Matukio mawili yaliyoniacha na tafakuri kubwa

Matukio mawili yaliyoniacha na tafakuri kubwa

Umee
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.
Umesoma ukaelewa hoja ya mleta mada? Au unahemuka tu.

REA,MWENDOKASI Ni kodi yako na yangu ndugu siyo hisani ya kiongozi. Kiongozi ana wajibu wa kuwaletea wananchi MAENDELEO ndiyo maana tunalipa kodi.Walitekeleza wajibu wa kiuongozi.

Wewe Ni MPUMBAVU.Sina shaka kabisa.
 
Wee MPUMBAVU SIKILIZA,Hizo hela ni kodi zetu.Zingeweza kujenga madarasa kadhaa au kununua madawati na watoto wetu wakasoma ktk mazingira bora.Pumbavu sana.
Chokochoko zenu msingi wenu ni roho za wivu.

Hata asingepewa Mwinyi still usingezifaidi kwa namna yoyote.
 
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.
Pumba tupu.
 
Mkuu Mzee RUKHSA nyumba yake yenye thamani ya shilingi bilioni 800 alishakabidhiwa na mwendazake mwaka jana.

Nashangaa wanazidi kujilimbikizia mali huku wananchi wakifunga mikanda kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu. Tatizo la nchi hii ni ccm na viongozi wake wabinafsi na walevi wa madaraka
 
Chokochoko zenu msingi wenu ni roho za wivu.

Hata asingepewa Mwinyi still usingezifaidi kwa namna yoyote.
Wewe mpumbavu narudia tena, Wananchi kuhoji kodi zetu zinavyotumika ndivyo sivyo na watawala ni haki yetu na sio wivu.
Hata nchi zilizoendelea kama Marekani huwezi kuchezea kodi za wananchi hovyo kwa kugawana vijizawadi halafu watu wakakaa kimya. Ni haki yetu kuhoji kama ilivyo haki ya serikali kukusanya kodi
 
Kabisa Mkuu, Kikwete miaka 10 madarakani mshahara wa zaidi ya milioni 400 kwa mwaka tena tax free lakini bado mlafi tu!!!
Nashangaa wanazidi kujilimbikizia mali huku wananchi wakifunga mikanda kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu. Tatizo la nchi hii ni ccm na viongozi wake wabinafsi na walevi wa madaraka
 
Kabisa Mkuu, Kikwete miaka 10 madarakani mshahara wa zaidi ya milioni 400 kwa mwaka tena tax free lakini bado mlafi tu!!!
Hawa watu ni walafi na wabinafsi sana. Halafu kutwa kucha kuwahimiza wananchi kuwa wazalendo huku kundi la watu wachache wakifaidi keki ya Taifa. Kwa mwendo huu hata huo Uzalendo wa kulipa kodi unaanzia wapi?!
 
Mwendokasi REA ni pesa ya walipa kodi si pesa ya wastaafu
Kila mtumishi wa umma akistaafu apewe zawadi kwani nao walichangia kuinua uchumi halafu tuone.......

Ni kufuru ndio
Ilikuwa ni kazi sio huduma
Walilipwa mshahara na marupurupu na bado wanalipwa na kutunzwa
Hizi ni bhakshishi ni bahasha za kaki
Si sahihi si sawa si uungwana si haki kwa mlipa kodi
Wao kufanya kazi kwa kulipwa mshahara hakiwi kigezo cha kutoenziwa baada ya kustaafu. Ikiwa mfanyakazi bora wa mwezi anapewa zawadi anayostahili tofauti kabisa na mshahara wake, sembuse rais ambaye ni nembo ya Taifa!!.

Kuna nchi afrika hii hii huwa zinatushangaa tunaweza vipi kuwa na marais wanaoachiana ofisi kwa amani na utulivu, wanatuona kama vile ni wachawi .

Kuna kazi kubwa wanayoifanya viongozi wa juu wa nchi ambayo sisi huku chini huwa hatuioni lakini ni kubwa na ni nzito.
Umee

Umesoma ukaelewa hoja ya mleta mada? Au unahemuka tu.

REA,MWENDOKASI Ni kodi yako na yangu ndugu siyo hisani ya kiongozi. Kiongozi ana wajibu wa kuwaletea wananchi MAENDELEO ndiyo maana tunalipa kodi.Walitekeleza wajibu wa kiuongozi.

Wewe Ni MPUMBAVU.Sina shaka kabisa.
Huyo huyo mwenye kufanya kazi kwa kodi yangu anayo haki ya kupewa nyumba kama matunda ya mafanikio yaliyotokana na kuitumia vizuri hiyo hiyo kodi yangu.

Mfano JPM angekuwa hai mpaka akastaafu halafu akaja kujengewa nyumba na kukabidhiwa bado tungelalamika!?.

Kajenga SGR yenye umuhimu mkubwa kiuchumi, nyumba moja ni kitu gani kulinganisha na namna alivyojituma kukuza hali ya nchi yake?.

Tuache nongwa zitaishia kutuumiza tu miili yetu.
 
Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili.
Kumbe wanyonge wapo nchi hii? Mi nilidhani hawapo labda ilikuwa ni maneno ya Mwendazake tu ili kuwahadaa watu!
Kila siku mnalikataa neno wanyonge na kumtukana Mwendazake kwa kuwaita hivyo walala hoi; kumbe hata nyie mnajua kuwa wanyonge wapo? Au labda wanyonge wenu ni tofauti na wanyonge wa Mwendazake? Ama kweli ukishangaa ya musa utayaona ya falao!
 
