kidonto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 1,961
- 2,918
CDM kapoteza11 ccm3
Hahahaaa! You are not serious!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDM kapoteza11 ccm3
Thubutuuu watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Hongera sana kwa viongozi wa CCM kwa kushinda.
Natumainii safari hii wananchi nao watanufaika na ushindi wenu.
Mkuu na bado! mbona watakimbia wengi humu?
Kuna watu wataingia Bunge kwa Mwaliko na sio tena kama wabunge.
kuhusu MDEE, Matokeo ni kama hivi
CHADEMA 107989 CCM 90145, hivyo MDEE ameshinda kwa tifauti ya Kura 17844!
Azam Tv
Inakuwaje kura hadi zaidi ya 3000 katika jimbo moja kukataliwa? Hizi zingekuwa muhimu kuamua yupi awe kiongozi, hivi ni k
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serentei- CDM
22. Bukoba Mijini-CDM
23. Ukonga- CDM
24.Buyungu- CDM
25. Singida Mashariki-CDM
26. Babati- CDM
27. Momba - CDM
28. Tunduma -CDM
29. Tandahimba - CUF
30. Mlimba -CDM
31. Kilombero - CDM
32.Ifakara -CDM
[TABLE="width: 192"]
[TR]
[TD]33. Mtwara mjini-CUF[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]34.Ndanda-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]35. xxxxxi-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]36. Kyerwa-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]37. Tunduma-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]38. Momba-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]39.lupembe-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]40. xxxx-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]41. Tanga mjini -CUF[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]42. Kigamboni-CUF[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]43. Babati vijijini-CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]44. Kibondo -CDM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]45. Mchinga-CUF[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ongeza kwenye List
Jimbo na Chama chake kilichoshinda
Hakimbiii mtu hapa tutapambana hata tukiwa nje ngoja tuone hizo mbwembwe zenu za hapa kazi tu manake wananchi kwa sasa wapo macho kuliko kipindi cha nyuma unakumbuaka ile ya ari nguvu na kasi mpya vilitusaidiaje "Angalizo" Msijikweze msije mkashushwa.
Ningekuwa karibu na wewe ungejuta,huu sasa ni ujuha.
Kipi ana 'kipi' cha kumshinda Iron Lady Halima Mdee?
Hila zote zitashindwa, magamba mnataka kuingiza nchi vitani kwa uroho wenu wa madaraka.
wasukuma wamebip wengine tutajibu,huo ukabila wenu tutawaonyesha
Dogo naishi kanda ya ziwa ingawa mimi ni mtu wa songea. Wasukuma mwaka huu siyo wale wa miaka ya 2005. Uchaguzi wa mwaka huu umeshehena usukuma haswa.