Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa majiji ya tanga, mbeya na arusha yako chini ya ukawa. Jiji la mwanza ccm wameshabeba tunasubiri jiji la dar sijui itakuwaje. Napenda sana lowassa anapowapokea akina obama pale air port aambatane na meya wa chama chake.
Hadi sasa majiji ya tanga, mbeya na arusha yako chini ya ukawa. Jiji la mwanza ccm wameshabeba tunasubiri jiji la dar sijui itakuwaje. Napenda sana lowassa anapowapokea akina obama pale air port aambatane na meya wa chama chake.
Hadi sasa majiji ya tanga, mbeya na arusha yako chini ya ukawa. Jiji la mwanza ccm wameshabeba tunasubiri jiji la dar sijui itakuwaje. Napenda sana lowassa anapowapokea akina obama pale air port aambatane na meya wa chama chake.
Mwanza na Dar ambayo ndo mpango mzima lazima yatue lumumba, sioni Zungu, Azzan, Jerry Slaa, Dr. Nanilii wa kigamboni, na hata yule Mmama wa Segerea wakishindwa, sioni! Cha kujivunia upinzani ni baadhi ya udiwani watapata.
Alafu naomba Mnyika arudi bungeni, hata kwa kuiba kura, tunamuhitaji sana pale mjengoni.
Dar imebebwa na UKAWA!
Mpaka sasa inasemekana Kigambon, kinondoni, temeke na ukonga zishaenda ukawa ccm wameshinda segerea na ilala tu
Baada ya hii game Lowassa anarudi kijijini kuchunga ng'ombe.Hadi sasa majiji ya tanga, mbeya na arusha yako chini ya ukawa. Jiji la mwanza ccm wameshabeba tunasubiri jiji la dar sijui itakuwaje. Napenda sana lowassa anapowapokea akina obama pale air port aambatane na meya wa chama chake.
Mpaka sasa inasemekana Kigambon, kinondoni, temeke na ukonga zishaenda ukawa ccm wameshinda segerea na ilala tu
Baada ya hii game Lowassa anarudi kijijini kuchunga ng'ombe.
Bila kusahau MOSHI