Aliye nacho huongezewa hii ni kanuni ya kiasili ya maisha hivyo hakuna haja ya kulalama huku maisha yakikupita mbio. Viongozi wanaitendea haki asili. Wananchi wawe wapole tu. Its a game of fierce fight. Survival of the fittest.
You are right brother. Survival of the fittest and/ by elimination of the weakest.
 
Wao kufanya kazi kwa kulipwa mshahara hakiwi kigezo cha kutoenziwa baada ya kustaafu. Ikiwa mfanyakazi bora wa mwezi anapewa zawadi anayostahili tofauti kabisa na mshahara wake, sembuse rais ambaye ni nembo ya Taifa!!.

Kuna nchi afrika hii hii huwa zinatushangaa tunaweza vipi kuwa na marais wanaoachiana ofisi kwa amani na utulivu, wanatuona kama vile ni wachawi .

Kuna kazi kubwa wanayoifanya viongozi wa juu wa nchi ambayo sisi huku chini huwa hatuioni lakini ni kubwa na ni nzito.

Huyo huyo mwenye kufanya kazi kwa kodi yangu anayo haki ya kupewa nyumba kama matunda ya mafanikio yaliyotokana na kuitumia vizuri hiyo hiyo kodi yangu.

Mfano JPM angekuwa hai mpaka akastaafu halafu akaja kujengewa nyumba na kukabidhiwa bado tungelalamika!?.

Kajenga SGR yenye umuhimu mkubwa kiuchumi, nyumba moja ni kitu gani kulinganisha na namna alivyojituma kukuza hali ya nchi yake?.

Tuache nongwa zitaishia kutuumiza tu miili yetu.
Watz wengi mko vichwa maji hamjui km taifa mnamtaka nini.Yote uliyoandika ni mihemko,hisia zako.

Hatukuchagua kiongozi ili akafuje Kodi zetu. WAJIBU usiohitaji shukrani ,alikuwa analipwa mshahara mnono, allowance nyingi,bado walizotuibia.

Hazina ya taifa si ya kupeana zawadi ,acha upumbavu.
Analipwa mshahara bado,anatunzwa kwa Kodi zetu hadi afariki .

Hii ndiyo mitanzania isiyo na vipaumbele,isiyo na malengo,taifa lisilo na misingi ya kuamua na kutenda.Mtu anachota kodi zetu kutoa zawadi halafu vichwa mavi wanaona ni vipaumbele vya taifa.Ni sawa tu.

Kweli bongo bahati mbaya.
 
Watz wengi mko vichwa maji hamjui km taifa mnamtaka nini.Yote uliyoandika ni mihemko,hisia zako.

Hatukuchagua kiongozi ili akafuje Kodi zetu. WAJIBU usiohitaji shukrani ,alikuwa analipwa mshahara mnono, allowance nyingi,bado walizotuibia.

Hazina ya taifa si ya kupeana zawadi ,acha upumbavu.
Analipwa mshahara bado,anatunzwa kwa Kodi zetu hadi afariki .

Hii ndiyo mitanzania isiyo na vipaumbele,isiyo na malengo,taifa lisilo na misingi ya kuamua na kutenda.Mtu anachota kodi zetu kutoa zawadi halafu vichwa mavi wanaona ni vipaumbele vya taifa.Ni sawa tu.

Kweli bongo bahati mbaya.
Punguza mapovu mkuu, humu ni Mwendo wa hoja. Matusi hayafundishwi shuleni kila mtu anayajua.

Huyo unayesema anachota kodi zako ni sehemu ya waliozitafuta pesa zinazoendesha uchumi na anao uchungu wa maendeleo pengine kuliko wewe na mimi.

Hizo zawadi hazilingani na commitments za hao wastaafu katika kuihangaikia Tanzania.

Tuache kujadili mambo madogo sana haya.
 
Naomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.

Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni

1. TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani.

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!

Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake. Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi.

Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi.

Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo.

Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu. Zawadi aliyopewa ni bakshish tu. Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi) Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!

2. TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali. Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari.

Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!

Tafakuri yangu kwenye hili! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha.

JK pia ana kitabu cha maisha yake. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!

Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa. Nasema sina hakika.

Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo. Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao. Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile

Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili. Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya. Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu.
wivu tu
 
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.
Hayo yote waliyafanya kwa pesa zao wenyewe au ni kodi za Watanzania?

Hivi mtu anahitaji kusifiwa na kupewa zawadi kwa kutimiza wajibu wake?
 
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.
We Lazima utakuwa na undugu na Mwinyi
 
Naomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.

Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni

1. TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani.

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!

Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake. Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi.

Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi.

Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo.

Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu. Zawadi aliyopewa ni bakshish tu. Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi) Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!

2. TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali. Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari.

Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!

Tafakuri yangu kwenye hili! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha.

JK pia ana kitabu cha maisha yake. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!

Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa. Nasema sina hakika.

Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo. Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao. Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile

Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili. Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya. Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu.
Ila kuna tetesi hii Benz ni moja wapo kati ya Benz 20 ziliotolewa kama zawadi na Mfalme na Sio mwingine niyule aliojenga msikiti .mkubwa dar ,kwa hiyo hoja ya Benz ipe mtazamo huo, vinginevyo tuuza zawadi
 
Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.

Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.

Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.

Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.

Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.
Mkuu wengine kinacho wauma ni roho mbaya zao tuu
 
Back
Top Bottom