....na Juma Nkahundred
mbowe.tayaaari.tangu jana
Mie Makamba, Wasira, Ole sendeka, Mrema, Mwakyembe, Nape, Laughlin, Nyalandu naona kama bado vidole vinataka endelea kuandika...
nilikuwa nawachokoza chagadema hehe
Mimi nikisikia tu Mwakyembe na Nape wamepigwa chini nitafanya sherehe kubwa sana
Mbowe ameuza upinzani kwa mafisadi
Kosa la Mwakyembe ni nini?au kwa sababu ya kuwa M/kiti wa tume ya Richmond?