongozi.

Nadindokwa na machozi sio ya wivu bali uchungu kuona mwanangu anasoma Kayumba jumla ya wanafunzi 800 na idadi ya walimu ni watatu (idadi ikimjumlisha Mwalimu Mkuu).

La ajabu zaidi si kwamba wenye taaluma ya ualimu hawapo la hashaa wamejaa tele, na wanalalamikia ajira kila uchao na uchwao.

Mzee Mwinyi kama kaikataa ile gari ni sahihi kabisa na kama kaipokea anajua sehemu ya dhulma tunayotendewa walipa kodi wa nchi hii.

NB:
Tatizo sio chama cha siasa bali mfumo uliokumbatia waimbaji na kuwatupa waimbiwaji. Siku Waimbiwaji tutakapogoma kusikia wanachoimba sijui itakuaje?
Nadindokwa na machozi sio ya wivu bali uchungu kuona mwanangu anasoma Kayumba jumla ya wanafunzi 800 na idadi ya walimu ni watatu (idadi ikimjumlisha Mwalimu Mkuu).

La ajabu zaidi si kwamba wenye taaluma ya ualimu hawapo la hashaa wamejaa tele, na wanalalamikia ajira kila uchao na uchwao.[emoji2827][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Naomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.

Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni

1. TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani.

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!

Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake. Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi.

Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi.

Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo.

Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu. Zawadi aliyopewa ni bakshish tu. Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi) Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!

2. TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali. Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari.

Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!

Tafakuri yangu kwenye hili! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha.

JK pia ana kitabu cha maisha yake. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!

Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa. Nasema sina hakika.

Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo. Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao. Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile

Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili. Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya. Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu.
Huu uzi ni wa wivu na majungu ya kitanzania. Mleta mada kama wazazi wako hawakusoma kukuwezesha kuishi maisha ya juu usiwachukie wanaoyaishi.

Hizi ni mentalities za kimaskini kufuatilia riziki za watu. Kikwete ni mstaafu aliyeifanyia mengi nchi hii kupewa nyumba ni suala dogo sana kwa wanaojielewa.

JK kajenga MOI, Kajenga barabara na kila aina ya miundo mbinu akiwa rais, nyumba moja hata kama thaman yake ni tsh milioni 500 akipewa kuna ubaya gani?. Huwezi ukalinganisha na mema aliyoifanyia nchi hii.

Lako ni andiko lenye msingi wa wivu na roho mbaya ya kiafrika.
 
Kinacholeta ukakasi katika gari aliyo'zawadiwa' Mzee Mwinyi ni kwamba serikali hairuhusiwi kutumia kodi za wananchi kutoa ZAWADI kwa watu bali wajibu wa serikali ni kutoa HAKI.
Kodi za wananchi ndizo zinazowatunza marais. Ile misafara unayoiona mpaka juu kunakuwa na helikopta ni kodi za wananchi.

Kama tunaweza kugharamia tshs bilioni mbili kwa mwaka ule msafara wa rais peke yake, kuna dhambi gani kumpa benzi la milioni themanini?.
 
Naomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.

Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni

1. TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani.

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!

Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake. Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi.

Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi.

Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo.

Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu. Zawadi aliyopewa ni bakshish tu. Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi) Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!

2. TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali. Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari.

Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!

Tafakuri yangu kwenye hili! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha.

JK pia ana kitabu cha maisha yake. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!

Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa. Nasema sina hakika.

Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo. Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao. Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile

Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili. Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya. Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu.
Uzi ulimejaa uongo mtupu
1. Mwalimu Julius Nyerere yeye alijengewa na jeshi kabla ya sheria kupitishwa ya kujengea viongozi nyumba
1. Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alishakabidhiwa nyumba na rais SSH, kahamia tayari, lakini pia gari alipokea ila lilifanyiwa marekebisho kukidhi hali yake ya kiumri
2. Rais mstaafu Jakaya Kikwete alishabidhiwa nyumba na rais SSH, kahamia tayari, kwa mjibu wa sheria iliyotungwa enzi za Mkapa
3. Ni hayati JPM pekee ndio bado hajajengewa nyumba kwa mjibu wa sheria hiyo hiyo...sheria itatoa mwongozo endapo kama rais anafariki kabla ya kumaliza kipindi chake kama anastahili kujengewa nyumba; ngoja tusubiri tuone
 
Ndiyo wakati wao...
Nyie wapuuzi mnaotetea upuuzi hamna tofauti na hawa
IMG-20220117-WA0398.jpg
 
Back
Top Bottom