Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Lowasa anashinda bila ya tabu yeyote ile tena kwa kura nyingi sana,hizi ni rasha rasha tu mvua inakuja,kura za Unguja zina matatizo ,ila tulieni ,msomeni sana Lubuva anaposema wanancchi watulie ndio kwanza majimbo kumi tu ,kubwa lijalo !
Duh Mna moyo wa kujifariji hatari nyie wana ukawa!