middy issack
Member
- Sep 17, 2015
- 65
- 9
Tatizo elimu nyie ndg zangu wasukuma bado sana! Mnaangalia ukabila daa! Shida sana dudendelea gete nahene!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana wachagga wote wameshinda kwenye maeneno ya uchagganiKuanzia sasa na mimi nitakuwa napiga kura kufuata kabila langu au la mke wangu, baaasi.
Maswali mengine yanabaki kuwa kichekeshohivi Tabora nayo ni kanda ya ziwa? kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Shinyanga Geita na Mwanza
Hili lilikuwa wazi mbona tulijua Wasukuma walishadanganywa kuwa mwaka huu ni wao.
hahahahaha kwa taarifa yako gap la arusha limefidiwa na majimbo kama 5 tu kwa gap ya kura kama 82,000. Na bado majimbo mengine ambayo Dr Magufuli anamburuza kwa mbali mno fisadi lowasa. Sahau fisadi kushinda, na atakomaNi kosa kubwa sana kwa wana ukawa kukata tamaa kwa sasa..kwani jamaa watatumia udhaifu huo kuwapiga chini zaidi.
Amini nawaambieni ushindi upo wazi.
Is that u?Miongoni mwa yale majimbo yaliyotangazwa, yapo majimbo ya Pemba ambayo Lowasa anaongoza kwa zaidi ya asili,ia 80. Pia kuna jimbo la Joshua Nassari ambalo CHADEMA wameongoza kwa kura nyingi. Kimuhemuhe cha nini?
Tatizo elimu nyie ndg zangu wasukuma bado sana! Mnaangalia ukabila daa! Shida sana dudendelea gete nahene!
hahahahaha kwa taarifa yako gap la arusha limefidiwa na majimbo kama 5 tu kwa gap ya kura kama 82,000. Na bado majimbo mengine ambayo Dr Magufuli anamburuza kwa mbali mno fisadi lowasa. Sahau fisadi kushinda, na atakoma
Hili lilikuwa wazi mbona tulijua Wasukuma walishadanganywa kuwa mwaka huu ni wao.