Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Mimi nililinda, tena mita 20 tu toka vituoni, yalipotoka dola ilitusaidia, yaani wale askari magereza ndiyo waliokuwa wanaelekeza, hiki kituo bado, kil tayari.

Kwa taarifa yako baada ya matokeo binafsi niliwashukuru askari wote na wasimamizi wote. Walitoa suhirikiano mzuri wa kuhakikisha tunalinda umbali wa mita 20 na chini ya hapo, wapo waliolinda mita kum!.

Hivyo, si kwamba tulitii dola, bali dola ilitusaidia ili tulinde kura.
 
Lowassa ndiye Rais.
Hautoamini..,

12189031_905639912853132_6203309671628614844_n.jpg

Baada ya NEC kutangaza matokeo rasmi....
 
kama mmelinda kura basi sawa......

kaka nilipita vituo kama ishirini jana saa 12:00 jioni hadi saa 03:00. Hakukuwa na mazingiria ya kuzuia ulindaji na badala yake ilibidi polisi wawe rafiki kuliko maelezo.

Kama isingekuwa maadili polisi tungeweza hata kupig picha nao za urafiki.

HOngera sana vyombo vya dola.
 
Watanzania waoga...ukitishia kidogo wanatawanyika waache waendelee kutawaliwa na CCM hadi wakibadilika sijui lini
 
Naomba ijulikane kinachoendelea na kitakachoendelea kuanzia sasa hivi
Tume itatangaza sehemu zile ambazo CCM imeshinda na zile ambazo haikushinda zitaachwa kwa sasa hivi,
nia na madhumuni ni kuwaweka sawa wtanzania kisaikolojia tayari CCM kushinda tena
wakati wanakaa kimya baada ya CCM kuwa na asilimia nyingi za kura watakuwa wapo busy wakichakachua
Ukawa fanyieni kazi haraka kabla mambo hayajapoa na ikiwezekana tutangazieni kura zote kama Maali Seif.
 
Naomba ijulikane kinachoendelea na kitakachoendelea kuanzia sasa hivi
Tume itatangaza sehemu zile ambazo CCM imeshinda na zile ambazo haikushinda zitaachwa kwa sasa hivi,
nia na madhumuni ni kuwaweka sawa wtanzania kisaikolojia tayari CCM kushinda tena
wakati wanakaa kimya baada ya CCM kuwa na asilimia nyingi za kura watakuwa wapo busy wakichakachua
Ukawa fanyieni kazi haraka kabla mambo hayajapoa na ikiwezekana tutangazieni kura zote kama Maali Seif.
Ukawa wameshauriwa wawe wanatoa updates za matokep tusubiri tuone wanaweza kuja na surprise.
 
Halafu mbona UKAWA hawaitish pres? Mbowe na Lowasa itisheni mkutano mtoe mwongozo Vijana wako tiyari
 
kuna harufu ya uchakachuaji inayofanywa na ccm makamanda kuweni macho
 
Nasikia harufu ya mbaya ya Taifa kuanza kuungua kwa upumbavu wa CCM.
 
Fanyeni kama Zanzibal alivyo Fanya Malim Seif
 
Yaani wameiba kuanzia ubunge ili wahalalishe za uraisi, Lowasa,Mbowe jitokezeni
 
halafu mbona ukawa hawaitish pres? Mbowe na lowasa itisheni mkutano mtoe mwongozo vijana wako tiyari

jamani si mawakala wanamajibu nawameyafikisha kwa wahusika tusubiri tu watatangaza. Tume ya safari hii nadhani ni ya uwazi. Majibu yalibandikwa vituoni so watatangaza tu!
 
Naomba ijulikane kinachoendelea na kitakachoendelea kuanzia sasa hivi
Tume itatangaza sehemu zile ambazo CCM imeshinda na zile ambazo haikushinda zitaachwa kwa sasa hivi,
nia na madhumuni ni kuwaweka sawa wtanzania kisaikolojia tayari CCM kushinda tena
wakati wanakaa kimya baada ya CCM kuwa na asilimia nyingi za kura watakuwa wapo busy wakichakachua
Ukawa fanyieni kazi haraka kabla mambo hayajapoa na ikiwezekana tutangazieni kura zote kama Maali Seif.

Tulia upate sindano ya ng'ombe
 
Back
Top Bottom