Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 526
bado momba na vwawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazi Chama Cha Mapinduzi kimejipanga katika kutoa taarifa. Tumeona J. Makamba akitaja majimbo yaliyovunwa na chama hicho.
Lakini kwa UKAWA mambo ni tofauti na ni wazi Afisa habari wa CHADEMA, Tumaini Makene, umeshindwa kazi, Makene ameshindwa hii kazi? (iwapo Makene ni wa chama sio wa UKAWA lakini kwa ukubwa wa CHADEMA ndani umoja huu, ni vema Makene akatoa idadi ya majimbo na maendeleo ya majimbo mengine ili wafuasi wao wawe updated).
Kwa sasa wafuasi wa UKAWA hawana cha kujibu kwa vile hawana taarifa za jumla iwapo vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti, lakini sio kwa utaratibu wa kufanya watu wapate summation.
Act ipi? Hii yenye kiti kimoja?
Kinachowasumbua ni ubishi
Act chama cha waha
CDM kapoteza11 ccm3
Naona taarifa zinakanganya wengine wanasema silinde kashinda wengine wanasema kapoteza.
UKWEI TAFADHARI???~!!!!!
Zitto sasa hiv itabidi awe kama mrema tu mana mrema kaondoka hamna jinsi itabidi atafufe upande ili asiwe mnyonge awe na wenzie