Ikemefuna funa
Senior Member
- Sep 26, 2015
- 167
- 33
Christopher Chiza, Hamis Kagasheki....
Mkuu ni kweli lkn kagasheki kashindwa??, bandikeni na fomu ya matokeo jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Christopher Chiza, Hamis Kagasheki....
Kwanini tuwa miss?
Hawajafanya kazi waliyotumwa na wananchi wa majimbo yao na wananchi wameamua wawakilishwe na wengine.
Halima Mdee- Chadema
Kama mpaka kule Tunduma ni Chagadema basi wewe ni sawa na zombie linalotembea. Hivi kutumia hata akili kidogo tuu katika michango yako huwezi? Au hata hizo kidogo huna?Kama vile Chagadema
Na wale walioshindwa ni wale ambao walijihakikishia kuwa wana hati miliki na viti vya Ubunge. Wakawa wameota pembe wakijua kuwa wamewaweka wapiga kura kwenye kiganja. Kumbe ki ukweli Mtz wa leo hatabiriki.... Mi nimesikitiaka Wasira kutorudi bungeni. Teh.
Imepoteza na kuchukua hivyo analysis yako haijakaa sawa. Mbona husemi kuhusu ushindi wa CHADEMA Monduli, Siha, Same, Babati, Buyungu etc umeng'ang'ana na Mwanza tuuuu.Unajua mbowe alijiona mjanja sana kumuuzia lowassa Chama.ona sasa kilichotokea. Lowassa anarudi Kuchunga ng'ombe monduli.huku chadema ikiendelea kupoteza baadhi ya majimbo.
Mkuu ni kweli lkn kagasheki kashindwa??, bandikeni na fomu ya matokeo jamani.
hawezi shinda jimbo lipo unguja lile tena ndani ya ngome ya ccm