Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee!
Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni.
Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe bhn[emoji23][emoji23]
Wengine wakilewa pombe wanacheka chochote utakachoongea wanacheka tu maajabu!!!
Mwingine akilewa pombe anaimba nyimboo zoteeeee maajabu!!!
Mwingine anaanza kuongea kingereza akilewa pombeee vituko!!!
Kuna rafiki yangu wa Jf akilewa pombee anatoa siri zoteeeeee yani ataongea mambo yoteeee ukimuuliza kesho walaah anakataaa maajabu ya pombee .
Mwingine akinywa pombee akienda kunako 6 kwa 6 utakomaaaa atakupiga mashine mpaka uombee poooooh maaajabu ya pombe.
Wale wenzngu na mm tukinywa pombeee aibu inakuwa hamna tukifika kitandani tunajiachiaaaaa yani mpaka mpenzi wako anakushangaaaa ndo maajabu ya pombeeeee!
Mrs Jr Chamdeko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni.
Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe bhn[emoji23][emoji23]
Wengine wakilewa pombe wanacheka chochote utakachoongea wanacheka tu maajabu!!!
Mwingine akilewa pombe anaimba nyimboo zoteeeee maajabu!!!
Mwingine anaanza kuongea kingereza akilewa pombeee vituko!!!
Kuna rafiki yangu wa Jf akilewa pombee anatoa siri zoteeeeee yani ataongea mambo yoteeee ukimuuliza kesho walaah anakataaa maajabu ya pombee .
Mwingine akinywa pombee akienda kunako 6 kwa 6 utakomaaaa atakupiga mashine mpaka uombee poooooh maaajabu ya pombe.
Wale wenzngu na mm tukinywa pombeee aibu inakuwa hamna tukifika kitandani tunajiachiaaaaa yani mpaka mpenzi wako anakushangaaaa ndo maajabu ya pombeeeee!
Mrs Jr Chamdeko.
Sent using Jamii Forums mobile app