Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka data za ushahidi mkuu. Bila ushahidi hizo porojo tu.
Kwa vipi naona we ni mpuuzi.
GOOD NEWS
FOR THE FIRST TIME SINCE INDEPENDENCE
SIMANJIRO. .CCM OUT BYE BYE OLE SENDEKA
BUNDA. ...CCM OUT BYE BYE STEVEN WASIRA
UKONGA ....CCM OUT BYE BYE JERY SILAA
MBEYA VIJIJINI. ....CCM OUT
MONDULI(THE HOME OF THE MAN,LOWASA).....CCM OUT BYE BYE NAMELOK SOKOINE
MTWARA MJINI. ....CCM OUT BYE BYE WHAT EVER
PEMBA YOOOOTE .....CCM OUT
TANGA MJINI .....CCM OUT
VUNJO ........CCM ? TLP OUT
TUNDUMA. .....CCM OUT
MIKUMI .........CCM OUT
UNGUJA .....IT'S LOADING VERY FASTER
Ongeza jimbo la ccm tulilochukua makamanda
Inayoogopa sio TBC bali ni huyo Mkurugenzi wao, mbona TBC wakati wa Tido ingefanya zaidi ya hapa?TBC wanaogopa kuiumbua CCM maana imeangukia pua sehemu nyingi.
Nimekuita mpuuzi kwa vile hujui kazi wanayofanya ITV kufanya coverage ya uchaguzi.Huelewi kitu
Itv isirahihishe au kufanyia mzaha amani na utii wa sheria,,,,
Nasikua Azam Tv ni nzuri sana. Najipanga niwe nayo.Pocha kama ujafanya tafiti usiongeze!! Yaani unasifia TV ambazo zinaonesha recorded, tune Azam Tv upate habari za instantly na zisizo na upendeleo! Tv zako hizo ni za mlengo wa mgombea fulani
Nasikua Azam Tv ni nzuri sana. Najipanga niwe nayo. Shida Azam tv haiko kwny vingamuzi vingi hadi kingamuzi chaoPocha kama ujafanya tafiti usiongeze!! Yaani unasifia TV ambazo zinaonesha recorded, tune Azam Tv upate habari za instantly na zisizo na upendeleo! Tv zako hizo ni za mlengo wa mgombea fulani
Nasikua Azam Tv ni nzuri sana. Najipanga niwe nayo. Shida Azam tv haiko kwny vingamuzi vingi hadi kingamuzi chao
Fafanua kura feki umezikamata wapi na ni kiasi gani.Acha kutafuta huruma.
Supe brand wako hoi kwa AZAM.
umeona huruma anayopata wspiga kura wamemwonea huruma na kumpa kura. tbc yavtaifa wakati huu wa uchaguzi kweli wanashindwa kutuhabarisha angekuwa anaongoza magufuli si wangekuwa wanarusha? shame on themhakuna haja ya kuwepo. walirusha sana matangazo ya kampeni kwa ubaguzi kumbe watz wsmewapuuza leo ndo wameona kama watu walikuwa wanawaangali au laa